Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania tuko nyuma sana. Na hapo hajapelekwa kwenye maombi. Ukiwa kwenye familia zinazo amlni ushirikina ni lazima uteseke sana wakati unaweza kupona hospital. Yaani unapoteza maisha Kwa ujinga waoJe hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
hakuna hata uzi ni ujinga completelyKuna uzi mwembamba mno kati ya imani na ujinga.
Apo Nimewaonea huruma wanaoamini habari za Mungu wa Israel mkuu 😁😁😁 ila upo sawa 100%.hakuna hata uzi ni ujinga completely
Je hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
Ongea nao waende Mloganzila,........Acute stroke unit,kabla siku saba hazijafika,anaweza kurecoverJe hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
Si ajabu jamii yyte kuwa hivyo. Pole kwa changamoto hiyo naamini Mungu atakuwa na wewe, lkn Mimi nakushauri kama Kuna kiongozi wa kiroho mwambie ili akusaidie kushawishi pia au kama unauwezo mchukie tu hospital. Kbl ya siku hazijawa nyingi ttzo likaongezeka.Je hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
WaacheJe hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
Kuna walimu wa dini wanapumbaza sana watu. Kila kitu ni jini ni pepo shibamit 😢️😢️Je hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.
Tafuta mtu mzima wanaemuheshimu awaeleweshe.Je hii ni sawa? Je nifanyaje kuwashawishi wampeleke hospital? Nimejitolea ambulance wamekataa wanasema atapona kienyeji hilo ni jini.