Mkuu Pascal Tangu mwanzo nakusikiliza na kukusoma Sioni Chochote unachokitoa,Kukiandila wala kuthibitisha kuwa Jeshi la JKU sio Formal..
Zaidi ya maneno yako tu kusema sio Formal..
Formality hailetwi na Maneno yako bali na sheria na katiba..
Ambavyo vyote vimethibitisha na kuiba nguvu ya Dola Idara hizo na Jeshi hilo..
Bhasi tuseme kweli kuwa Formality ya Zanzibar haihusiki Bara..
Na vipi kuhusu Jeshi la Magereza La bara Kutokuwepo Zanzibar?
Na kuwa chinu ya hizi Idara ambazo zimeanzishwa chini ya Katiba ya zanzibar?
Unafahamu kuwa hizo idara zina Nguvu ya Dola?
Kwani jeshi la magereza si lipo chini ya katiba ya Tanzania Ibara ya 147 sasa kwanini Zanzibar Likose nguvu na kutokuwepo.huko?
na Jiulize kwanini Jeshi la magereza lisiwe na Ngivu huko ila Jeshi la Mafunzo lililo chini ya Idaya maalumu kwa Ibara ya 121 (2) Kipengele C Ya katiba ya Zanzibar iliyoanzisha JKU liwe na nguvu?
Pascal Mayalla Unaniangusha ndugu Nsomba Mwichane