Jioni moja miaka mingi iliyopita na Subhash Patel

Jioni moja miaka mingi iliyopita na Subhash Patel

Hapo unapokuwa unaongea naye na hicho kidoti chekundu kwenye paji la uso unahisi kama ana ku record.
 
sasa wewe boya umeileta ili itusaidie nini? Yeye alikuwa na umuhimu gani kwetu?
Au shukrani kwa zile nguo alizozichoka mlizokuwa mnapata?
Sisi haituhusu, kama kufa kafa kama wengine.
 

Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu.

Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake.

Miaka hiyo alikuwa anaishi nyuma ya Zanzibar Guest House Mtaa wa Zanaki na Libya Street sehemu za Kisutu. Siku hizo Subash hakuwa tajiri lakini mfanyabiashara kijana anaeinukia. Ninachokumbuka kila nilipokuwa nasoma jina la Subash katika magazeti au kumuona katika TV ni kuwa ilikuwa nyumbani kwake ndipo nilipoiona movie mashuhuri, "The Message," kwa mara ya kwanza.

Hii ilikuwa sinema maarufu sana kuhusu maisha ya Mtume Muhammad (SAW). Sinema hii tukiisoma sifa na "reviews," zake kwenye magazeti tu kwani enzi hizo Tanzania ilikuwa hoi na taaban kwa kila kitu.

Sinema za Hollywood zilikuwa haziingii nchini. Waagizaji wa filamu Tanzania Film Company (TFC) kazi iliwashinda kabla hata hawajaianza. Kwangu Mimi kupata nafasi ya kuangalia sInema hii halikuwa jambo dogo.

Iko siku Subhash alikuja ofisini kwetu alikuwa na miadi na Mkurugenzi wa Idara tukaonana na kusalimiana lakini hakunikumbuka. Ilikuwa miaka mingi imepita na ilikuwa tumeonana mara moja tu.
sijaelewa
 
Kwa nini Waasia wanafanikiwa zaidi kuliko sisi Watanzania weusi ? Halafu hawaachi utamaduni wao ingawaje wala hawaishi India/Pakistani , ...
Utawala wa nyerere uliwabana
Tulibaniana wenywwe kwa wenyewe
Waasia,wazungu,magiriki warabu walipewa kipaumbele
Huo ndiyo ukweli

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
1gb

Wewe ni mtu wa pili kunilaumu.
Kipi hakijakaa sawa?
Pole sana
Ndiyo vijana wetu hawa. Wanaingia na majibu ya mitihani hata vyuo vikuu. Usife moto

Allah akuongezee hekima na maarifa, maisha marefu tujifunze zaid toka kwako
Inshallah.
 
Hongera nyingi Said Kwa Miaka uliyofikia!

Tunakupongeza sana pia tunajifunza mengi toka kwako!

Kipindi cha TBC saa nane ulivyoongelea mchango wa wanahakati wazalendo katika kupata uhuru ulitupa mwanga sana ahsante!

Ahsasante sana na Mola akupe miaka 50 tena!
 
Muft hainogi unaponiita Muuza peke, inapendeza ukiniita Muuza Viat kiujumla wake.
Muuza Viatu,
Nitafanya hivyo hivyo kaka yangu.

Unavyo Clarks saizi 42 kwenye duka lako au Roland Cartier?

Mimi si mufti.
 
Muuza Viatu,
Nitafanya hivyo hivyo kaka yangu.

Unavyo Clarks zaizi 42 kwenye duka lako au Roland Cartier?

Mimi.si mufti.

..kumbe na wewe ni mtu mambo hayo?

..sasa unataka mzigo wa clarks casual, au dress shoes?

..au unataka Clarks wallabee?

🤣🤣
 
Back
Top Bottom