STUNTER aisee "nimebahatika" kuexpirience type zote hizi Tatu... Hao namba moja tatizo lau wajuaji mno ndio maana wengi wana mawe lakini hawaolewi! Ujuaji mwingi, alafu ukitaka mdumu au muishi viziri eidha umzidi hela au umzidi elimu (Sana sana hela) la sivyo 'unalo', utapiga weeee lakini hakubali habadani umuoe..
Hawa namba mbili huwaga ndio wasumbufu sana wakiolewa lakini sijui kwanini hawa type 2 ndio wana upepo wa kuolewa balaa!! Nahisi hawa wanajuaga kucheza na akili zetu wanaume.. Yani mnaweza kukaa mwezi au hata miezi miwili hajakuomba hata sh. mia yuko bize na 'mishe' zake za 'vitenge' lakini siku anakupiga mzinga huo mpaka nywele zinatoka mvi ghafla!! Alafu vizinga vyao huwa ni ngumu mwanaume kuchomoa, wako vizuri sana hawa!!
Alafu wanapenda kulazimisha ndoa, yani ukiwa nae miezi miwili tu anaanza kuongea mambo ya kuoana..
Hawa type 3 hawaumizi kichwa! Hawa wewe muhonge tu hela za kupanda 'bajaji', kubadilisha weaving, kununua handbag... Then na wewe jilipe, piga kadiri uwezavyo!! Lakini never ever usithubutu kuoa.. Alafu uzuri wenyewe wanajijuaga hawataki uwaache lakini pia akung'ang'anizi umuoe..
Kama ni kuoa angalau kidogo type 1, ingawa nao wengi wao wanakera hawajui kuplay ile role yao ya uanamke!! Wanataka nao wawe na sauti kama wewe..
Mi nasubiria Muumba atoe version mpya (type 4) labda hapo naweza kuoa.. [emoji3] [emoji41]