Pole sana mkuu. Kaazime kwa jirani.Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaungua😭...Yan nimeishiwa pozi...
Hapana Ni Silver crestAisee Pole sana. Ndio zile blenda za niffer au? 🙈Anyway, tafuta blender inaitwa Nama. Ni MKATABA.
Au labda wakishua huyu🤣🤣🤣Kama unaishi vizuri na majirani zako unaona shida gani kwenda wakuazime kwa leo.
Hapana mix nzuri tuMkuu Ulikuwa unatengeneza Bomu?
Imekufa hii silver crestSio imetrip motor
Huo anautoa tuu..huo mchaichai je
Oooh!Nilishayachanganya Na Maji
Kama unaishi vizuri na majirani zako unaona shida gani kwenda wakuazime kwa leo.
Usiharibu siku kubali yaishe,jipange kivingine,la unaishi vizuri na jirani azima fanya yako huku ukisubiria kesho itakuwaje😆Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaungua😭...Yan nimeishiwa pozi...
WhyLazimabtu jioni yako iwe mbaya kwa mtindo huu!!..
Juice mix Tamu sanamkuu hiyo ni mix juice, smoothie au ni tiba asilia..?🤣
HawanaKaazime kwa jirani
Jirani hanaMgongee jirani kwa leo.....
pole ila mh!😂Juice mix Tamu sana