Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hapana bhana na huku REA wamewezesha hata huko mpigamiti nao wamepata motoNikajua ni zile ruro za mpigamiti mdogo angu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bhana na huku REA wamewezesha hata huko mpigamiti nao wamepata motoNikajua ni zile ruro za mpigamiti mdogo angu
Duh asee hapo hupati msaada. Ila ina maana nyìe wajeda hamwezi nunua blender jamani? Hao wajeda wenzako majirani hawana?Tanga segera maeneo ya Michungwani
Bongo gakuna silver crest og, zote ni fekero toka china hata desini ni feki sio og mwitaliano mwenyewe.Hapana Ni Silver crest
You need to grow up. Sio kila changamoto unayopitia lazima uje ulie lie mitandaoni. Sawa ?Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaungua😭...Yan nimeishiwa pozi...
Muhasibu mnunulie mwenzio blender.Kwa hiyo sisi tukusaidiaje? Kaza, acha kudeka
Pole sana, ni ya aina ganiNimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaungua😭...Yan nimeishiwa pozi...
Silver crest Yani usithubutu kuchukuaPole sana, ni ya aina gani
Maana nataka nijilipue nichukue heavy duty moja ambazo zinatangazwa huku mtandaoni
Nahofia nisije ingia cha kike
Duh halafu ndio nilikuwa najichanganya humo humoSilver crest Yani usithubutu kuchukua
Mimi sio mjeda MkuuDuh asee hapo hupati msaada. Ila ina maana nyìe wajeda hamwezi nunua blender jamani? Hao wajeda wenzako majirani hawana?
TanteePole toto
Huwezi kuelewa my dearMariah rural gani ina umeme jamani au watumia solar
Kumbe?! Kesho kutwa nitakua MuhezaNiko Tanga segera
Pole sana, basi tena kwa leo....Huwezi kuelewa my dear