baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Sijawahi sikia Usa anaomba misaada wapambane na wengine sana sana wao watatoa misaada ya kifedha nchi nyengine ili watume watu wao wakaungane na USA kupigana pamoja.Ni mambo ya siasa za kimataifa, hata Uingereza ikiingia vitani inaweza kuomb isaidiwe hata chakula, si kwamba hawana chakula bali ni kusapotiana kwenye majanga (anaekusaidia kwenye shida ndie wa kumsaidia akipata shida)
Usisahau pia Israel wana uchumi mkubwa kwa misaada, wanapewa Misaada ya pesa Taslim na wanapewa misaada kwa Kampuni kubwa kuwekeza Nchini kwao kuhakikisha wanapata Ajira na upendeleo mwengine.Waisraeli na Israel yao sio matajiri ila Wayahudi ni matajiri. Israel haiwezi kuwa tajiri sababu haina resources, ina changamoto za kiusalama, haipo strategically located kama sisi au Singapore. Yani Israel haina lolote la kuifanya iwe nzuri kiuchumi, pale ilipo ni juhudi na akili kubwa yao. Ikitakiwa iwe level za Yemen, wale ndio Middle East wasio na rasilimali kabisa. Usiilinganishe Israel na Qatar nchi ya pili kwa kuchimba gesi duniani. Usiilinganishe na Saudi Arabia inayouza zaidi ya mapipa milioni 2 ya mafuta kila siku.
Wapemba ni matajiri Kariakoo, ila Pemba sio eneo tajiri. Ukiwa Pemba uuze nini ili uwe tajiri? Samaki uuze Tanga, Unguja, Dar ambapo nao wanavua? Ulime kwa ardhi gani iliyopo Pemba?
Sababu mojawapo ya Wayahudi kuchukiwa ni kila wakienda sehemu wanatajirika na kushika sekta nyeti kuliko wazawa. Usingekuwa Uislamu wabongo wangewachukia Waarabu ambao hata Kiswahili hawajui fasaha ila wanamiliki uchumi wa miji. Wahindi hawapendwi wanatajirika kwa hela wakati Wazaramo wanatajirika kwa singeli na vigodoro.
Kama ambavyo Iran inaomba msaada wa Syria, Yemen, Lebanon, Iraq kuishambulia Israel?Sasa kama Israel inajiweza hicho kielehele cha Marekani kupeleka meli ,silaha , na wanajeshi nchini Israel kinatoka wapi?
Iran haijawahi pigana vita na adui mwenye nguvu, ilipigana na Iraq miaka nane kwa mamilioni ya wapiganaji zikatoka suluhu. Iraq hiyohiyo ikapigana na coalition forces ya wanajeshi 130,000 tu hazikupita siku 50 Saddam Hussein alikutwa kwenye shimo. Wakati muda huo Saddam ana jeshi kubwa Middle East nzima.Kama ni historia hata Iran haina historia ya kushindwa vita tena dhidi ya maadui wenye nguvu kuwazidi hao maadui wa Israel kwa karne kadhaa mpaka sasa.
Mbona hujaitaja Syria iliyochukuliwa Golan heights, hujaitaja Jordan inayodai eneo lake, hujaitaja Palestina, hujaitaja Misri iliyochukuliwa Sinai eneo kubwa kuliko hata Israel yenyewe.Mbona Lebanon hai kugawanywa nusu kwa nusu mwaka 2006 badala yake Israel ndo aliye razimika kutema ardhi aliye iteka kutoka kwa jeshi la Lebanon?
"Akaitema Sinai" hiyo Sinai ilitemwa baada ya kuchukuliwa kwa nani si ni Misri huyohuyo? Kuna aliyemlazimisha Sadat asitishe vita? Angeendeleaje kukaza shingo wakati Israel ilikuwa imeiweka kati Egyptian III Army Corps wanajeshi 30,000 hawana supply wala route ya kurudi. Ingebidi Egypt iandae majeneza 30,000 wakati inakaza shingo. Nani aliizuia Israel isishambulie hiyo III Army kama si Marekani? Isingekuwa hivyo si wangesaga meno.Mbona kwenye vita ya Sinai Israel hakuongeza eneo ndani ya misri badala yake akaitema Sinai baada ya Marekani kumshawishi Sadart azuie wanajeshi wa misri wasisonge mbele kwa ahadi za mabilioni ya dora kila mwaka kutoka Marekani?
