Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Kiongozi bhana, sijawahi kula au kufunga hiyo onki onki ila natoa ushauri wa ufugaji tuUnasema yule jamaa anawaogesha nguruwe wake wakati huyo jamaa ndo wewe, we nenda kawaulize majirani kama nguruwe wako hawawakeri uone watakavyokutoa baru
Mungu atakubariki kwa ku share rizki na malaika hao.Ha ha ha haaaa hivi na tulio kwenye nyumba za kupanga nao tuna majirani? Any way mimi mpangaji mwenzangu alikuwa kero kwangu kama ndio jiran basi ndiye huyo huyo.
Picha linaanza ana miaka 31 na ana watoto watano. Kinachotokea huduma muhim kwa familia hatoi chai ikipikwa sukari inawekwa kiasi kwamba chai ikiwa inaingia tumboni ndio unajua kuwa ilikuwa na sukari.
Uji ukikorogwa ni marufuk kuweka sukari anatia chumvi.
Samaki akinunua bichwa lote lake pekee yake watoto watajua wenyewe na kwa kuwa ni msabato anapitia humo humo kuwanyima familia baadhi ya huduma.
Shughuli kwa majirani watot wake wte wanajua ratiba ya majirani kula ha ha haaa ukitenga tu timu ya watoto wanne hao hapo kasoro mkubwa tu ndio anajitambia maana mkubwa yupo drs la pili.
Kumbuka watoto ni malaika maana huwezi wanyima chakula ila kero na lawama zinarudi kwa mzazi hasa wa kiume ni Nyau saana yule mwamba
Ila nyama yake unakula husikii hiyo harufu mshehe??Kuna sehemu moja mtaa wa pili jamaa mmoja anafuga nguruwe harufu iliyopo pale hata ukiwa nyumba ya 5 kutoka kwake harufu inafika sasa sijui yule jirani wa karibu anaishije harufu mbaya kinoma mimi mpita njia tu sikuhizi nimebadili njia
Kuwa mnyama tu,,,Wewe tayari ni takataka,,,Hata sisi ni takataka toshaHakuna nguruwe msafi nguruwe mwenyewe tu ni takataka tosha
😅Hivi;hizo picha huwa mmeziandaa kabisa au mkisoma tu uzi mnawahi kutafuta tukio mfanano?🤣🤣🤣🙏
shenzi kabisa😁😁😁 system gani ya umeme auJf hii mkuu [emoji3][emoji3]🤣
Look at those baboons/gorilla-magilas are laughing at their friend who is looking back at them.😂😂😂😂
Ndio hasara ya kuishi uswahiliniKama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomambia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
Mkuu nadhani kutoelezana ukweli na kukumbatia unafiki yaweza kuwa ndiyo utamaduni halisi wa Mtz.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomambia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
Kwa vile tu mkuu hujaishi nchi nyengine lkn sisi ni wastaarabu mara 6 zaidiUstaarabu tanzania ni kidogo sana
Nikitaja mfano mmoja kati ya mingi niliyo nayo, nimekaa sehemu kadhaa Rwanda ustaarabu ni zaidi ya maelezoKwa vile tu mkuu hujaishi nchi nyengine lkn sisi ni wastaarabu mara 6 zaidi
Kanga ni kiboko Kuna kipindi Cha zamani nilikua kwa ndugu .Asubuhi naamka nione kanga wenyewe kile kimdomo sikuweza kuamini ndio kelele zile zinatokea pale 😂kanga ndo wana kelele balaa
jirani akifuga kanga umeisha
This is funny kwa sisi wapenda watoto😂Licha ya kupiga kekele, mpira wao ukiangukia kwenye fence yako wanategemea uwarushie, na ukiwarushia baada ya dakika tano wamerusha tena.
Labda anamaanisha kuku wa kisasa, ila kuku wa kienyeji sijaona kama anausumbufu wowote ni muhangakiaji tu wahangaikaji wengineHivi kufuga kuku nayo ni kitu hatari kiasi hicho ?
Unaweza epuka changamoto za majirani lakini kero za makanisa yaliyojengwa Kwa bati na misikiti yenye vipaza sauti viwiliUkuta sasa anayefuga manguruwe🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Yana makelele yale madude😢
Angalau umenipa moyo. Ngoja niendelee na mipango ya kufuga kuku wa kienyeji.Labda anamaanisha kuku wa kisasa, ila kuku wa kienyeji sijaona kama anausumbufu wowote ni muhangakiaji tu wahangaikaji wengine
Siyo kwamba wana kelele,wakiwa kwako hayo makelele hayasumbui ila yakitokea kwa jirani ndio unakuta unasema makelele.kanga ndo wana kelele balaa
jirani akifuga kanga umeisha