Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nguruwe nitakataka tuu hafai kufugwa nimnyama waporiniYule jamaa nguruwe anawaosha kila wiki na kupiga deki kila asubuhi ,
ibada inaanza asubuhi hadi usiku😁😁😁😁Kuna rafiki yangu jirani yake kaanziasha kanisa, basi kelele mtindo mmoja ijumaa na jumapili hawalali kuanzia asbh had usiku
Kwa hiyo nifuge kuku wangapi ?Kuku wengi harufu inasikika na inzi kama wote.
achana nae huyo hana inshu.sawa myERoni eti upo babe?
Wapi huko? Mbona fair kama ni sehemu potential.Jaribu kumnunua
Mimi mjomba Wangu anasali swala tano Ila jirani anauza pombe za kienyeji na kupiga kelele na walevi
Alichofanya alimnunua akamtoa .
Alikuwa Ana eneo dogo Sana miguu 20 Kwa 20 Ila alimpa million 20 na Nyumba yake ya Vyumba wiwili.
Nje ya mji pia pale alinunua kiwanja Nyumba ilikuwa sio nyumba kama nyumbaWapi huko? Mbona fair kama ni sehemu potential.
Kama uwezo unaruhusu unafanya hivyo. Kuvumilia kero ni ngumu sana.Jaribu kumnunua
Mimi mjomba Wangu anasali swala tano Ila jirani anauza pombe za kienyeji na kupiga kelele na walevi
Alichofanya alimnunua akamtoa .
Alikuwa Ana eneo dogo Sana miguu 20 Kwa 20 Ila alimpa million 20 na Nyumba yake ya Vyumba wiwili.
Ok, nje ya mji upi?Nje ya mji pia pale alinunua kiwanja Nyumba ilikuwa sio nyumba kama nyumba
Hapa dar kuna sehemu panaitwa MombassaOk, nje ya mji upi?
Ok, pale ni town tabu kule uswahilini na ardhi ni water logged.Hapa dar kuna sehemu panaitwa Mombassa
Unasema yule jamaa anawaogesha nguruwe wake wakati huyo jamaa ndo wewe, we nenda kawaulize majirani kama nguruwe wako hawawakeri uone watakavyokutoa baruYule jamaa nguruwe anawaosha kila wiki na kupiga deki kila asubuhi ,
Jirani ananiambia be humbleKama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomambia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
upo kwenye system gani fukara wewe