Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #61
Huo ni mtego kama ukibadili maamuzi hakikisha unabeba Ndocom za kutosha uskute kashatiwa MIMBA anataka kukusingizia ni Yako.
π π π Hapana kaka. Nimewaza kwa sauti tuDah na wewe unanipiga nyundo
ya utosi?
Kuna kahisia kananiambia, jamaa alikuwa anatuma msg na simu ndogo, kisha ana jijibu na simu kubwa...
Anyway, I hope sio kweli [emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28] Hapana kaka. Nimewaza kwa sauti tu
Kijana Bogus huyoMbona kama wewe umempenda? Yaani mtu ambaye humtaki unamwambia mambo ya nikija utanipa Nini? Kwani haijulikani mwanamke anachompa mwanaume, unapomuuliza umenipendea Nini? Ni kweli hapo hutaki kumkunja? Halafu sioni kama ni sawa kuweka mambo faragha ya mwenzio, mwanaume akitongozwa Huwa hatangazi anapiga kimya kimya
Shezi kabisa wewe kwahiyo nimekuwa kigogo? πInawezekana[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana message za receiver na sender zote zinafanana
Ni kopo na mfuniko wake kwa ufupi
Ili nife kwa BP AU?[emoji38][emoji38][emoji38]
Si umwambie ukweli
Kuna vingi kwenye hiyo chatting vinaleta wasiwasi. Nikisema niikague sana, dogo atanimind π πInawezekana[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana message za receiver na sender zote zinafanana
Ni kopo na mfuniko wake kwa ufupi
Umewaza mbali sanaπ π π Hapana kaka. Nimewaza kwa sauti tu
Bora usepe mapemaKuna vingi kwenye hiyo chatting vinaleta wasiwasi. Nikisema niikague sana, dogo atanimind π π
Shezi kabisa wewe kwahiyo nimekuwa kigogo? [emoji23]
Acha tu nimtunzie siri. Ila hizo screenshot ukiziangalia kwa umakini, kuna vitu utagundua π π[emoji38][emoji38][emoji38]
Si umwambie ukweli
ππππ tunakuwa kivutio cha wageni hapa tzDunia inaenda kasi ya 5G kuna siku wanaume utawakuta jumba la makumbusho
Wajuaji sana kuliko TCRA[emoji38][emoji38][emoji38]
Mie sina baya na wewe mkuu
Me nashangaa tu watu wanavyokupiga spana
Mwambie achunge sana watu wanatembea na mafuta ya kula πππ
Kuna vingi kwenye hiyo chatting vinaleta wasiwasi. Nikisema niikague sana, dogo atanimind [emoji28][emoji28]
Wewe na uyo manzi ni pipa na mfuniko, maana yake nn mkuu samahani lknJinsi unavyojiweka ndivyo anavyokuchukulia, hizo texts zako zimekushusha vyeo hapo mtaani.
Wewe na uyo manzi ni pipa na mfuniko