Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

U
Wewe uvaa Ikigoma see😁😁😁😁😁😁Twanze kwi londola
 
Wakuu kuna mtu ni mwenyeji wa Marangu Kilimanjaro anafahamu jina la huo mmea kwa huku wanaitaje?
Ikingili kitu ya Madagascar.
 
Stay blessed
 
Sio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na maji
 
Sio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na maji
Huu pia malaria inatibika mkuu
 
Sio kwamba umeufananisha? Mravumba mbona kama sio huo? Mravumba ule hata marelia au shida ya tumbo kwa mtoto au mtu mzima inabaki historia. Ukizidisha dozi unaweza kwenda na maji
Inawezekana kuwa nimeufananisha, lakini nimepata maoni ya watu wawili wanaoufahamu Mlavumba na kuona mlingano, ila nimeweka picha halisi ya Mlavumba kwenye uzi huu.
 
Inawezekana kuwa nimeufananisha, lakini nimepata maoni ya watu wawili wanaoufahamu Mlavumba na kuona mlingano, ila nimeweka picha halisi ya Mlavumba kwenye uzi huu.
Hebu ipandishe hapa hiyo picha. Maana mlavumba majani yake yamekoleza tofauti na hayo aliyoleta mtoa mada
 
Huu mmea ninao nyumbani nikaambiwa tu ni dawa ya tumbo la akina dada. Pia mtu mwingine alisema kuna aliyetumia akapona kansa. Tatizo sikufahamu ilikuwa ni cancer ipi au inatibu zote. Mungu anetupa mengi mazuri. Ninatamani moderator waanzishe forum ya dawa Asili ili kujifunza. Conventional medicines zitatumaliza mno. Tumekuwa vilema wa madhara ya madawa ya HospitaI wakati kuna tiba asili effective kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…