Jioni yangu imekua mbaya ghafla😩😩😩😩😩

Jioni yangu imekua mbaya ghafla😩😩😩😩😩

Mgongee jirani kwa leo.....
Inategemeana na jirani ndugu.Iliwai nitokea enzi izo tumepanga apartment watu wawili Tu.Ile nachomeka Tu blender kil kinachoingia kwenye switch kikakatika.Kwenda kwa jirani.Unajua alichonijibu.Blender ni kitu expensive hawezi niazima ikiharibika siwezi mlipa.Ilibidi nikamwage huo mchanganyiko.
 
Back
Top Bottom