Halafu kanisani wako watatu ila wanaimba usiku kucha, na sauti zenyewe hazina mpangilio🙆♂️🙆♂️Unaweza epuka changamoto za majirani lakini kero za makanisa yaliyojengwa Kwa bati na misikiti yenye vipaza sauti viwili
Sema mda mwingine ndo ladha ya maishaHalafu kanisani wako watatu ila wanaimba usiku kucha, na sauti zenyewe hazina mpangilio🙆♂️🙆♂️
weeeh!!!
Weeeeh!! Ladha gani hiyo sasa!Sema mda mwingine ndo ladha ya maisha
Kuna Kiwanja kipo Masaki uza huko njoo ununue huku.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomwbia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
hao majirani wameshazoea hata wewe ungeendelea kupita hapo pua yako ingekuwa ishazoea harufu za kisheziKuna sehemu moja mtaa wa pili jamaa mmoja anafuga nguruwe harufu iliyopo pale hata ukiwa nyumba ya 5 kutoka kwake harufu inafika sasa sijui yule jirani wa karibu anaishije harufu mbaya kinoma mimi mpita njia tu sikuhizi nimebadili njia
Hao wanaosababisha hizo kero wasingekuepo maisha yangekua yamepoa sanaWeeeeh!! Ladha gani hiyo sasa!
Pole tatizo ni wewe, unajengaje kwenye kiwanja 20 kwa 20, huna maono ?! Hapo hata ukipata pesa ya kununua gari utapaki wapi au tajenga tena sehemu nyingine.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomwbia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
Tatizo mikoani ukipata heart attack hata cardiologist hakuna. Tutabanana hapa hapa town.Pole tatizo ni wewe, unajengaje kwenye kiwanja 20 kwa 20, huna maono ?! Hapo hata ukipata pesa ya kununua gari utapaki wapi au tajenga tena sehemu nyingine.
Binadamu ukishajenga nyumba ya kuishi Jenga kimoja then kula maisha na mishe mishe.
Ukitaka hewa safi tafuta viwanja vya gharama walau mikoani milion 3 unapata 30 times kiwanja unajenga na unaweka ukuta harufu ya mavi ya ng'ombe uipati kwa watu wa aina hii labda ukiingia jf.
Mama we! Aya bhana pambanaTatizo mikoani ukipata heart attack hata cardiologist hakuna. Tutabanana hapa hapa town.
Mimi jirani yangu ananikera sana kwa kufunga mlango wake nyakati za usiku.Tatizo mikoani ukipata heart attack hata cardiologist hakuna. Tutabanana hapa hapa town.
Kumbe We ni mtani wangu usijali nitakuongezeakwa uwezo wangu nikiuza hapa itabidi nirudi kwetu Kwedikwazu.
bado wauza supu ya PanyaKama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomwbia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
Ndio maana mi nilinunua pori saa hivi nina aman.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza z, unaweza kumpata jirani anafuga, inawezekana ikawa kuku, ng’ombe, bata nk.
Mifugo inatoa harufu inayoambatana na inzi, harufu inaweza kukukatisha hamu ya kula na unashindwa kupunga upepo nje ya nyumba yako kwa kero ya inzi pamoja na harufu.
Unapolalamika jirani hakuelewi kwakua ng’ombe wanampatia maziwa na yeye ndiye muuzaji wa maziwa mtaa..
Ukizingatia viwanja vyetu vya uswahilini hivi vya 20x20. Unawaza ningejua nitakutana na haya nisingenunua kiwanja hapa.
Kuku kwanza jogoo anakuamsha ile saa ya usingizi mzito na wala huna safari, kama unashighuli za kufanya unaweza kusema hii ndiyo alarm yako asubuhi.
Kuna jirani alikua anapika mama ntilie, mchana moshi wote unaingia sebuleni kwangu. Nilipomwbia masikitiko yangu alianza kuniimbia nyimbo za vijembe. Ilibidi nipeleke malalamiko yangu kwa kiongozi wa mtaa. Baada ya kupata ujumbe kutoka serikali ya mtaa, amehamisha sehemu ya kupikia lakini sikuhizi hatusalimiani. Nimepata adui mpya.
Ijumaa wanamkesha, jumapili ni kuanzia asbh hadi jioni wanakula hapohapoibada inaanza asubuhi hadi usiku😁😁😁😁
Umekuwa kauzu🤣🤣Yangenikuta hayo lakini uzuri kijijini ukishakuwa kwenye system basi wewe unaweza kuwa hakimu ,Askari ,mtendaji mda wowote basi jirani yeyote akileta ujinga namuhudumia perpendicular bila kucheka nao .
Sasa wananiogopa
Mimi jirani yangu mlokole muda wa kulala wanangurumisha sala kwa sauti ya juu nimelalamika hadi kwa Mkuu wa Wilaya wapi imenibidi na mimi niokoke.Mimi dirisha langu lilikuwa limepakana na jirani ambaye ni Mkatoliki.
Huyu dingi alikuwa anacheo kuanzia Kanisani hadi kwenye redio Maria.
Basi ilikuwa kila ifikapo night yule mzee anafungulia gospel za Kikatoliki tena kwa sauti ya juu.
Mzee alikuwa ni mtani wangu sa kila nilipojaribu kumuambia kuhusu swala la kelele za redio alijua malalamiko yangu ni sehemu ya utani wetu pia.
Hiyo hali ilienda mpaka ikafika time kutokana na hizo nyimbo kupigwa kila saa namimi nikajikuta nimezikariri nyimbo zake zote.