Kwanini usiishauri Hamas namna ya kuiangamiza Israel badala yake unaishauri Israel adui yako namna ya kuiangamiza Hamas. Israel haitaki ushauri wako, kafungueni kampuni ya kufukua vifusi hapo Gaza utajirike.Mpaka sasa Israel imesha dondosha mabomu 7,000 kwenye kieneo kidogo kama gaza lakini mpaka sasa bado hamas wanarusha maroketi ndani ya Israel sasa hiyo miundo mbinu ya hamas wanayo sema wanaipiga iko wapi?
Dunia imebadilika ndio. Kufanya ugaidi, ukapigwa alafu ukapost picha za maiti za watoto hakutakufanya uonewe huruma. Utatandikwa mpaka akili zirudi kichwani.Dunia kwa sasa imebadilika sana achana na mambo ya nyuma ya sijui historia kwa sababu hata Ujerumani kabla ya kushindwa vita ya dunia alikuwa amesha shinda vita huko nyuma.
Unafiki wa Waarabu upi? Si kila siku wanajilipua, wanajitoa mhanga, wanadhamini mashambulizi. Wanachofanya mataifa ya Kiarabu sio unafiki ni woga, kila ukinyoosha kidole unadundwa sasa ungekuwa wewe ungekubali. Cha kufia nini kisa Palestina, mnabaki nyinyi wajilipuaji na lawama. Kabebe paraglider kama Hamas uingie Israel ufie uko ukawahi mito ya pombe mbinguni.Mfano Tz tuilishinda Uganda na mpaka tukaiteka kampala,ina maana Nyerere angeamua kuichukua wenda mpaka sasa Uganda ingekuwa sehemu ya Tz, lakini hilo halimaanishi ya kuwa leo tunaweza kwenda vitani na Uganda tukaiteka mpaka Kampala kama mwaka 1979.
Usalama wa Israel unadhaminiwa na Marekani na Unafiki wa waarabu full stop hizo zingine ni story za abunwasi.
Wewe na ndugu zako mnaoishi kwa misaada ya ARVs, chandarua, chanjo na vyoo kutoka ukouko kwa maadui zako katika imani mbona hamna uchumi mkubwa?Usisahau pia Israel wana uchumi mkubwa kwa misaada, wanapewa Misaada ya pesa Taslim na wanapewa misaada kwa Kampuni kubwa kuwekeza Nchini kwao kuhakikisha wanapata Ajira na upendeleo mwengine.
TOFAUTISHA Arv na Matrilioni ya misaada ambayo hayakaguliwi yanaletwa tu.Wewe na ndugu zako mnaoishi kwa misaada ya ARVs, chandarua, chanjo na vyoo kutoka ukouko kwa maadui zako katika imani mbona hamna uchumi mkubwa?
Na nyinyi si mnatoa misaada ya visima, ngamia na tende. Si vinakuza uchumi si ndio?
Hayo makombora yamerushwa lini?
Sawa endelea kubishania kila jambo. Jews pale US hawaguswi ukitaka kupoteana pale US waguse jews. Kamuulize kanye westMarekani kuna matajiri kutoka kila jamii.
Nyinyi si mnatoa msaada wa maroketi na mabomu ya kujilipua. Na Wapalestina wakikaribishwa ugenini si wanaanzisha makundi ya kigaidi, kuteka na kupigana civil wars.TOFAUTISHA Arv na Matrilioni ya misaada ambayo hayakaguliwi yanaletwa tu.
TOFAUTISHA kujengewa kiwanda cha Chandarua na kuletewa Multinational industries.
Israel ni Nchi ndogo kama watu milioni 9 tu, Marekani pekee Direct msaada aliopeleka Israel ni zaidi ya Dola Bilioni 150 zaidi ya Trilioni 350 za madafu, Replace hao milioni 9 na watu wowote duniani wangetoboa.
uko sawa, lakini si mtu kuja kunambia wanashikilia mifumo ya pesa, huo uwezo hawana, US ni taifa lenye kila aina ya dini na kabila, hata watenda kazi wa white house kuna races nyingi mchanganyiko, kuja kunambia jews wameshikilia mifumo ya pesa, how?Waisraeli na Israel yao sio matajiri ila Wayahudi ni matajiri. Israel haiwezi kuwa tajiri sababu haina resources, ina changamoto za kiusalama, haipo strategically located kama sisi au Singapore. Yani Israel haina lolote la kuifanya iwe nzuri kiuchumi, pale ilipo ni juhudi na akili kubwa yao. Ikitakiwa iwe level za Yemen, wale ndio Middle East wasio na rasilimali kabisa. Usiilinganishe Israel na Qatar nchi ya pili kwa kuchimba gesi duniani. Usiilinganishe na Saudi Arabia inayouza zaidi ya mapipa milioni 2 ya mafuta kila siku.
