MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Ni ukatili kumchapa mtoto ukitegemea kwamba unamuadhibu na lazima alie halafu unataka asilie.Shida sio kulia,
Analia kwa style ipi?
Ukimwambia nyamaza ananyamaza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ukatili kumchapa mtoto ukitegemea kwamba unamuadhibu na lazima alie halafu unataka asilie.Shida sio kulia,
Analia kwa style ipi?
Ukimwambia nyamaza ananyamaza?
Watoto wa wapi hao?
Wanangu kulala mchana lazima
Wakitoka shule,wanakula,then wanalala lisaa limoja
Then wakiamka watacheza na wenzao lisaa limoja
Then watarudi ndani ya geti,kuoga na kufanya home work huku wakisubir msosi wa usiku,then wanapumzika nusu saa,saa 3 kamili usiku wako kwa bed wakiutafuta usingiz
Wikend ndo ratiba inabadilika
Acha ku complicate mambo mk
Hapa Vita imeguezwaAsilimia kubwa ya watoto wenye tabia hizo ni wale wanaolelewa na single mothers
Kids are just kids,When they grow up they will branch out, no matter how u raised themHamna wanakuwa kwa utaratibu
Wakimaliza primary school ndo ratiba itabadilika kiasi flan
Watoto wa siku hzi kumtuma inabidi umlazimishe sana hata kama anakujua huyu ni anko MnyunguliAsiye na hizo tabia kwa sasa unapata mmoja kati ya elfu na ni kwa sababu siku hizi mtoto analelewa na familia husika tu.
Watoto wanalelewa kama mayai kiasi wakisemwa au kukanywa kidogo tu, wazazi wanakuja juu. Sasa nani atawaadhibu japo hata mimi hiii kitendo sikiafiki maana watoto wa siku hizi wana presha, kisukari na magonjwa mengine mengi. Unaweza kafinya shavu kakapata heart attack, mtu mzima ukafia jela