Sasa Jordan atachukuaje wakimbizi wa Gaza au hata ramani ya Hilo eneo hamlijui, ingekuwa vita westbank sawakama misri na jordan waislam na waarabu wenzao wanawaogopa, sisi ni nani tuwakaribishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Jordan atachukuaje wakimbizi wa Gaza au hata ramani ya Hilo eneo hamlijui, ingekuwa vita westbank sawakama misri na jordan waislam na waarabu wenzao wanawaogopa, sisi ni nani tuwakaribishe?
uwa wanazunguka wanaenda, jordan kuna wapalestina milioni karibia 3, hao wa Gaza huwa wanazunguka misri.Sasa Jordan atachukuaje wakimbizi wa Gaza au hata ramani ya Hilo eneo hamlijui, ingekuwa vita westbank sawa
Kabla ujapost ujinga jaribu kuuliza au kusoma historia haya chukuwa hii itakusaiidia.
Zaidi ya wakimbizi milioni 2 wa Kipalestina waliosajiliwa wanaishi Jordan, idadi kubwa zaidi ya wakimbizi wote wa Kipalestina..
Acha ushabiki mandazi.
Jibu ni Moja tuu kumejaa vibaraka wa Marekani.Wapalestina wa buza na kitambaa cheupe mna habari?
Taarifa ni kuwa Jordan, Egypt, Syria, Lebanon, Iraq, Saudi Arabia and Kuwait wamekataa kuwapokea wakimbizi wa palestine.
Kumbukeni nchi hizi ni jamii moja huku wakishare dini moja na itikadi moja. Sasa leo wamewakimbia kama hawawajui.
Issue ni kuwa nchi hizi zinaogopa jini waliloliunda wenyewe, haha, wanawaelea muziki wake ndio maana hawataki waingilie.
Hawataki kufanya kosa kama kipindi Lebanon ilivyofanya kosa kuchukua wakimbizi kutoka Palestine alafu wakaanzisha mavuragano nchini mwao.
Sisi wakristo na waislamu ni wetu.kama misri na jordan waislam na waarabu wenzao wanawaogopa, sisi ni nani tuwakaribishe?
Kama walivyowakaribisha waisralshida wapalestina wana historia mbaya wakikaribishwa kwa watu unampa lifti ila hadi honi atataka apige................
Mawazo yake tu..Weka source ya hilo katazo unalosema otherwise ni umbea tu.
wabakie wafe na hamasMbona swali la kijinga?
Wanachotaka hao Zionists ndiyo hiko hiko
Wapelestina waondoke kwenye nchi yao wenyewe, kisha Gaza iwe yao
Au Genocide
wabakie wafe na hamas ndivyo hamas hutaka hivyoKuna sijui ndio ujinga au ushabiki, hiki kitu kipo wazi na dunia nzima inajua
Halafu mtu anauliza kwanini Egypt haiwapokei? Hakuna mtu kutoka Gaza
walianzisha vita waimalize hkn kukimbiaHakuna kuondoka wanaondoka waende wapi na kwao ndio hapo?
ila si walianzisha vita wabakie wamalizie vita yaoWakiondoka wanarahisisha Israel kuendeleza kuchukua maeneo ya waarabu/waparestina
[emoji16][emoji16]Wamekataa kwasababu wakienda Huko Israel itavunja Nyumba zao itajenga maghorofa na kuweka waya ndefu za umeme Mkali hivyo eneo linaondoka..Hamna kingine...Pia Waarabu hawana ushirikiano hawaaminikini kama sisi Ngozi nyeusi tu
Kuna watu akili ndogo afa wanajitapa kuanzisha nyuzi zinazohitaji kufikiri sans, wspalestina wamezungukwa kila upande and no room to escape wakisaidiwa na muuaji mkuu, Taifa la mashetwan USA, na wamefungua safe route moja tu nsko still inaangaliwa sana mkijichanganya mnakula vimondo tu.Hv ni wamekataa au hakuna room ya watu wa gaza kutoka nje ya gaza?
hawajazungukwa kila mahali, wameachiwa njia kutoka kaskazini waje kusini, na wengi wamepita njia hiyo. karibia watu 1.1 million wameondoka Gaza ya kaskazini ambako israel ilitoa wito watoke, na wapo kusini ambako misaada inawafikia kupitia mpaka na Misri. kusini kuna geti la mpaka na misri na huko ndiko misaada inaingilia na ndio miaka yote misaada huingilia. wangekuwa wamezungukwa kama unavyosema, hao walioenda kusini wangekuwa wamepita wapi? ukweli ni kwamba, wapalestina ni wabishi sana, wanaiona hatari ila wanasubiri wafe ili dunia iwaonee huruma dhidi ya israel,Kuna watu akili ndogo afa wanajitapa kuanzisha nyuzi zinazohitaji kufikiri sans, wspalestina wamezungukwa kila upande and no room to escape wakisaidiwa na muuaji mkuu, Taifa la mashetwan USA, na wamefungua safe route moja tu nsko still inaangaliwa sana mkijichanganya mnakula vimondo tu.