Wapemba ni matajiri Kariakoo, ila Pemba sio eneo tajiri. Ukiwa Pemba uuze nini ili uwe tajiri? Samaki uuze Tanga, Unguja, Dar ambapo nao wanavua? Ulime kwa ardhi gani iliyopo Pemba?
Sababu mojawapo ya Wayahudi kuchukiwa ni kila wakienda sehemu wanatajirika na kushika sekta nyeti kuliko wazawa. Usingekuwa Uislamu wabongo wangewachukia Waarabu ambao hata Kiswahili hawajui fasaha ila wanamiliki uchumi wa miji. Wahindi hawapendwi wanatajirika kwa hela wakati Wazaramo wanatajirika kwa singeli na vigodoro.
Iron beam inatumia laser.Hiyo ni Iron Beam Decency system. Ni baba yake Iron Dom
Uongo mtakatifu, Nchi ambayo ina wapalestina wengi Duniani nje ya Middle East ni Chile.Nyinyi si mnatoa msaada wa maroketi na mabomu ya kujilipua. Na Wapalestina wakikaribishwa ugenini si wanaanzisha makundi ya kigaidi, kuteka na kupigana civil wars.
Kila mtu akale alikopeleka mboga
Angalia Ramani ya Palestina ndio utaelewa kwaniniMwarabu ubinafsi ni Kama miafrika. Haiingii akilini Gaza inapata maji na umeme kutoka Israel(ambao ni adui zao),kwanini nchi za kiarabu zisiwawezeshe Watawala wa Gaza(Hamas) waweze kutoa huduma za maji na umeme bola kumtegemea Israel?
Punguza jaziba maana unaongea mpaka unataka kupasuka utadhani una undugu na Netanyau.Kama ambavyo Iran inaomba msaada wa Syria, Yemen, Lebanon, Iraq kuishambulia Israel?
Iran haijawahi pigana vita na adui mwenye nguvu, ilipigana na Iraq miaka nane kwa mamilioni ya wapiganaji zikatoka suluhu. Iraq hiyohiyo ikapigana na coalition forces ya wanajeshi 130,000 tu hazikupita siku 50 Saddam Hussein alikutwa kwenye shimo. Wakati muda huo Saddam ana jeshi kubwa Middle East nzima.
Mbona hujaitaja Syria iliyochukuliwa Golan heights, hujaitaja Jordan inayodai eneo lake, hujaitaja Palestina, hujaitaja Misri iliyochukuliwa Sinai eneo kubwa kuliko hata Israel yenyewe.
Ni lini serikali ya Lebanon iliwahi tangaza vita dhidi ya Israel?
"Akaitema Sinai" hiyo Sinai ilitemwa baada ya kuchukuliwa kwa nani si ni Misri huyohuyo? Kuna aliyemlazimisha Sadat asitishe vita? Angeendeleaje kukaza shingo wakati Israel ilikuwa imeiweka kati Egyptian III Army Corps wanajeshi 30,000 hawana supply wala route ya kurudi. Ingebidi Egypt iandae majeneza 30,000 wakati inakaza shingo. Nani aliizuia Israel isishambulie hiyo III Army kama si Marekani? Isingekuwa hivyo si wangesaga meno.
Wakati vita inasitishwa jeshi la nani lilikuwa ardhi ya mwenzake? Israel ilikuwa imevuka bahari ya Sham iko upande wa Egypt Sadat yuko anapata kizunguzungu. Na kwanini Israel ilirudisha Sinai mwaka 1972 na kuondoka kabisa 1982, wakati vita ililiteka 1967.
