Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako


Niletee hizi ndoto inbox hapa tunachafua
 
Ya jamaa aliesema ukichukua mkaa..majani ya mbaazi na kipande Cha mti wake ukafunga pamoja unaona wachawi...hi nimejaribu na haijafanya kazi...yako next week ntakuja na majibu
Mi' napenda sana mambo ya mauzauza, lakini siyaoni. Nimejaribu kutembea usiku wa manane peke yangu sioni kitu, nimeenda mpaka makaburini usiku wa manane nayo bilabila.
Hiyo ya majani na matawi ya mbaazi kama wewe mpemba imebuma kwako, generally, labda inabuma.
Wanaojua kiuhakika jinsi ya kuona wachawi, majini na viumbe vya ajabu watuwekee hapa, na sisi tuuone ulimwengu wa pili
 
Ni upumbavu tuu sayansi iwakomboe waafrika na huu utopolo wa nguvu za kichawi
 
Yaani unayaita live kwenye river wa kulalia 😂😂😂
Nalog off
 
Wewe ndio maana halisi ya jamii......
wote hatuwezi kuwa na akili moja
 
Na nasikia mkaa uwekwa kunako mbumbusu ya maiti demu wa kikatoriki kama kakata moto bila ya kupata mtoto!.
 
Sijakataa ila uchawi upo na watu hasa watu wa karibu wanatumia uchawi kuwaharibia wenzao na nimeandika tu kama umerogwa utaona kama hujarogwa huobi kitu its simple
True mwafrika utumia uchawi kama burudani wenzetu utumia uchawi kutatua changamoto za maendeleo
 
Kwetu mkaa utumika pia kwa mtoto mchanga (mdogo)kumuwekea chini ya mchago kama anakuwa anastukastuka usiku na kulia na hali huwa shwari.
 
Nakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
Mungu na shirki ni wapi na wapi
 
Mimi nimeweka nimeota mambo ya chakula chakula tu.....yani tupo sehemu tunakula ila mimi napewa kipaumbele kwenye hiko chakula...mkuu kwamba ndo narogwa kupitia chakula ama???? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Na nasikia mkaa uwekwa kunako mbumbusu ya maiti demu wa kikatoriki kama kakata moto bila ya kupata mtoto!.

Mh! Kwamba asizae hata huko anakoenda kwenye maisha mapya au walaaniwe walioingiza chululu hapo hazikuzaa matunda
 
Pia nimeota tupo sehemu kuna muziki dj anapiga muziki na waliomzunguka ni wadada wengiiiiiiiii wanachezacheza hapo.. nakwendakwenda pale kwa dj...mimi nimekaa pembeni sichezi badae dj alivomaliza na kufunga muziki akaandika ki note na kuniachia mkononi yeye akaondoka ndani yake kukiwa na note ya tsh elfu 10 wale wadada walikua wanashangaa sana ???? Nini maana yake??
 

Huna anaekuroga ndugu, kwa ndoto ulioota kuna mambo mazuri yanakuja siku zijazo zidisha maombi
 

Zote zinaashiria mambo mazuri yanakuja, sio mambo madogo ila mambo ya pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…