Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Hongereni waislam
Hongereni waislam
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.
Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.
Nawakilisha.
Haya ma upuuzi ya udini yanachosha kwakweli... aliyesema urafiki ndio kigezo kikubwa (amepatia sana) lakini kama uwezo ungekuwa unazingatiwa urafiki hau-matter kivile. Nyerere alimuweka shemeji yake Warioba kuwa Waziri Mkuu. Siasa za udini tuwaachie wanigeria huko, sisi nchi yetu ina nafasi zakutosha kukidhi ndoto za wengi tu we nye uwezo. Haiwezekani katika kurusha sarafu ukipata 'bichwa' basi wewe unajipendelea kwasababu nawewe unakichwa, ikipata 'mwenge' (tails) ni sawa kwasababu hamfanani ( the difference here of course being that selecting people for important posts is not like coin tossing but the 50/50 analogy is relevant as far as christianity/Islam is concerned). Muacheni Rais aweke watu anaowaamini, pale watakapo fanya makosa au ikionekana ni wadhaifu ndio wakosolewe na kuawjibishwa katika jamii, vyombo vya habari, kisiasa na ingekuwa vizuri zaidi kisheria. Udini ni upuuzi tuu kwakuwa mwishoe Chenge na Lowassa wangetetewa kama kusingekuwa na jina Aziz kwenye list ya magamba yaliyotolewa (mfano tuu..facts not withstanding).
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.
Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.
K
Hongereni waislam
Udini huu utawafikisha pabaya. Ningependa kuuliza Je Prof Idrissa Mshoro hafai kuwa chairman wa TIRDO kwa taaluma yake au dini yake?
Nakupongeza Prof
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.
Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.
Nawakilisha.
Salaam wanajamvi,
Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO). Uteuzi huo umeanza tangu tarehe 01.04.2011 na utadumu kwa muda wa miaka mitatu.
Kabla ya hapo Prof. Mshoro alikuwa Makamu mkuu wa chuo cha Ardhi, uteuzi ambao pia ulifanywa na JK mwaka 2007.
Nawakilisha.