JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

Amini amini nakwambia, ni rahisi kuwakuta vijana wa Scout wakiwa karibu na uwanja wa Gwaride kwenye maadhimisho ya Kitaifa kama Muungano na Uhuru kuliko hao migambo wa visiwani
OK sawa Mkuu kwani unajua Hata kuna mambo yanayohusu Muungano na yasiyohusu Muungano?
Unajua kama Zanzibar nalo ni Taifa?
Unajua kuwa Waziri wa Afya wa Tanzania Hana sauti Akiwa zanzibar?
 
Civic education kuhusu majeshi yetu, polisi na migambo inahitajika!. Tanzania tuna Majeshi ya Ulinzi, JWTZ, chini ya CDF, chini ya JWTZ kuna Jeshi la Kujenga Taifa, JKT.

Tuna Jeshi la Polisi PT Tanzania, chini ya IGP, chini yake kuna Jeshi la Zimamoto na ukosoaji, chini ya Commissioner, kunaJeshi la Uhamiaji, chini ya Commissioner, kuna Jeshi la Magereza chini ya Commissioner na Tume ya madawa ya kulevya chini ya Commissioner.

Tuna jeshi la Usalama chini ya DGIS, wale 'jamaa zetu'.

Majeshi mengine yote ni majeshi usu or polisi usu, yaani auxiliary army or police, hawa wote ni migambo, wakiwemo askari wanyapori, KMKM, JKU, Vikosi vya SMZ, ziko taasisi kibao zina majeshi yake wakiwemo Ultimate, Group 4 security, walinzi wa mgodi, walinzi wa meli baharini, etc. Wote hawa ni migambo!. Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

P
Maelezo yameshiba asante.
 
Habari Pascali!..
Nimesikitishwa sana na Jibu lako Maana nilitegemea makubwa sana ungejibu kutokana na Swali langu Ukizingatia Wewe ni mmoja wa watu naowaheshimu kwa Hoja nzitonzito za Kisheria na Kiuandishi..

Anywei Ngoja niende kwenye Point..
Nimekuuliza Tofauti ya JKU na JWTZ ila ulichonijibu ni Tifauti ya JWTZ na mgambo... what a shame!..
Nimekuuliza unipe tofaiti yake kimuundo (Insignia), kimafunzo(Training combat) ila umeshindwa kufanya hivyo na ukajitengenezea Swali...

Hata hivyo bado swali ulilojitengenezea na lenyewe umelikosa na kwenda chaka..
Mgambo (Kwa sasa Jeshi la Akibaa)..
Linafahamika kama Kamandi ya Jeshi la Akiba chini ya JWTZ..
View attachment 2892829

Bhasi ngoja niendelee kukufundisha kitu...

Mgambo ni jeshi la Akiba japo si chombo cha dola. Haliundwi na rais kama yalivyo majeshi mengine isipokuwa linaundwa na sheria ndogo ndogo ambazo zinazipa mamlaka halmashauri za miji au wilaya kujiundia vyombo vyao vya ulinzi na usalama kwa ajili ya kusimamia shughuli ambazo zipo chini ya mamlaka yao. Hata hivyo, mamlaka hayo kamwe hayawezi kuzidi au kukiuka yale ya vyombo vya dola ambavyo vinasimamia na kudhibiti masuala ya kitaifa, ikiwamo haki za kikatiba za wananchi....

Nachofahamu mimi, jeshi la mgambo (kwa sasa Jeshi la Akiba) linaongozwa na kuuanzishwa kwa sheria inayoitwa THE PEOPLE'S MILITIA ACT NO.9 ya mwaka 1989,

kama ilivyofanyiwa marekebisho toka awamu hadi awamu ,pia wanaongozwa na sheria inayoitwa THE PEOPLE'S MILITIA(POWER OF ARREST) ACT,1975 na mwisho THE PEOPLE'S MILITIA(Compensation for injuries)ACT ya mwaka 1973.

Sheria hizi ni za zamani sana na zinakuwa complemented na sheria nyingine kama vile za halmashauri na ile inayompa mamlaka mkuu wa wilaya.Na People's millitia imekuwa defined kama;

Peoples Militia'' means an organized group of the people of the United Republic operating with the authority of and under the aegis of the Government and which is receiving any military
training or participating in any military, quasi-military or law enforcement exercise for the protection of the sovereignity of the United Republic or for the protection of the people or the property of the United Republic, but does not include the Police Force, any arm or branch of the Defence Forces, the Prisons Service or
the National Service.

