JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

Kwa mtazamo wng Polisi wako juu ya JKU maana Jku anaishia zenj wkt polisi anafanya kz popote....JKU ni kama mgambo wa city ambaye ajira yake na matumizi yake inaishia ndani ya halimashauri husika
Musijibu kwa hisia.
2013 nikwa Ruvu jkt kuna wakufuzi lukuki kutoka JKU walimwagwa pale . Walikuwa na sisi mpaka mwisho wa course.
Waliheshimiwa na kuwa na hadhi sawia na wanajeshi wengine wa huku bara.
 
Musijibu kwa hisia.
2013 nikwa Ruvu jkt kuna wakufuzi lukuki kutoka JKU walimwagwa pale . Walikuwa na sisi mpaka mwisho wa course.
Waliheshimiwa na kuwa na hadhi sawia na wanajeshi wengine wa huku bara.
Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.
P
 
Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.
P
Ngoja kwanza!
Labda mimi ndo Sijaelewa Hebu nipe tofauti ya JWTZ na JKU kwa sheria za kijeshi na hata kimafunzo na Ki-insignia na nipe utofauti wake na Mgambo..
 
Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.
P
Yes. Watu wanawadharau JKU.
Kuna wengine niliwaona wako sharp kuliko hata hawa wa bara. Ndio jeshi moja na jingine hutofautiana kimedani lakini si sana. Majeshi yote duniani yana hadhi zinazolingana.
Kuna vijana wako jwtz hata gwaride hawajui. Wazee wa kudoji. Ujanjaujanja tu mpaka wanakuwa maafisa
 
Yote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.

Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.

Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.

Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?

Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.

Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.

Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?

Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
JKU ni sawa na Jeshi la Magereza kwa Tanganyika.
 
Yote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.

Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.

Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.

Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?

Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.

Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.

Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?

Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
Mnaongea bila kua na akili ya kuona ukweli uliopo nyuma ya hayo majeshi ....kitendo cha wazanzibar kuunda hayo majeshi kinatokana na chuki na ubinafsi iwe ni chuki ya haki au la au ubinafsi wa haki au la .....msingi wake ni chuki na ubinafsi kwenye kuchukia watanganyika hivyo wameunda majeshi na kuyaimarisha kwa sababu wanayo ajenda ya siri mioyoni mwao
 
Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT ina rais mmoja na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu ambaye kwa sasa ni Amirati. Hayo majeshi ya Zanzibar, yote ni migambo tuu, ndio maana kule kuna polisi na jeshi letu.

Ila Tanzania ina sehemu mbili, Bara na Zanzibar, katiba ya Zanzibar inaitambulisha Zanzibar kama nchi na kuitambulisha hiyo migambo kama jeshi na rais wa Zanzibar ndie Amiri jeshi wa migambo hao, hayo ni mambo yao ya ndani, ki nchi hatuwatambui!.
P
Tanzania ina Tanganyika na Zanzibar, hiyo Bara iko wapi!?
 
Civic education kuhusu majeshi yetu, polisi na migambo inahitajika!. Tanzania tuna Majeshi ya Ulinzi, JWTZ, chini ya CDF, chini ya JWTZ kuna Jeshi la Kujenga Taifa, JKT.

Tuna Jeshi la Polisi PT Tanzania, chini ya IGP, chini yake kuna Jeshi la Zimamoto na ukosoaji, chini ya Commissioner, kunaJeshi la Uhamiaji, chini ya Commissioner, kuna Jeshi la Magereza chini ya Commissioner na Tume ya madawa ya kulevya chini ya Commissioner.

Tuna jeshi la Usalama chini ya DGIS, wale 'jamaa zetu'.

Majeshi mengine yote ni majeshi usu or polisi usu, yaani auxiliary army or police, hawa wote ni migambo, wakiwemo askari wanyapori, KMKM, JKU, Vikosi vya SMZ, ziko taasisi kibao zina majeshi yake wakiwemo Ultimate, Group 4 security, walinzi wa mgodi, walinzi wa meli baharini, etc. Wote hawa ni migambo!. Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

P
Katika comment ya kipuuzi niliyoisoma Moja ni hii, kaisome Katina ya Zanzibar na Ya JMT inasema kuhusu idara maalum za SMZ. Then njo na rhetoric zako za kipuuzi. Au ndiyo hasira za mama kukuacha solemba baada ya kujaribu na kujifanya chawa. Kama yule msukuma mwenzaki hakukuona. Ujue wengine wameshavaa miwani ya Mbao
 
Ngoja kwanza!
Labda mimi ndo Sijaelewa Hebu nipe tofauti ya JWTZ na JKU kwa sheria za kijeshi na hata kimafunzo na Ki-insignia na nipe utofauti wake na Mgambo..
Tofauti ya jeshi na mgambo ni the official status, jeshi ni formal mgambo ni informal.
Kuna migambo wako vizuri kuliko majeshi yetu. Kulipozuka moto jengo la Nasaco, fire za jeshi letu la zimamoto zilishindwa kuzima, hawana vifaa vya kuzima moto ghorofani, fire za kikosi cha Bandari na ultimate security zikaokoa jahazi!.

