Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Wamenajisi soka ndio maana walikimbia chamazi hawapendi kamera!
Umeumbuliwa na refa mwenye maelekezo. Soka letu kivyetuvyetu.Tukashuhudie mechi ya ligi kuu NBC kweli isiyo na mipango twendeni tukaone mechi kikosi vikipangwa bila maelekezo toka kwa wamiliki wa timu ....Hata simba akishinda huwa anapata point halali za jasho na damu wachezaji wana henyeka hii inawasaidia sana simba kwenye mashindano ya caf ,kufanya vizuri...Mechi za namungo zinakuwa ni ngumu sana dhidi ya simba mara mbili imeshatokea Namungo kumzuia Simba ubingwa kwa kupata sare.....
Wale wenye hisia kuwa mgunda ni kocha aliyewahi kufundisha simba ni kweli lakini Mgunda hajawi kuwa shabiki au mwanachama wa Simba alikwenda kikazi ...Mgunda ni Coastal union kwa kadi ... .hivyo tutegemee mechi ya ufundi na ushindani sio ile ya kipa kuanguka kama njiwa kapigwa manati au dube anaruka peke yake bila kukabwa ......tushuhudie ateba,Mpanzu ahoua wakitoka jasho kweli yanayo endena na uhalisia wa mishahara na dola thamani ya dola wanazolipwa....unasajili bei ghali mechi unasaidiwa na mipango ya kali ongala,mexime na minziro...twendeni tushuhudie NBC PREMIER LEAGUE ya kweli sio ile ya jumatatu ya mipango iliyonajisi mpira wetu kila la kheri namungo kila kheri simba....
MATUSI POVU VINARUHUSIWA maana ndio silaha ya mtu mpumbavu.
Mechi ni nzuri vikosi vyote ni vya kwanza hakuna list ya kiongozi wala maelewano ya raisi na mmiliki wa timu kifupi matokeo hayajapangwa!Umeumbuliwa na refa mwenye maelekezo. Soka letu kivyetuvyetu.
Huko ulipo kila ukiangalia kadi nyekundu unaona aibu,kuurudia huu uzi.Naona refa muamala umesoma,kweli nyie hambebwi mnapambana wenyewe.Tukashuhudie mechi ya ligi kuu NBC kweli isiyo na mipango twendeni tukaone mechi kikosi vikipangwa bila maelekezo toka kwa wamiliki wa timu ....Hata simba akishinda huwa anapata point halali za jasho na damu wachezaji wana henyeka hii inawasaidia sana simba kwenye mashindano ya caf ,kufanya vizuri...Mechi za namungo zinakuwa ni ngumu sana dhidi ya simba mara mbili imeshatokea Namungo kumzuia Simba ubingwa kwa kupata sare.....
Wale wenye hisia kuwa mgunda ni kocha aliyewahi kufundisha simba ni kweli lakini Mgunda hajawi kuwa shabiki au mwanachama wa Simba alikwenda kikazi ...Mgunda ni Coastal union kwa kadi ... .hivyo tutegemee mechi ya ufundi na ushindani sio ile ya kipa kuanguka kama njiwa kapigwa manati au dube anaruka peke yake bila kukabwa ......tushuhudie ateba,Mpanzu ahoua wakitoka jasho kweli yanayo endena na uhalisia wa mishahara na dola thamani ya dola wanazolipwa....unasajili bei ghali mechi unasaidiwa na mipango ya kali ongala,mexime na minziro...twendeni tushuhudie NBC PREMIER LEAGUE ya kweli sio ile ya jumatatu ya mipango iliyonajisi mpira wetu kila la kheri namungo kila kheri simba....
MATUSI POVU VINARUHUSIWA maana ndio silaha ya mtu mpumbavu.
Hahahaha mirembe is realMechi ni nzuri vikosi vyote ni vya kwanza hakuna list ya kiongozi wala maelewano ya raisi na mmiliki wa timu kifupi matokeo hayajapangwa!
Tatizo kamdomo yaani makolo dah mpka siyo poaaTukashuhudie mechi ya ligi kuu NBC kweli isiyo na mipango twendeni tukaone mechi kikosi vikipangwa bila maelekezo toka kwa wamiliki wa timu ....Hata simba akishinda huwa anapata point halali za jasho na damu wachezaji wana henyeka hii inawasaidia sana simba kwenye mashindano ya caf ,kufanya vizuri...Mechi za namungo zinakuwa ni ngumu sana dhidi ya simba mara mbili imeshatokea Namungo kumzuia Simba ubingwa kwa kupata sare.....
