Jirani anaweza kukufanya uchukie nyumba yako

Jaribu kumnunua

Mimi mjomba Wangu anasali swala tano Ila jirani anauza pombe za kienyeji na kupiga kelele na walevi

Alichofanya alimnunua akamtoa .


Alikuwa Ana eneo dogo Sana miguu 20 Kwa 20 Ila alimpa million 20 na Nyumba yake ya Vyumba wiwili.
Kama uwezo unaruhusu unafanya hivyo. Kuvumilia kero ni ngumu sana.
 
Kama Mambo Mengi katika nchi yapo holela, barabara zimegeuzwa masoko, hakuna Njia za waenda Kwa miguu, full fujo!! Sasa unahisi huyo Jirani ni mwerevu kuliko uongozi wa tunayoyaona mabarabarani, haiwezekani ustaarabu huanza na uongozi kuja kwenye ngazi ya familia. Jua uongozi wa kiserekali ni taratibu na Sheria na Familia ni hekima na ustaarabu!! Nakushauri wewe endelea kujenga upendo na Jirani Yako, acha Visa!! Huko mabarabarani nako ni hovyo Kabisa
 
Jirani ananiambia be humble
Be humble!!?? That's ridiculous am serious notorious baba hakutuachia mtaji wala urithi sasa huyo ni baba gani?
Humble au mtemi?
 
Ha ha ha haaaa hivi na tulio kwenye nyumba za kupanga nao tuna majirani? Any way mimi mpangaji mwenzangu alikuwa kero kwangu kama ndio jiran basi ndiye huyo huyo.
Picha linaanza ana miaka 31 na ana watoto watano. Kinachotokea huduma muhim kwa familia hatoi chai ikipikwa sukari inawekwa kiasi kwamba chai ikiwa inaingia tumboni ndio unajua kuwa ilikuwa na sukari.
Uji ukikorogwa ni marufuk kuweka sukari anatia chumvi.
Samaki akinunua bichwa lote lake pekee yake watoto watajua wenyewe na kwa kuwa ni msabato anapitia humo humo kuwanyima familia baadhi ya huduma.
Shughuli kwa majirani watot wake wte wanajua ratiba ya majirani kula ha ha haaa ukitenga tu timu ya watoto wanne hao hapo kasoro mkubwa tu ndio anajitambia maana mkubwa yupo drs la pili.
Kumbuka watoto ni malaika maana huwezi wanyima chakula ila kero na lawama zinarudi kwa mzazi hasa wa kiume ni Nyau saana yule mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…