Mradi wa Gesi wa BG group kule Lindi, tenda ya ulinzi imetotelewa kwa kampuni ya ulinzi kutoka SA, polisi wetu wameshindwa.

Tenda ya ulinzi wa meli indian Ocean dhidi ya maharamia wa Kisomali imeshikwa na wazungu kwasababu jeshi letu la navy halina uwezo!.
Hivyo kuna migambo ni wazuri kuliko wenyewe halisi!.
P
 
Mnaongea bila kua na akili ya kuona ukweli uliopo nyuma ya hayo majeshi ....kitendo cha wazanzibar kuunda hayo majeshi kinatokana na chuki na ubinafsi iwe ni chuki ya haki au la au ubinafsi wa haki au la .....msingi wake ni chuki na ubinafsi kwenye kuchukia watanganyika hivyo wameunda majeshi na kuyaimarisha kwa sababu wanayo ajenda ya siri mioyoni mwao
This is it. Actions speak louder than words. Endeleeni kuyaita majeshi ya migambo kujifurahisha.

Ni dhahir kabisa kuwa Zanzibar hawautambui wala kuutilia maanani muungano. Wamejiundia katiba na taasisi zinazowapa full autonomy nje ya Tanzania.

KMKM, JKU ni majina tu. Hayo ni majeshi kamili yenye hadhi nzito kule chini ya amiri jeshi mkuu wao.
 
Hata serikali ya wanafunzi pale UDSM kuna Rais, mawaziri N.K,

Hiyo haimfanyi ‘rais’ wa DARUSO kulinganishwa na Rais wa JMT.

JKU, KMKM N.K sio majeshi.
 
Majeshi yapo ki seniority yamepangwa ki hadhi kwenye katiba ya kwanza Jwtz ya pili Polisi ya tatu Magereza

Jku hana hadhi sawa na polisi , jku inatambulika huko zanzibar ila akivuka bara hata tambulika anawekwa kundi la mgambo, na hata huko zanzibar sidhani kama wameifikia hadhi ya jkt
 
Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT ina rais mmoja na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu ambaye kwa sasa ni Amirati. Hayo majeshi ya Zanzibar, yote ni migambo tuu, ndio maana kule kuna polisi na jeshi letu.

Ila Tanzania ina sehemu mbili, Bara na Zanzibar, katiba ya Zanzibar inaitambulisha Zanzibar kama nchi na kuitambulisha hiyo migambo kama jeshi na rais wa Zanzibar ndie Amiri jeshi wa migambo hao, hayo ni mambo yao ya ndani, ki nchi hatuwatambui!.
P
Hili swala la Amirati CDF Mabeyo alishalitolea ufafanuzi pale Chato kwenye mazishi ya Jamaa yetu, hakuna Amirati ni Amiri.
 
Musijibu kwa hisia.
2013 nikwa Ruvu jkt kuna wakufuzi lukuki kutoka JKU walimwagwa pale . Walikuwa na sisi mpaka mwisho wa course.
Waliheshimiwa na kuwa na hadhi sawia na wanajeshi wengine wa huku bara.
Hizo ni siasa za CCM tu, Tanganyika kur anazopata mwenyekiti wa mtaa, anamzidi mbunge wa Zanzibar hata Kwa ukubwa wa eneo la kutawala na population.
 
Hizo ni siasa za CCM tu, Tanganyika kur anazopata mwenyekiti wa mtaa, anamzidi mbunge wa Zanzibar hata Kwa ukubwa wa eneo la kutawala na population.
Na hili zimwi hatulipendi wananchi wa bara wala visiwani lakini linalindwa na viongozi. Sijui waliambiwa watakufa wakilisaliti
 
Hv kwenye sherehe ya Muungano hivyo vikosi vya JKU na KMKM huwa vinashiriki kwenye gwaride kama majeshi????
 
Back
Top Bottom