Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Unaitwa mzungwaWakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.
Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao ,matokeo yake walikufa na maarifa yao,kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga...
Hapana sio kivumbasiHii ni kivumbasi lakini yenye majani mapana ni tofauti na kivumbasi lenye majani madogo madogo
Ule ni kivumbasiHuu mmea ni tofauti na kashwagara uliovuma sana mwanzoni mwa 2000 kwa ajili ya mchanganyikowa kujifukiza??
Ndio ni tofautiOregano hata mimi huwa nachemsha mara kwa mara na kunywa kama chai na kijiko kimoja cha asali. Huwa inaclear sinus na kufungua kifua vizuri sana.
Lakini naona huo uliopandwa hapo ni tofauti kidogo na huu ninaonunuaga. Huo inaonekana majani yake ni makubwa kidogo. Asanteni kwa maarifa haya.
View attachment 1732128
Utofauti wake uko wapi wakati yote inaitwa Oregano? Unaweza kufafanua kidogo?Ndio ni tofauti
Huwa najitahidi kununua ambayo ni organic ila sema ndo hivyo imekuzwa kwenye ma green house huko na kwingineko.Huo wa super market hauna afya tuu lakini ndo huo oregano mkuu,na ukipandwa sehemu yenye rutuba majani yake huwa mapana ZAIDI.
Thumb up for your contributionMtaalamu wangu wa kihaya hapa ananiambia inatibu mpaka bawasili.
Mkuu Kama upo bongo nikutumie ulipe gharama ya usafiri tuHuwa najitahidi kununua ambayo ni organic ila sema ndo hivyo imekuzwa kwenye ma green house huko na kwingineko.
Ayo majani Mimi kwa uwezo wa mungu Mimi yalinitibu ulcersMkuu Kama upo bongo nikutumie ulipe gharama ya usafiri tu
kumvizi miangu.. 😁Hii ni kivumbasi lakini yenye majani mapana ni tofauti na kivumbasi lenye majani madogo madogo.
Siko Bongo mkuu wangu. Ingekuwa poa sana. Asante sana kwa moyo wako huo [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mkuu Kama upo bongo nikutumie ulipe gharama ya usafiri tu
Oregano tena mkuu!?Oregano hata mimi huwa nachemsha mara kwa mara na kunywa kama chai na kijiko kimoja cha asali. Huwa inaclear sinus na kufungua kifua vizuri sana.
Lakini naona huo uliopandwa hapo ni tofauti kidogo na huu ninaonunuaga. Huo inaonekana majani yake ni makubwa kidogo. Asanteni kwa maarifa haya.
View attachment 1732128
Oregano ni mvuje km sijakosea. Wanatumia sana wahindi kama kiungo. Inasaidia sana kwa gesiHuu mti unaitwa mpatakufa/mpata kuva/ oregano unatibu u.T.I, typhoid. Kwa wagonjwa wa kisukari na presha kuwa makini ktumia kwani hushusha sukari ghafla na kuipandisha presha ghafla yaani hufanya kiwango cha maradhi hayo kisiwe stable jambo ambalo ni hatari kwa wenye nayo.
Hapana OREGANO Ni MPATAKUFA/MPATAKUFA.Oregano ni mvuje km sijakosea. Wanatumia sana wahindi kama kiungo. Inasaidia sana kwa gesi
Hii ni kivumbasi lakini yenye majani mapana ni tofauti na kivumbasi lenye majani madogo madogo.
Yanatibu Mambo mengi sana.hata uchiziAyo majani Mimi kwa uwezo wa mungu Mimi yalinitibu ulcers
Mmmh!!Mtaalamu wangu wa kihaya hapa ananiambia inatibu mpaka bawasili.
hili jani ni lile Ikingi la moshi nini?Hii ni dawa safi sana,kwetu tunauita mkingili(ikingili) ukiacha magonjwa madogomadogo mengi ambayo mmea huu huweza kutibu kwa mafanikio makubwa nilipata jingine kwa rafiki yangu muhindi,yeye kwake ameyapanda kila sehemu kuzunguka ua wake.
Nikamuuliza kwa nini ameyaweka mengi kuliko maua mengine mazuri? Yeye akanijibu kuwa kwanza ni tiba ya magonjwa mbalimbali,lakini zaidi huwa anayatumia kiimani zaidi, anasema ukiwa na mimea hiyo nyumbani kwako basi watu wenye macho mabaya(ya husda) ambayo huleta madhara kwa watu na vitu hudhibitiwa barabara.
Anasema hata kama mchawi akija kwako kwa lengo baya basi mmea huu humfanya ashindwe kutimiza lengo lake,wachina pia wanauheshimu sana mmea huu kwa sababu kama hizo hizo, wao pia hudai kuwa mmea huu ukiupanda nyumbani huleta bahati njema, wahindi wa jamii ya ki hindu huchuma majani yake na kuyafunga pamoja na majani ya mwembe na kuyatundika mlangoni kama kinga dhidi ya wote wanaoingia ndani ya nyumba zao, hasa siku za sherehe au shughuli zinazokutanisha watu wengi,asante