DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Labda upungufu wa uwezo wa kufikiri, vipaumbele, mikakati sahihi, utekelezaji madhubuti.

Mvua tu inaweza ikavunwa na kuhifadhiwa, ukichimba chini kuna maji ya kutosha. Bahari kubwa ya kutosha.

We are just not resourcel enough with our resources.
 
Kabisa, badala ya kufunga kumuomba Mungu mvua, tufunge tumuombe akili ya kuweza kutumia rasilimali tulizonazo.
Nabii Sulemani alimwomba Mungu hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake!

Sisi badala ya kuomba kizazi chenye akili ya kutawala mazingira yetu, kinyume chake kila mara tumekuwa tukiomba mkate ambao umekuwa ukiisha na kujikuta tuna uhitaji tena na tena.

In short hata tuombe nini hatujui!
 
Hebu ita Uber nakupm location yangu uje nikupe dada yangu m'moja uwe shemeji yangu usijali ndoa nitagharamia. Lakini pia agiza mdudu na beer ule kabisa na kunywa muamala nakutumia.
 
kwa kuwakumbusha tu pia TANGANYIKA ndio ziwa pekee samaki wanakufa kwa uzee na kuna samaki humo tangu kuumbwa dunia wanaishi humo
na kuna kina maeno tangu kuumbwa kwa dunia mpk leo hakuna mashua iliwahi fikia ikarudi salama
ni ziwa la pili kwa kina kitefu duniani


hvyo inahitajika MAARIFA ya ziada kuyatoa maji humo
hilo ZIWA lina mambo makubwa si mchezo ni moja ya milango ya kufikia HIDDEN WORD(kuzimu) ndio mana likawa afrca mashariki
na ndio mana NCHI yetu inaitwa NCHI ya MAZIWA MAKUU
hiyo TENDA ya kuyatoa maji humo labda apewe MCHINA
 
Kama Ziwa lingekuwa letu pekeyetu ingekuwa poa lakini Burundi,Drc,Zambia nao wamo.
Ziwa lina kilomita za ujazo 18900, na tunamiliki 46% kwa kila mtanzania kutumia lita 100 kwa siku tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 tu kwa mwaka. Pamoja na hayo, kuna mikataba juu ya matumizi ya maji yanayomilikiwa na nchi zaidi ya moja.
 
Hebu ita Uber nakupm location yangu uje nikupe dada yangu m'moja uwe shemeji yangu usijali ndoa nitagharamia. Lakini pia agiza mdudu na beer ule kabisa na kunywa muamala nakutumia.
Hahaaaa😀😀😀
 
Maji yatolewe??,Ili yapelekwe wapi sasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…