Ulisoma makubaliano kwanini Israel ILIWARUDISHIA Sinai, sio Misri waliirudisha au waliinyang'anya. Sema Israel ILIWARUDISHIA. Sababu ni kuwepo amani na kuitambua Israel, na ndio maana elimu ahera wenzako walimuua Sadat. Na Misri ndio nchi ya kwanza ya Kiarabu kuitambua Israel, kabla ya hapo ilikuwa kiherehere na kimbelembele ikapigwa ikachakaa. That time Misri ndio ina jeshi kubwa zaidi Middle East inaweza wajumlisha Iran na Iraq ikawatandika kwa pamoja.
Ndio maana sitaki Israel iwaonee huruma baadae msije sema ujinga. Sasa hivi mpigwe mchakae.
Kwanini usiishauri Hamas namna ya kuiangamiza Israel badala yake unaishauri Israel adui yako namna ya kuiangamiza Hamas. Israel haitaki ushauri wako, kafungueni kampuni ya kufukua vifusi hapo Gaza utajirike.
Dunia imebadilika ndio. Kufanya ugaidi, ukapigwa alafu ukapost picha za maiti za watoto hakutakufanya uonewe huruma. Utatandikwa mpaka akili zirudi kichwani.
Na sasa hakuna Mwarabu mpuuzi wa kutetea ujinga wenu. Waarabu wenyewe nyie Wapalestina mkienda kwao mnakuwa wajuaji mnaharibu nchi zao.
Unafiki wa Waarabu upi? Si kila siku wanajilipua, wanajitoa mhanga, wanadhamini mashambulizi. Wanachofanya mataifa ya Kiarabu sio unafiki ni woga, kila ukinyoosha kidole unadundwa sasa ungekuwa wewe ungekubali. Cha kufia nini kisa Palestina, mnabaki nyinyi wajilipuaji na lawama. Kabebe paraglider kama Hamas uingie Israel ufie uko ukawahi mito ya pombe mbinguni.
Vita ya Iraq na Iran mi mwenyewe nilishangaa Iran imewezaje kutoka salama. Usichukulie simple. Ipo hivi.Kama ambavyo Iran inaomba msaada wa Syria, Yemen, Lebanon, Iraq kuishambulia Israel?
Iran haijawahi pigana vita na adui mwenye nguvu, ilipigana na Iraq miaka nane kwa mamilioni ya wapiganaji zikatoka suluhu. Iraq hiyohiyo ikapigana na coalition forces ya wanajeshi 130,000 tu hazikupita siku 50 Saddam Hussein alikutwa kwenye shimo. Wakati muda huo Saddam ana jeshi kubwa Middle East nzima.
Mbona hujaitaja Syria iliyochukuliwa Golan heights, hujaitaja Jordan inayodai eneo lake, hujaitaja Palestina, hujaitaja Misri iliyochukuliwa Sinai eneo kubwa kuliko hata Israel yenyewe.
Ni lini serikali ya Lebanon iliwahi tangaza vita dhidi ya Israel?
"Akaitema Sinai" hiyo Sinai ilitemwa baada ya kuchukuliwa kwa nani si ni Misri huyohuyo? Kuna aliyemlazimisha Sadat asitishe vita? Angeendeleaje kukaza shingo wakati Israel ilikuwa imeiweka kati Egyptian III Army Corps wanajeshi 30,000 hawana supply wala route ya kurudi. Ingebidi Egypt iandae majeneza 30,000 wakati inakaza shingo. Nani aliizuia Israel isishambulie hiyo III Army kama si Marekani? Isingekuwa hivyo si wangesaga meno.
Wakati vita inasitishwa jeshi la nani lilikuwa ardhi ya mwenzake? Israel ilikuwa imevuka bahari ya Sham iko upande wa Egypt Sadat yuko anapata kizunguzungu. Na kwanini Israel ilirudisha Sinai mwaka 1972 na kuondoka kabisa 1982, wakati vita ililiteka 1967.
Ulisoma makubaliano kwanini Israel ILIWARUDISHIA Sinai, sio Misri waliirudisha au waliinyang'anya. Sema Israel ILIWARUDISHIA. Sababu ni kuwepo amani na kuitambua Israel, na ndio maana elimu ahera wenzako walimuua Sadat. Na Misri ndio nchi ya kwanza ya Kiarabu kuitambua Israel, kabla ya hapo ilikuwa kiherehere na kimbelembele ikapigwa ikachakaa. That time Misri ndio ina jeshi kubwa zaidi Middle East inaweza wajumlisha Iran na Iraq ikawatandika kwa pamoja.