Hakuna katiba Inayowatambua migambo Na kama wangetambulika kikatiba bhasi wangekuwa jeshi kamili..

Tafisiri ya Mgambo Wikipedia...
View attachment 2892834

Wakati huo huo Jeshi la Kujenga Uchumi liko asigned pale na Rais wa Zanzibar kwa katiba Yenye mamlaka na Ndo hapo unakuja utofauti wao..Kuna moja Lina nguvu ya Kidola na jeshi jingine halina Nguvu ya kidola..
Kuna moja lina Mipaka ya Kiterritory ndani ya nchi na kuna moja halina mipaka ndani ya nchi..

Umeniangusha Sana,Kwa mwanasheria kama wewe kujibu hivyo..Je na sisi tuso wanasheria Tujibuje?
JKU IPO.CHINI YA katiba ya Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar ibara kuanzia ya 121 mpaka 124..
Kaisome vizuri..
Kama unaita ni mgambo..
Basi mgambo ndo wanaongoza magereza yetu huko zanzibar maana hata askari wa magereza yaani Jeshi la mafunzo huko.zanzibar lipo chini ya katiba na kifungo hicho hocho kilichounda JKU..

Nakukaribisha mkuu...
KWa mjadala zaidi..
Kama unataka jikite kwenyr insignia,Sheria na katiba..

Pia nakuomba Usome sheria ya majeshi na ulinzi wa Umma Sheria ya 1984 Na.15 ib.49 na Sheria ya 1992 Na.4 ib.36
Mkuu, Jeshi la nchi yoyote huwa liko attached na State. Je, Zanzibar ni State? (Rejea definition ya State iliyotolewa na Montevideo Convention on The Rights and Duties of State ya Mwaka 1939).
Kama sio State, je, hao JKU wanawekwa kundi gani?
Umeshawahi kusikia kuna Jeshi la Palestine? Umewahi kujiuliza kwanini wanaitwa Wanamgambo wa Kipalestina?
Mkuu Paschal yupo sahihi kabisa, jaribu kujiongezea maarifa zaidi kuhusu State ndiyo utajua kwanini hao JKU amewaweka kundi hilo
 
No offence kaka mayalla, with all due respect nadhani hufahamu yapi ni majeshi yapi si majeshi.

Nchi ina jeshi moja tu, ambalo ni jeshi la wananchi.
Taasis zingine polisi, uhamiaji, magereza, si jeshi bali majeshi usu. kitaalam paramilitary organizations

Hakuna kitu kinaitwa jeshi la usalama wa taifa. Usalama wa taifa ni intelligence service na si military or paramilitary component
Rejea Ibara ya 147 ya Katiba ya JMT na uache kukariri maneno ya vijiwe vya kahawa.
 
Civic education kuhusu majeshi yetu, polisi na migambo inahitajika!. Tanzania tuna Majeshi ya Ulinzi, JWTZ, chini ya CDF, chini ya JWTZ kuna Jeshi la Kujenga Taifa, JKT.

Tuna Jeshi la Polisi PT Tanzania, chini ya IGP, chini yake kuna Jeshi la Zimamoto na ukosoaji, chini ya Commissioner, kunaJeshi la Uhamiaji, chini ya Commissioner, kuna Jeshi la Magereza chini ya Commissioner na Tume ya madawa ya kulevya chini ya Commissioner.

Tuna jeshi la Usalama chini ya DGIS, wale 'jamaa zetu'.

Majeshi mengine yote ni majeshi usu or polisi usu, yaani auxiliary army or police, hawa wote ni migambo, wakiwemo askari wanyapori, KMKM, JKU, Vikosi vya SMZ, ziko taasisi kibao zina majeshi yake wakiwemo Ultimate, Group 4 security, walinzi wa mgodi, walinzi wa meli baharini, etc. Wote hawa ni migambo!. Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

P
JUTZ = Jeshi la Uhifadhi Tanzania. Nadhani lina miaka isiyozidi 3.
Liko vizuri.
 
