amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Plastic schrederZiko unaweza kunitumia picha?
Hii hadi ifike bongo itakuwa bei gani?View attachment 1288236
Hii nimashine ya kuchana mbao
Basi nisaidie nijue bei ya kinanda used model YAMAHA ELECTONE ORGAN EL. 90Vinanda vipo vingi sana tuapokea order kupitia kwenye forum watu waliko Japan watakutumia picha na bei ya kinanda
OkayHizi pikipiki hatuna kwenye store Tuna order ya pikipiki mbili hii week yatu bilabila naomba muda kidogo zikipatikana nitakupa bei yake au watumie moja kwamoja kupita kwenye www.digxam.com/forum utapata majibu sahihi
Niulizie kubota tractor 4wd hp 75 hadi dar niandae ngapiUkipokea mzigo wako toa maoni yako changamoto zozote utakazo kumbananazo au bila changamoto ingia kwenye website www.digxam.com/forum/Testimonial utaingiziwa shiling 10,000 kwenye acount yako utaitumia kwenye manuzu yako kupita kwenye website yetu sio ku-withdraw
Sina akika kama kubota wana tractor la HP 75 ngoja naulizia nitakujibu
Nimepata Engin ya mashine yangu nikishaifunga kwenye Grader likifanya kazi vizuri nita comment Mkuu nashukuru kwa uaminifu wenuUkipokea mzigo wako toa maoni yako changamoto zozote utakazo kumbananazo au bila changamoto ingia kwenye website www.digxam.com/forum/Testimonial utaingiziwa shiling 10,000 kwenye acount yako utaitumia kwenye manuzu yako kupita kwenye website yetu sio ku-withdraw
Asante sana mkuuAsante Karibu sana!!
View attachment 1339072View attachment 1339076 Water pressure original ya mafuta imefungwa Engine ya Honda mafuta kidogo sound proof bei yake 1.5 m
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii huwa inatumika kwenye nini mkuuView attachment 1339072View attachment 1339076 Water pressure original ya mafuta imefungwa Engine ya Honda mafuta kidogo sound proof bei yake 1.5 m
Sent using Jamii Forums mobile app
Engine imefungwa mashine yangu unafanya kazi kama mpya opareter kaniambia sasa nitakupa tena kuna ndugu yangu ana Grader D7 limekufa alienda komatsu dar wakampigia hesabu ndefu akashindwa nitamleta hapo yardini kweni nfanye naye BiasharaUnaweza kuoshea magari au kunyunyizia dawa kwenye mashamba ya mikorosho michungwa nk
Kwa sasa natumia 165 R13, Nataka kubadiri niweke size 14 ili angalau gari inyenyukeView attachment 1347673
Mkuu size 14 tundu nne bado sio kipimo sahihi cha Riams nitumie namba za Tire za gari lako nfano 175/65-14
Tyre Zina hali gani? Weka pichaOk poa Rems kali bei yake laki nne.