Ndio maana sitaki Israel iwaonee huruma baadae msije sema ujinga. Sasa hivi mpigwe mchakae.
Kwanini usiishauri Hamas namna ya kuiangamiza Israel badala yake unaishauri Israel adui yako namna ya kuiangamiza Hamas. Israel haitaki ushauri wako, kafungueni kampuni ya kufukua vifusi hapo Gaza utajirike.
Dunia imebadilika ndio. Kufanya ugaidi, ukapigwa alafu ukapost picha za maiti za watoto hakutakufanya uonewe huruma. Utatandikwa mpaka akili zirudi kichwani.
Na sasa hakuna Mwarabu mpuuzi wa kutetea ujinga wenu. Waarabu wenyewe nyie Wapalestina mkienda kwao mnakuwa wajuaji mnaharibu nchi zao.
Unafiki wa Waarabu upi? Si kila siku wanajilipua, wanajitoa mhanga, wanadhamini mashambulizi. Wanachofanya mataifa ya Kiarabu sio unafiki ni woga, kila ukinyoosha kidole unadundwa sasa ungekuwa wewe ungekubali. Cha kufia nini kisa Palestina, mnabaki nyinyi wajilipuaji na lawama. Kabebe paraglider kama Hamas uingie Israel ufie uko ukawahi mito ya pombe mbinguni.
Ila Gaza imepakana na Misri.Angalia Ramani ya Palestina ndio utaelewa kwanini
Wasiuze kwa hata nchi moja wasije wageuzia kibao
Hao Levant wenye influence kubwa hasa walio Wapalestina wanahitaji kupaza sauti sana ili kutetea haki za Wapalestina maana waarabu kupitia Arab league wameshasalim amri.Uongo mtakatifu, Nchi ambayo ina wapalestina wengi Duniani nje ya Middle East ni Chile.
Chile ni Nchi ya Tatu kwa Utajiri wa mtu mmoja mmoja Nyuma ya Uruguay na Guyana, na Nchi ya kwanza kwa Utajiri kwa Nchi za South America zenye population Atleast ya watu milioni 10.
Kitu gani kimefanya Chile kuwa Tajiri? Wapalestina ni Sababu kubwa, Hapo Santiago kuna wapelistina kama 500K ambao ni very successful wameanzisha makampuni Makubwa tu.
Si Chile tu South America na Latin Kwa Ujumla kuna Levant arabs wa Kutosha ambao wame revolutionize hilo eneo watu kama Carlos slim Tajiri wa Dunia 2010-2013 ambaye mpaka Leo yupo top 10 ndio anawaletea series za Ki Mexico mpaka Leo wadada wanaoangalia huku.
Nchi kama Argentina, Uruguay, Brazil, El Salvador na Nchi nyingi za huu Ukanda zina influence kubwa sana za levants Tunaongelea influence hadi wamekua Maraisi, Raisi wa Sasa wa El salvador ni NAYIB bukele toka Palestina, si NAYIB tu hata aliekua Raisi wa Argentina Carlos Menem pia ni mwarabu wa Syria.
Toka South Nenda Hapo Usa unakutana na Steve Job mwarabu mwengine toka Ukanda huo huo kaanzisha kampuni ambayo imekuwa Tajiri kuliko zote Duniani. Leo Kampuni Tatu Tajiri zaidi Duniani ni Apple, Microsoft na Saudi Aramco, so 3 Tajiri duniani 2 zimeanzishwa na waarabu.
Hivyo kusema Wapelstina wakikaribishwa ugenini ni magaidi kuna onesha upo tayari Kuongea uongo kumridhisha mabwana wako na ku ignore mafanikio Makubwa ambayo wapalestina wameyaleta Duniani Hali ya kuwa wamefungwa mikono
Kumbe ndo maana huko arabu kuna mabasha na mabashuliwaWaarabu ni wabinafsi, familia chache zimejimilikisha visima vya mafuta huku wengine wana hali mbaya kiuchumi, na ndio hawa unawakuta wana jeuri ya pesa ana magari 100, majumba kibao, n.k. hajali kuwa kuna waarabu wengi wana hali duni
Wayahudi wapo matajiri wengi lakini wana nidhamu ya pesa na ni wasomi, wanaishi simple, tajiri unamkuta ana gari moja na wala hajitangazi, fedha zingine anasaidia wengine, na hawezi kukataa msaada hata apewe laki 1.