Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kimbele front sana ndo mana ukapata 'ngwese' ...alafu 'mbaazi' haziendani na 'mineli' shauriyo 😂Huwa tunakopi na kwenda kuhadidhia kule facebook na kujifanya sisi ndio watunzi na tunapata ujiko sana. Sasa kule wanatupiga maswali mengi tunashindwa kujibu tunaonekana waongo.[emoji1][emoji1][emoji1] Ile ya umughaka ilinipa ujiko sana kule na views na likes za kutosha [emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38] hii ni sharti la mganga asee...hizo iphone ninazo kibao zimejaa kwenye droo tuWitness juma mpaka leo Una
Witness juma mpaka leo unatumia Techno spark two?[emoji33][emoji33] njoo pm nikupe iPhone 11 macho mawili,siitumii sana
Na K ulipata za kushiba[emoji2][emoji38][emoji38][emoji38]Huwa tunakopi na kwenda kuhadidhia kule facebook na kujifanya sisi ndio watunzi na tunapata ujiko sana. Sasa kule wanatupiga maswali mengi tunashindwa kujibu tunaonekana waongo.[emoji1][emoji1][emoji1] Ile ya umughaka ilinipa ujiko sana kule na views na likes za kutosha [emoji23][emoji23]
Sio tatizo la humu JF, ni tatizo la nchi, wajinga wameongezeka.sema humu skuizi sijui kupoje..
ujue zamani hatukuaga na complain za ajabu ajabu
mbasubiri mtu anakuja kupost mnasoma maisha yanaenda.. umeweka story kibao ila hii utapata changamoto za huo ujinga
yani wanataka mtu usifanye mambo mengine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa jinsi navyomwogopa biggie wala sichangii kitu. Najipenda na naipenda amani yangu. Jana sijalala chumbani kwangu kwa uoga
Wewe mude lafa nasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na K ulipata za kushiba[emoji2][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hata mimi nimeshangaa pakubwa , mfanyakazi kuokota sh 50.Hiyo sh 50 uliyookota korongoni itakuletea matatizo.
Unaokotaje sh 50?
Hapana. Kuna mambo lazima yawe very very clear, from the start jamaa tangu amehamia huko mashuka amejielezea as if yeye ni bachelor kitu ambacho kinaleta wrong interpretation kwa mtu aliye claim kuwa na familia.Mkuu kuwa na staha Basi
Ndo mnatuharibiaga thread hivi hivi
A family man would never be having such a lifestyle.Nadhani huko mbele atakuja kueleza kuwa mkewe ni mlemavu, hajiwezi na amelala tu kitandani au amefungiwa kabatini kama Maya. Maana kwa simulizi hii jamaa anaonekana anaishi kama Bachelor.
Huu ni uongo bwana.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38] hii ni sharti la mganga asee...hizo iphone ninazo kibao zimejaa kwenye droo tu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yeye mwenyewe msimuliaji anajikaanga ila baada ya wadau ku point out mapungufu ameanza kujirekebisha.Hivi mkiwa mnasubiria episodes za movie huko Hollywood huwa mnawashurutisha waandaaji? Nyie mnakaangwa nini??? [emoji57]