Jitahidi sana mwanao asiwe na tabia hizi?

Jitahidi sana mwanao asiwe na tabia hizi?

Acha ku complicate mambo mkuu
Watoto wa wapi hao?
Wanangu kulala mchana lazima
Wakitoka shule,wanakula,then wanalala lisaa limoja
Then wakiamka watacheza na wenzao lisaa limoja
Then watarudi ndani ya geti,kuoga na kufanya home work huku wakisubir msosi wa usiku,then wanapumzika nusu saa,saa 3 kamili usiku wako kwa bed wakiutafuta usingiz
Wikend ndo ratiba inabadilika
 
Asiye na hizo tabia kwa sasa unapata mmoja kati ya elfu na ni kwa sababu siku hizi mtoto analelewa na familia husika tu.

Watoto wanalelewa kama mayai kiasi wakisemwa au kukanywa kidogo tu, wazazi wanakuja juu. Sasa nani atawaadhibu japo hata mimi hiii kitendo sikiafiki maana watoto wa siku hizi wana presha, kisukari na magonjwa mengine mengi. Unaweza kafinya shavu kakapata heart attack, mtu mzima ukafia jela
 
Asiye na hizo tabia kwa sasa unapata mmoja kati ya elfu na ni kwa sababu siku hizi mtoto analelewa na familia husika tu.

Watoto wanalelewa kama mayai kiasi wakisemwa au kukanywa kidogo tu, wazazi wanakuja juu. Sasa nani atawaadhibu japo hata mimi hiii kitendo sikiafiki maana watoto wa siku hizi wana presha, kisukari na magonjwa mengine mengi. Unaweza kafinya shavu kakapata heart attack, mtu mzima ukafia jela
Watoto wa siku hzi kumtuma inabidi umlazimishe sana hata kama anakujua huyu ni anko Mnyunguli
 
Back
Top Bottom