Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
-
- #161
Kuna siku niliota mbwa wawili wakubwa Sana ambao kupitia ndoto hao waliokuwa na cheo Cha kikomandooo na walikuwa wakinilinda wote wawili na ilipofika muda mbwa mweusi aliitwa kwenda kwenye kikao Chao Basi akaniongoza nikamsindikiza Hadi kwenye chumba Chao Cha kikao ambacho kulikuwa na Wakubwa wao ambao Ni makomandoo wa kibinadamu lakini Yule Mweupe alibaki nje akinisubiria nilipotoka ndani huyu aliyekuwa nje akanisindikiza Hadi alipoona nimefika mahala ambapo siwezi kupotea akarudi.. na nilipita eneo ambako kulikuwa na soko na butcher za nyama za Ng'ombe..
Nini Maana yake
Manukato au Marashi.
Mi' napenda sana mambo ya mauzauza, lakini siyaoni. Nimejaribu kutembea usiku wa manane peke yangu sioni kitu, nimeenda mpaka makaburini usiku wa manane nayo bilabila.Ya jamaa aliesema ukichukua mkaa..majani ya mbaazi na kipande Cha mti wake ukafunga pamoja unaona wachawi...hi nimejaribu na haijafanya kazi...yako next week ntakuja na majibu
Wewe ndio maana halisi ya jamii......Kwangu hiyo kusaga mkaa, kuuchanganya na ubani kisha niulalie Alhamis ndio kitu cha ajabu.
Mkaa unawasha moto gani? Kwanini iwe siku ya Alhamis na sio siku yeyote? Majini wazuri??? Siwataki kuanzia wazuri hadi wabaya.
Kama hadi hapa nilipo sijawahi fanya hizo mambo na naendelea vizuri, siwezi kabisa hata kujaribu, achilia mbali kuwaza.
Naamini nilizaliwa siku moja, ntakufa siku moja pia, mlinzi wangu ni Mungu Muumba mbingu na vyote viijazavyo dunia.
Niliweka sijaota chochote sema leo nimelala vizuiiiiiiWekeni tu ila tukutane asubuhi inshaallah
Na nasikia mkaa uwekwa kunako mbumbusu ya maiti demu wa kikatoriki kama kakata moto bila ya kupata mtoto!.Kwangu hiyo kusaga mkaa, kuuchanganya na ubani kisha niulalie Alhamis ndio kitu cha ajabu.
Mkaa unawasha moto gani? Kwanini iwe siku ya Alhamis na sio siku yeyote? Majini wazuri??? Siwataki kuanzia wazuri hadi wabaya.
Kama hadi hapa nilipo sijawahi fanya hizo mambo na naendelea vizuri, siwezi kabisa hata kujaribu, achilia mbali kuwaza.
Naamini nilizaliwa siku moja, ntakufa siku moja pia, mlinzi wangu ni Mungu Muumba mbingu na vyote viijazavyo dunia.
True mwafrika utumia uchawi kama burudani wenzetu utumia uchawi kutatua changamoto za maendeleoSijakataa ila uchawi upo na watu hasa watu wa karibu wanatumia uchawi kuwaharibia wenzao na nimeandika tu kama umerogwa utaona kama hujarogwa huobi kitu its simple
True maendeleo upunguza hizi mamboDah mbona siasa tena zimezuka jamani tueni waelewa
Kwetu mkaa utumika pia kwa mtoto mchanga (mdogo)kumuwekea chini ya mchago kama anakuwa anastukastuka usiku na kulia na hali huwa shwari.Habari wanajamii,
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwenyewe kama umerogwa.
1. Chukua mkaa usagesage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Mungu na shirki ni wapi na wapiNakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
Na nasikia mkaa uwekwa kunako mbumbusu ya maiti demu wa kikatoriki kama kakata moto bila ya kupata mtoto!.
Niliweka sijaota chochote sema leo nimelala vizuiiiiii
Mimi nimeweka nimeota mambo ya chakula chakula tu.....yani tupo sehemu tunakula ila mimi napewa kipaumbele kwenye hiko chakula...mkuu kwamba ndo narogwa kupitia chakula ama???? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Pia nimeota tupo sehemu kuna muziki dj anapiga muziki na waliomzunguka ni wadada wengiiiiiiiii wanachezacheza hapo.. nakwendakwenda pale kwa dj...mimi nimekaa pembeni sichezi badae dj alivomaliza na kufunga muziki akaandika ki note na kuniachia mkononi yeye akaondoka ndani yake kukiwa na note ya tsh elfu 10 wale wadada walikua wanashangaa sana ???? Nini maana yake??