Jioni yangu imekua mbaya ghafla😩😩😩😩😩

Jioni yangu imekua mbaya ghafla😩😩😩😩😩

Hapana Ni Silver crest
Nunua Kenwood au Panasonic. Silver crest na wachina wenzake ubora mdogo zinawahi kufa hizo nilizotaja if hauziabuse zinadumu muda mrefu mpaka zife basi inakuwa siku imefika na hata utaona kabisaa maplastic yake yanakuwa yamechoka hapo inakuwa ishakuhudumia vya kutosha. Silver crest na wenzake zinakufa ilihali kitu bado kina upya wake.
 
Kenw
Nunua Kenwood au Panasonic. Silver crest na wachina wenzake ubora mdogo zinawahi kufa hizo nilizotaja if hauziabuse zinadumu muda mrefu mpaka zife basi inakuwa siku imefika na hata utaona kabisaa maplastic yake yanakuwa yamechoka hapo inakuwa ishakuhudumia vya kutosha. Silver crest na wenzake zinakufa ilihali kitu bado kina upya wake.
Kenwood Ni heavy duty pia?
 
Kenw
Kenwood Ni heavy duty pia?
Kenwood Heavy duty zipo ila bei imechangamka kama upo Dar nenda mlimani city au mnazi mmoja cloak tower au shoppers supermarkets au shrejee supermarket au posta SM Megji kati ya haya maduka utapata. Vilevile kuna maduka ya vyombo vya hotels nakumbuka rose garden rose mikocheni, masaki sopco petrol station yalikuwepo hayo maduka huko napo waweza pata pia.
 
Kenwood Heavy duty zipo ila bei imechangamka kama upo Dar nenda mlimani city au mnazi mmoja cloak tower au shoppers supermarkets au shrejee supermarket au posta SM Megji kati ya haya maduka utapata. Vilevile kuna maduka ya vyombo vya hotels nakumbuka rose garden rose mikocheni, masaki sopco petrol station yalikuwepo hayo maduka huko napo waweza pata pia.
Shukrani sana
 
Back
Top Bottom