Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Halaf mtaa gani huo unakutana kutana na watu ovyo kila saaπŸ˜…

Em ahame uswazi
Alafu Mwanaume Unaendaje Sokoni Mara Oh Kaniagiza Nyanya Sijui Kitunguu Sijui Kasahau kanitumia nyama Tuweni Serious Kuna Muda Ili hata Ke Akitaka Kukupa Utamu anakupa Tuu Bila Wasi Hela utatoa mwenyewe
 
Kijana

Nakupa ushauri wa Bure, zingatia

Katika maisha yako usithubutu kutoka na jirani yako. Utility bill zote Zitakuwa juu yako!

Usithubutu kutoka na vibinti vya mtaani kwako, hutakuwa huru kwenye mambo yako ya mahusiano.

Staff mwenzio kazini, mfanyakazi wako, achana na hizi mambo kabisa. Ni full stress!

Asante!
 
Huyo demu inaonekana anabebea kibwebwe njaa zake. Usijitusu ukamla, utakua ndo unahudumia kila kitu kuanzia gesi, hela ya saluni, hela ya umeme. DON'T TRY IT.
Inaonekana ni wale mademu njaa njaa sana, kaa nae mbali sana.
 
Alafu Mwanaume Unaendaje Sokoni Mara Oh Kaniagiza Nyanya Sijui Kitunguu Sijui Kasahau kanitumia nyama Tuweni Serious Kuna Muda Ili hata Ke Akitaka Kukupa Utamu anakupa Tuu Bila Wasi Hela utatoa mwenyewe
Kwahiyo ukiwa single utakuwa unakula mgawani mpaka uoe?
 
Usije ukajidhania handsome, unapangwa ili upewe majukumu halafu utakuwa unapewa majukumu huku unanyanyasika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…