JK: CCM Tujiandae kisaikolojia muundo wa serikali tatu

JK: CCM Tujiandae kisaikolojia muundo wa serikali tatu

Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Povu la nini we ndondocha? it means 64% ya waliotoa maoni ndio wanaotaka serikali 3! usichoelewa nini? au ndo akili za maiti ulizonazo?
 
Uwe unaota ndoto nzuri wakati mwingine,
Hakuna chama cha upinzani chenye uwezo wa kuchukua dola;
labda mpaka Kristo arudipo kwa mara ya pili.

Kwani Kristo anarudi lini kuwahukumu wazima na wafu?Mi naona amechelewa kurudi kuwahukumu wafu Magamba.
 
Uwe unaota ndoto nzuri wakati mwingine,
Hakuna chama cha upinzani chenye uwezo wa kuchukua dola;
labda mpaka Kristo arudipo kwa mara ya pili.

Around the corner... Jesus coming x 4
 
Last edited by a moderator:
Hii takwimu itatupa nguvu ya kuiuliza tume ya uchaguzi itakayochakachua kupitisha katiba ya uongo ya CCM kwenye kura ya maoni...
 
Huu ndio upuuzi mwengine CDM majuzi tu hapa kulikuwa na thread wamefungua kanda ya ZnZ, hapo hapo kiongozi wao amenukuliwa mara nyingi akiponda wabunge wa ZnZ na muungano halikadhalika wao wanao wabunge wa viti maalumu kutoka huko huko (akiitwa kilaza aisye na ufahamu mnapinga).

Wewe huwezi ukawa na principles zako kichama halafu ukawa na kigeugeu kwenye maslahi ya kura ndio ujitie katikati, umeona wapi vyama vya siasa ambavyo havina msimamo. CDM na CUF hawana wanalolijua zaidi ya kusaka kura wao hata gongo kuhalalisha wapo tayari ilimradi kura, looser hapa ni CCM kwa kuburuzwa poor JK (what useless man) na huyu babu Mzee Warioba akapimwe akili kwanza maana umri umeenda mapendekezo ya kijinga kabisa.

Kama una hasira na wewe tengeneza RASIMU ya kwako na mke wako,nyambafu!
 
Huu ndio upuuzi mwengine CDM majuzi tu hapa kulikuwa na thread wamefungua kanda ya ZnZ, hapo hapo kiongozi wao amenukuliwa mara nyingi akiponda wabunge wa ZnZ na muungano halikadhalika wao wanao wabunge wa viti maalumu kutoka huko huko (akiitwa kilaza aisye na ufahamu mnapinga).

Wewe huwezi ukawa na principles zako kichama halafu ukawa na kigeugeu kwenye maslahi ya kura ndio ujitie katikati, umeona wapi vyama vya siasa ambavyo havina msimamo. CDM na CUF hawana wanalolijua zaidi ya kusaka kura wao hata gongo kuhalalisha wapo tayari ilimradi kura, looser hapa ni CCM kwa kuburuzwa poor JK (what useless man) na huyu babu Mzee Warioba akapimwe akili kwanza maana umri umeenda mapendekezo ya kijinga kabisa.

Walewale.

Natamani niwafanyie sherehe hawa watu Kikwete Warioba Tundu lisu jukwaa la katiba na wote waliosimama kidete kuitetea rasimu ya katiba.
RIP Sengondo Mvungi.
 
Hoja ya kuwa an Serikali tatu sio ya kichama ni ya watanzania zaidi hususan watanganyika!
 
Ndugu jogi,
Haswa. Nilivyomsikiliza profesa Kabudi (mmoja wa wanakamati ya Warioba), ni kwamba tayari wana pa kuanzia kuandika katiba hiyo (hao watakaopewa jukumu hilo) kwa kuwa wakati wa mchakato wa katiba mpya, walikusanya michango mingi sana ya mawazo ya namna wanavyotaka serikali ya Tanganyika iwe. Hivyo hao watakaopewa jukumu hilo hawatakuwa na kazi kubwa ya kuandika na kukusanya maoni.
 
Last edited by a moderator:
Hizi takwimu zisije kuleta kizazaa kwenye uchaguz wa serikali za mitaa hiyo ni kwa katiba tu ila ccm tujitazame sana ushawishi umepotea kwa nn tushawishi serikali 2 watu wakatae?
 