Wale wenye hisia kuwa mgunda ni kocha aliyewahi kufundisha simba ni kweli lakini Mgunda hajawi kuwa shabiki au mwanachama wa Simba alikwenda kikazi ...Mgunda ni Coastal union kwa kadi ... .hivyo tutegemee mechi ya ufundi na ushindani sio ile ya kipa kuanguka kama njiwa kapigwa manati au dube anaruka peke yake bila kukabwa ......tushuhudie ateba,Mpanzu ahoua wakitoka jasho kweli yanayo endena na uhalisia wa mishahara na dola thamani ya dola wanazolipwa....unasajili bei ghali mechi unasaidiwa na mipango ya kali ongala,mexime na minziro...twendeni tushuhudie NBC PREMIER LEAGUE ya kweli sio ile ya jumatatu ya mipango iliyonajisi mpira wetu kila la kheri namungo kila kheri simba....
MATUSI POVU VINARUHUSIWA maana ndio silaha ya mtu mpumbavu.
Wametokaje ???
Makandokando ni kitu gani mdau ?...je !,ni tofauti na uchafu huu tunaoushuhudia huko kwa watu wenye meno mafupi ?Tukashuhudie mechi ya ligi kuu NBC kweli isiyo na mipango twendeni tukaone mechi kikosi vikipangwa bila maelekezo toka kwa wamiliki wa timu ....Hata simba akishinda huwa anapata point halali za jasho na damu wachezaji wana henyeka hii inawasaidia sana simba kwenye mashindano ya caf ,kufanya vizuri...Mechi za namungo zinakuwa ni ngumu sana dhidi ya simba mara mbili imeshatokea Namungo kumzuia Simba ubingwa kwa kupata sare.....
Wale wenye hisia kuwa mgunda ni kocha aliyewahi kufundisha simba ni kweli lakini Mgunda hajawi kuwa shabiki au mwanachama wa Simba alikwenda kikazi ...Mgunda ni Coastal union kwa kadi ... .hivyo tutegemee mechi ya ufundi na ushindani sio ile ya kipa kuanguka kama njiwa kapigwa manati au dube anaruka peke yake bila kukabwa ......tushuhudie ateba,Mpanzu ahoua wakitoka jasho kweli yanayo endena na uhalisia wa mishahara na dola thamani ya dola wanazolipwa....unasajili bei ghali mechi unasaidiwa na mipango ya kali ongala,mexime na minziro...twendeni tushuhudie NBC PREMIER LEAGUE ya kweli sio ile ya jumatatu ya mipango iliyonajisi mpira wetu kila la kheri namungo kila kheri simba....
MATUSI POVU VINARUHUSIWA maana ndio silaha ya mtu mpumbavu.
Tff wapo wameshuhudia refa akiharibu burudani ila sio ya kupanga hersi na mwigulu ya kuachiana match fixing ile ni mbaya sana!Hawa mbumbumbu ni wepesi kama pamba,,wakiwa wanabweka kama mbwa yanga anaposhinda uwa tunawachora tu maana michezo yao ndio iyo ya marefa kupewa bahasha,,yanga atomuhurumia mtu ataendelea kupiga utosini alafu tutakutana mwisho wa msimu
Refa afungiwe mara moja!Makandokando ni kitu gani mdau ?...je !,ni tofauti na uchafu huu tunaoushuhudia huko kwa watu wenye meno mafupi ?
Kwani wao ndio waliotaka kucheza na malaika!Tatizo kamdomo yaani makolo dah mpka siyo poaa
Matokeo hajapangwa kuachiana kama ya singida na yanga hapo wa kuadhibiwa ni refa kama kafanya kusudi ila game ilikuwa poa sana!Huko ulipo kila ukiangalia kadi nyekundu unaona aibu,kuurudia huu uzi.Naona refa muamala umesoma,kweli nyie hambebwi mnapambana wenyewe.
Huna tusi jingine jipya kwenye boksi!
Refa anadhibiwa kwa kuwabeba au anaadhibiwa kwa sababu gani?Matokeo hajapangwa kuachiana kama ya singida na yanga hapo wa kuadhibiwa ni refa kama kafanya kusudi ila game ilikuwa poa sana!
Si ndio mna mtuhumu au sio refa!Refa anadhibiwa kwa kuwabeba au anaadhibiwa kwa sababu gani?