OK sawa Mkuu kwani unajua Hata kuna mambo yanayohusu Muungano na yasiyohusu Muungano?
Unajua kama Zanzibar nalo ni Taifa?
Unajua kuwa Waziri wa Afya wa Tanzania Hana sauti Akiwa zanzibar?
Najua hilo, je, unadhani Ulinzi na Usalama sio jambo la Muungano pia?
Unachopaswa kujua ni kwamba Zanzibar sio State ndiyo maana sio member wa United Nations
 
Mkuu, Jeshi la nchi yoyote huwa liko attached na State. Je, Zanzibar ni State? (Rejea definition ya State iliyotolewa na Montevideo Convention on The Rights and Duties of State ya Mwaka 1939).
Kama sio State, je, hao JKU wanawekwa kundi gani?
Umeshawahi kusikia kuna Jeshi la Palestine? Umewahi kujiuliza kwanini wanaitwa Wanamgambo wa Kipalestina?
Mkuu Paschal yupo sahihi kabisa, jaribu kujiongezea maarifa zaidi kuhusu State ndiyo utajua kwanini hao JKU amewaweka kundi hilo
Habari ministrant
Naifahamu Vizuri Montevideo convention on rights and duties of the state ya mwaka 1939..
Nitaichambua only Article 1 kwa ajili ya kuthibitisha kuwa zanzibar ni state..

Article 1

"The state as a person of international law should possess the folowing qualifications:
(a) a permanent population [people]
(b) a defined teritory; [land]
(c) government; [Serikali]
(d) capacity to enter into relations with the other states...


Nitaanza na Kudeclare kwamba zanziba ni Nchi..
Turudi katika Katiba ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar..

ibara ya kwanza ya Katiba hiyo na ibara ya Pili inaonyesha Declaration ya Teritory na Kujideclare kuwa Yenyewe ni state..
nita quote

"Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar."

Ibara ya Pili..


"Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
Screenshot_20240203_140919_Adobe Acrobat.jpg


Vipi zanzibar imedeclare kuhusu People au permanent Population..
Yes and its Cited in ibara ya 6 ya katiba ya Zanzibar ibara ndogo ya 1 na 2

"6.(1) Kutakuwa na Mzanzibari ambaye upatikanaji wake, upoteaji wake na urudishwaji wake atakuwa kama alivyoainishwa katika Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Kila Mzanzibari, kwa misingi ya Katiba hii, ataweza kufaidi haki na fursa zote anazostahiki Mzanzibari, na atapaswa kutekeleza wajibu, majukumu na dhamana za Mzanzibari kama ilivyo kwenye Katiba hii au kwenye Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

Screenshot_20240203_141550_Adobe Acrobat.jpg


Vipi kuhusu Goverment yaani Serikali Je zanzibar ina Serkali?
Offcuze yes,
Cited on Katiba ya Zanzibar ibara ya 26, ibara ya 51 na ibara ya 52..
Screenshot_20240203_142110_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240203_133301_Adobe Acrobat.jpg


Bila kusahau kwamba zanzibar Ina..
Bunge
Baraza la mawaziri
Mahakama
Serikali
Jaji mkuu
e.t.c.


So kwa Montevideo convention on rights and duties of the state ya mwaka 1939..
Zanzibar Inkidhi vigezo vya kuwa State so Do the Army and millitary?

Kumbuka pia Kuwa katiba yao ina nguvu ya kisheria kabla ya kujibu..
Screenshot_20240203_142531_Adobe Acrobat.jpg
 
Najua hilo, je, unadhani Ulinzi na Usalama sio jambo la Muungano pia?
Unachopaswa kujua ni kwamba Zanzibar sio State ndiyo maana sio member wa United Nations
Kwahyo mkuu We umeona kikubwa Ili kuwa state ni lazma Awe member wa UN ,Los angels Ni State je ni member wa UN?
New York ni state Je ni member wa UN?..

Kwa kifupi

Tanganyika was a Member of the United Nations from 14 December 1961 and Zanzibar was a Member from 16 December 1963. Following the ratification on 26 April 1964 of Articles of Union between Tanganyika and Zanzibar, the United Republic of Tanganyika and Zanzibar continued as a single Member, changing its name to the United Republic of Tanzania on 1 November 1964.
 
Habari ministrant
Naifahamu Vizuri Montevideo convention on rights and duties of the state ya mwaka 1939..
Nitaichambua only Article 1 kwa ajili ya kuthibitisha kuwa zanzibar ni state..

Article 1

"The state as a person of international law should possess the folowing qualifications:
(a) a permanent population [people]
(b) a defined teritory; [land]
(c) government; [Serikali]
(d) capacity to enter into relations with the other states...


Nitaanza na Kudeclare kwamba zanziba ni Nchi..
Turudi katika Katiba ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar..

ibara ya kwanza ya Katiba hiyo na ibara ya Pili inaonyesha Declaration ya Teritory na Kujideclare kuwa Yenyewe ni state..
nita quote

"Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar."

Ibara ya Pili..


"Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
View attachment 2892894

Vipi zanzibar imedeclare kuhusu People au permanent Population..
Yes and its Cited in ibara ya 6 ya katiba ya Zanzibar ibara ndogo ya 1 na 2

"6.(1) Kutakuwa na Mzanzibari ambaye upatikanaji wake, upoteaji wake na urudishwaji wake atakuwa kama alivyoainishwa katika Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Kila Mzanzibari, kwa misingi ya Katiba hii, ataweza kufaidi haki na fursa zote anazostahiki Mzanzibari, na atapaswa kutekeleza wajibu, majukumu na dhamana za Mzanzibari kama ilivyo kwenye Katiba hii au kwenye Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

View attachment 2892899


Vipi kuhusu Goverment yaani Serikali Je zanzibar ina Serkali?
Offcuze yes,
Cited on Katiba ya Zanzibar ibara ya 26, ibara ya 51 na ibara ya 52..
View attachment 2892901
View attachment 2892903

Bila kusahau kwamba zanzibar Ina..
Bunge
Baraza la mawaziri
Mahakama
Serikali
Jaji mkuu
e.t.c.


So kwa Montevideo convention on rights and duties of the state ya mwaka 1939..
Zanzibar Inkidhi vigezo vya kuwa State so Do the Army and millitary?

Kumbuka pia Kuwa katiba yao ina nguvu ya kisheria kabla ya kujibu..
View attachment 2892906
Nilikuwa nakusubiri kwenye kipengele D Mkuu, naona umeshapata jibu sasa. Kwamba Zanzibar haina sifa ya State ndiyo maana hatuioni kwenye mawanda ya siasa za Kimataifa kama Membership kuwa mwanachama wa jumuiya za kimataifa kama AU, UN, pia haina mamlaka ya Dola ya kufungua Ubalozi kwenye Taifa lingine lolote.
Kama kiumbe hai kina sifa kuu saba kuwa na sifa Sita bado unakuwa haujafuzu kuwa kiumbe hai.
Mfano mzuri gari hatuwezi kuliita kiumbe hai kwakuwa lina uwezo wa kujongea, kuhisi, na nyinginezo ila kwa kukosa sifa mbili kuu za kiumbe hai, gari halijakidhi vigezo vya kuitwa kiumbe hai
 
Kwahyo mkuu We umeona kikubwa Ili kuwa state ni lazma Awe member wa UN ,Los angels Ni State je ni member wa UN?
New York ni state Je ni member wa UN?..

Kwa kifupi

Tanganyika was a Member of the United Nations from 14 December 1961 and Zanzibar was a Member from 16 December 1963. Following the ratification on 26 April 1964 of Articles of Union between Tanganyika and Zanzibar, the United Republic of Tanganyika and Zanzibar continued as a single Member, changing its name to the United Republic of Tanzania on 1 November 1964.
Unadhani haijawa member kwa bahati mbaya, au kwakuwa tayari Soveregnty yake imemezwa na Muungano?
Kwanini jitihada za kujiunga na OIC ziligonga mwamba? Acha kukaza fuvu bro
 
Unajua kazi za JKU?
Moja ya kazi hizo ni ulinzi Wa wananchi,, Je hiyo sio kazi ya Jwtz..
Unamjua Kiongozi wa JKU...Si ni.trained Officer from JWTZ?
Then unaitofaitishaje JWTZ na JKU?
Wakati baadhi ya Viongozi wake wametoka JWTZ na pengime kuna Viongozi wa JKU wapo JWTZ..
Washauri wote wa mgambo ni wajeshi wa JWTZ, bado mgambo ni mgambo na jeshi ni jeshi. CDF akistaafu akaajiriwa ultimate security, hakuigeuzi ultimate security kugeuka jeshi kwasababu inaongozwa na general!. Most mercenaries ni trained soldiers, hakuwafanyi wawe jeshi. Hivyo KMKM na JKU ni migambo hata ikiongozwa na ma general wa jeshi.
P
 
Yote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.

Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.

Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.

Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?

Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.

Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.

Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?

Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
Jkt maafisa wote ni jwtz,hivyo jkt au jku ni jwtza,na kama itatokea vita wote wanaingia uwanjani bila kujali wewe ni jkt su jku au jwtz,huu ndio ukweli kwa lugha rahisi jkt au jku vyote ni kitengo mdani ya jwtz
 
Tofauti ni kubwa sana, even kimafunzo mgambo wana light training, tofauti na full military members. na kuna vitu zaidi wanatofautiana
Tofauti ni status tuu, kuna migambo who are better trained kuliko wajeshi wetu!.
P
 