Msipaniki hyo ni % ya waliotoa yao sasa unaniletea idadi mpaka ya watoto kwa nn unajitoa ufahamu leo?
Mliambiwa mkatoe maoni hamkwenda.
Hivi ukiambiwa Kikwete alipita kwa 61% unaelewa nn
Endelea kuelimisha hawa wenzetu wa MIZIGO,hatimaye fahamu zitawarudia wataelewa.
 
Kama una hasira na wewe tengeneza RASIMU ya kwako na mke wako,nyambafu!
Mara mia kuliko upuuzi huu, wa kushindwa kutetea hoja hata kwenye mapendekezo mwenzao kafanya juu chini kuuweka huu muungano mpaka ulipofikia wao wanataka anzisha nyufa kwa kusukumwa kidogo tu.

Mtu huyo huyo anahutubia habari za atoki mtu kwenye EAC ilihali kikubwa kwenye huo muungano kwa sasa ni ardhi zaidi ya kingine na wabara na wazanzibari wana ugomvi huohuo, aint that contradicting. Halafu huyu warioba anakuja na mapendekezo ya serikali tatu, huku jamaa wanataka intergovernmental union in EAC block.

Wakati mwengine lazima ujue kufikiria mbele kama una nia kweli Znz ikiwa upande wetu na faida zake .........you know what just leave it politics it aint your thing this Warioba guy is useless and his recommendations did not consider the long term future of the people involved.
 
Walewale.

Natamani niwafanyie sherehe hawa watu Kikwete Warioba Tundu lisu jukwaa la katiba na wote waliosimama kidete kuitetea rasimu ya katiba.
RIP Sengondo Mvungi.
Kwani tatizo rasimu au mapendekezo, kesho ukiona hakuna lolote la maana kwenye mapendekezo ya checks si tunarudi palepale au wewe unaona maswala ya muungano tu, watu wengine bwana.

Halafu kesho ndio nyie mnao lalama matatizo yetu ni mfumo, wakati sasa mko busy kiushabiki tu.
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Daah! kazi kweli kweli. Hivi umewahi kufanya utafiti (research) wewe? Kama ndiyo,ni aina ipi ya utafiti ambayo kwa akili yako hujumuisha watu wote katika eneo la utafiti? Mara zote majumuisho(conclusion) ya utafiti hufanywa kutokana na ile idadi ndogo ya watu (sample) au sampuli iliyopitiwa na huo utafiti. Na hivi ndivyo ilivyokuwa katika hili zoezi la ukusanyaji wa maoni ya rasimu ya katiba mpya. Siyo watanzania wote tuliopata fursa ya kutoa maoni hayo hivyo hiyo % iliyotajwa ni ya wale waliotoa maoni yao katika tume kwa njia mbalimbali. Ni bora siku nyingine uwe msomaji badala ya kuchangia vitu ambavyo kimsingi vinakudhalilisha wewe mwenyewe.
 
Si kweli kwamba Watanzania 60% waliotaka serikali tatu wanaunga mkono Upinzani kumbuka pia kuna WanaCCM ndani ya hili kundi waliunga mkono pendekezo la kuwepo kwa serikali tatu na pia sio kweli kuwa katika lile kundi la Watanzania (30%) lililounga mkono serikali mbili wote ni WanaCCM ukweli ni kwamba kulikuwepo Watanzania wanaounga mkono Upinzani lakini walitaka serikali mbili.Get your facts right please!

Na Ni sahihi kusema pia kuwa kama unaenda tofauti na kile ambacho Chama Chako kinasimamia basi Ni upinzani ndani ya Chama Chako na hivyo u-mpinzani. Hilo tu. whether upo CCM ama CDM, CUF, NCCR, UDP, etc.
 
Uwe unaota ndoto nzuri wakati mwingine,
Hakuna chama cha upinzani chenye uwezo wa kuchukua dola;
labda mpaka Kristo arudipo kwa mara ya pili.

Unachokisema ni kweli kwa kutumia hila na jeshi lkn tuweke mazingira sawa tuone kama ni kweli unchokisema!!!!!
 
Back
Top Bottom