Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Na una furaha?Hiyo ya kulala watoto wangu ni muhari,kulala mchana. Ni nadra Sana.
Especially sehemu za baridi sio mbayaHiyo ya kulala watoto wangu ni muhari,kulala mchana. Ni nadra Sana.
Notedmpe sifa za mtu anayetakiwa amtii,atagomea baba zake wadogo wamwone kimeo.
sio unamkataza tu hatakuelewa,mwambie awe anamfahamu anayemtuma,asimtume mbali asipopafahamu,asimtume jambo asiloliweza,na asisite kusema kwamba baba yake ulimkataza kabisa hayo hapo.
watoto hufata kwa usahihi waliyoelekezwa kwa utulivu na kuambiwa madhara yake wakikosea.
Umemaliza mkuu, bila unafki wala kuremba na huu ndio ukweli mchungu kwa baadhi ya wazaziIsivyo bahati ni kwamba hizo ndizo tabia za watoto wengi... Mwanangu wa 2.5 anakosa namba 6 na 10 tu hapo
Wangu hizo pigo zote hana ila kulala mchana labda awe anaunwa na ikitokea amelala basi usiku hapati usingiziKuna tabia flani mwanao akiwa nazo unayepata shida ni wewe mzazi
1. Mtoto kulilia kitu cha mgeni au chakula ulichowatengea wageni,
2. Akiwa anacheza na wenzake akiguswa tu kidogo kilio na machozi,
3. Kususa kitu kisa kimekatwa au kimepunguzwa mbele ya macho yake,
4. Mchana ukimwambia alale hataki,
5. Kukataa kuagizwa na mtu asiye mama au baba yake,
6. Kutukana watu,
7. Kusimama na kutazama watu wanaokula kitu na kuwataza akisubiria aitiwe
8. Ukimchapa na kumwambia anyamaze hanyamazi anaongeza kulia
9. Ukimtuma anaenda mazima,
10. Jitahidi mwanao asipende kushika vitu vya watu bila ya kupewa na mhusika hasa simu,
Haya ni baadhi tu yapo mengi ya kuzingatia katika malezi
Mtoto umleavyo ni mzigo wako na mateso yako mwenyewe ya baadae
Kwann ulimuita mtoto wako Joram
Hili ni picha la uswazi tupu.Kuna tabia flani mwanao akiwa nazo unayepata shida ni wewe mzazi
1. Mtoto kulilia kitu cha mgeni au chakula ulichowatengea wageni,
2. Akiwa anacheza na wenzake akiguswa tu kidogo kilio na machozi,
3. Kususa kitu kisa kimekatwa au kimepunguzwa mbele ya macho yake,
4. Mchana ukimwambia alale hataki,
5. Kukataa kuagizwa na mtu asiye mama au baba yake,
6. Kutukana watu,
7. Kusimama na kutazama watu wanaokula kitu na kuwataza akisubiria aitiwe
8. Ukimchapa na kumwambia anyamaze hanyamazi anaongeza kulia
9. Ukimtuma anaenda mazima,
10. Jitahidi mwanao asipende kushika vitu vya watu bila ya kupewa na mhusika hasa simu,
Haya ni baadhi tu yapo mengi ya kuzingatia katika malezi
Mtoto umleavyo ni mzigo wako na mateso yako mwenyewe ya baadae
Nambw 5 sikubaliani na wewe mtoto wangu sio punda wa kutumwa hovyo kila mahali aende, pia kwa USALAMA wake ni hatariKuna tabia flani mwanao akiwa nazo unayepata shida ni wewe mzazi
1. Mtoto kulilia kitu cha mgeni au chakula ulichowatengea wageni,
2. Akiwa anacheza na wenzake akiguswa tu kidogo kilio na machozi,
3. Kususa kitu kisa kimekatwa au kimepunguzwa mbele ya macho yake,
4. Mchana ukimwambia alale hataki,
5. Kukataa kuagizwa na mtu asiye mama au baba yake,
6. Kutukana watu,
7. Kusimama na kutazama watu wanaokula kitu na kuwataza akisubiria aitiwe
8. Ukimchapa na kumwambia anyamaze hanyamazi anaongeza kulia
9. Ukimtuma anaenda mazima,
10. Jitahidi mwanao asipende kushika vitu vya watu bila ya kupewa na mhusika hasa simu,
Haya ni baadhi tu yapo mengi ya kuzingatia katika malezi
Mtoto umleavyo ni mzigo wako na mateso yako mwenyewe ya baadae
Shida sio kulia,Mtoto ukimchampa sio kazi yako kumapngia alie au asilie.
Utotoni mwangu sijawahi kupewa utaratibu wa kulala mchana lakini wenzangu walikuwa wanalala mchana hakuna kitu waliizd kwanzia ujanja mpaka akili shulen na hata wao walikuwa hawapendi kulala mchana.
Kwa kifupi kuna vitu umeandika ni nonsense.
Nakazia.Hapo kwenye kutumwa na Kila mtu hapana Kwa kweli. Sitaki mtu amtume mtoto wangu now a days Dunia imebadilika sana . Nimewahi kushuhudia mtoto akibebeshwa bhangi