Nilikuwa nakusubiri kwenye kipengele D Mkuu, naona umeshapata jibu sasa. Kwamba Zanzibar haina sifa ya State ndiyo maana hatuioni kwenye mawanda ya siasa za Kimataifa kama Membership kuwa mwanachama wa jumuiya za kimataifa kama AU, UN, pia haina mamlaka ya Dola ya kufungua Ubalozi kwenye Taifa lingine lolote.
Kama kiumbe hai kina sifa kuu saba kuwa na sifa Sita bado unakuwa haujafuzu kuwa kiumbe hai.
Mfano mzuri gari hatuwezi kuliita kiumbe hai kwakuwa lina uwezo wa kujongea, kuhisi, na nyinginezo ila kwa kukosa sifa mbili kuu za kiumbe hai, gari halijakidhi vigezo vya kuitwa kiumbe hai
Rejea Comment #70..
Zanzibar na Tanganyika Vilinyanganywa viti Umoja wa mataifa na Kupewa Taifa moja lililoitwa United Republic of Tanganyika and Zanzibar ambayo baadaye ilibadiliishwa na kuwa United republic of Tanzania..

Kwakuwa Viliungana vikabaki.kuwa Nchi moja yenye nchi mbili zilizoungana..

Zanzibar wamejaribu kuandika barua Nyingi sana kuomba kiti chao kurudi Au Na UN ila imeshindikana..

Hata kama unaangalia mpira Utagundua juzi kati Timu ya Taifa ya Zanzibar walibeba bango La kudai Kiti kwenye Jumuia za kimataifa...
zanzibar timu.jpg
 
Jkt maafisa wote ni jwtz,hivyo jkt au jku ni jwtza,na kama itatokea vita wote wanaingia uwanjani bila kujali wewe ni jkt su jku au jwtz,huu ndio ukweli kwa lugha rahisi jkt au jku vyote ni kitengo mdani ya jwtz
JKT ni jeshi, JKU ni jeshi usu!.
P
 
Washauri wote wa mgambo ni wajeshi wa JWTZ, bado mgambo ni mgambo na jeshi ni jeshi. CDF akistaafu akaajiriwa ultimate security, hakuigeuzi ultimate security kugeuka jeshi kwasababu inaongozwa na general!. Most mercenaries ni trained soldiers, hakuwafanyi wawe jeshi. Hivyo KMKM na JKU ni migambo hata ikiongozwa na ma general wa jeshi.
P
Kinachofanya wawe jeshi ni Sheria na Katiba ma umiliki chini Ya dola na yes wanao kwa.Katiba na Sheria zao..
Kwanini Unashindwa kujua na wakati wewe ni.Wakili?
 
Washauri wote wa mgambo ni wajeshi wa JWTZ, bado mgambo ni mgambo na jeshi ni jeshi. CDF akistaafu akaajiriwa ultimate security, hakuigeuzi ultimate security kugeuka jeshi kwasababu inaongozwa na general!. Most mercenaries ni trained soldiers, hakuwafanyi wawe jeshi. Hivyo KMKM na JKU ni migambo hata ikiongozwa na ma general wa jeshi.
P
Unafurahisha Sana kwa majibu haya Mkuu!
NIlikuomba unijibu Kwa Kutumia combat officers Na insignia Utifautishe unakuja kitofautisha na biyu vya ajabu?
Unanijibu kwa ultimate security Really?
Msomi wa sheria?
Mgambo Sio jeshi na wala sio waajiriwa..
Ila JKU ni waajiriwa Unajua tifauti?
 
Jeshi ni lugha tu but si jeshi kitaalam. Wangekuwa jeshi kamili wasingekuwepo chini ya wizara ya mambo ya ndani, hata kisheria hawana power kama waliyonayo jeshi la wananchi ambalo ndio main military.
wewe uko busy kufuta maziwa kwenye carpet na tambala lenye mkojo,yaani afadhali hata mayala alikuwa karibu na uhalisia.

kama polisi haipaswi kuitwa jeshi,si sababu ipo chini ya wizara,mbona jwtz iko chini ya wizara!!!au ulitaka polisi iwepo wizara ya ulinzi ndipo ukubali kwamba ni jeshi??

neno jeshi ndani ya polisi limewekaa kiusalama,vingine hatuwezi kuwaambia vyote hapa ila ni ile ile mbinu kama ya kikosi 577kj mgulani,hizo namba zimewekwa kimkakati,maandazi kama nyinyi hamuwezi elewa mtaanza kuhoji hoji hovyo namba 1 na 25 viko wapi?

baadae jeshi leti la ulinzi litakapofikia hatua fulani basi hatutaona hii police force,au prison force.
 
Back
Top Bottom