JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

JKU na POLISI: Lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?

wewe uko busy kufuta maziwa kwenye carpet na tambala lenye mkojo,yaani afadhali hata mayala alikuwa karibu na uhalisia.

kama polisi haipaswi kuitwa jeshi,si sababu ipo chini ya wizara,mbona jwtz iko chini ya wizara!!!au ulitaka polisi iwepo wizara ya ulinzi ndipo ukubali kwamba ni jeshi??

neno jeshi ndani ya polisi limewekaa kiusalama,vingine hatuwezi kuwaambia vyote hapa ila ni ile ile mbinu kama ya kikosi 577kj mgulani,hizo namba zimewekwa kimkakati,maandazi kama nyinyi hamuwezi elewa mtaanza kuhoji hoji hovyo namba 1 na 25 viko wapi?

baadae jeshi leti la ulinzi litakapofikia hatua fulani basi hatutaona hii police force,au prison force.
hhah Mkuu Upo kamandi gani?
 
Yote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.

Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.

Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.

Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?

Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.

Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.

Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?

Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
Kwa itifaki za kijeshi hawatumii neno 'hadhi' maana yote ni majeshi. Tofauti ni kwamba kuna majeshi ya ULINZI na majeshi ya USALAMA. Hapa nchi tuna Jeshi moja la Ulinzi, lakini limegawanyika katika kamandi kadhaa ambazo ni majeshi kamili; kama Anga, Maji, Nchi kavu na JKT. Ndiyo maana unaweza kuona kama JWTZ ni Jeshi moja, lakini Mkuu wake huitwa "Mkuu wa Majeshi. Majeshi ya Usalama ni Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Uhifadhi. Kwa kule Zanzibar, jeshi la ulinzi ni hilihili moja; lakini kwa muundo wa Vikosi vya SMZ, wale KMKM kiutendaji ni sawa na Jeshi la Maji (Navy) na hao JKU ni sawa na JKT. Kwa hiyo ni wazi JKU na KMKM ni vikozi vya Ulinzi.
 
wewe uko busy kufuta maziwa kwenye carpet na tambala lenye mkojo,yaani afadhali hata mayala alikuwa karibu na uhalisia.

kama polisi haipaswi kuitwa jeshi,si sababu ipo chini ya wizara,mbona jwtz iko chini ya wizara!!!au ulitaka polisi iwepo wizara ya ulinzi ndipo ukubali kwamba ni jeshi??

neno jeshi ndani ya polisi limewekaa kiusalama,vingine hatuwezi kuwaambia vyote hapa ila ni ile ile mbinu kama ya kikosi 577kj mgulani,hizo namba zimewekwa kimkakati,maandazi kama nyinyi hamuwezi elewa mtaanza kuhoji hoji hovyo namba 1 na 25 viko wapi?

baadae jeshi leti la ulinzi litakapofikia hatua fulani basi hatutaona hii police force,au prison force.
Mkuu mbona TPDF na TPF hayaingiliani kabisa kiutendaji na kila mmoja ana job descriptions tofauti kabisa na mwenzake unless kuwe na concern ya pamoja ndiyo utaonanwanachangama.
 
Kwa itifaki za kijeshi hawatumii neno 'hadhi' maana yote ni majeshi. Tofauti ni kwamba kuna majeshi ya ULINZI na majeshi ya USALAMA. Hapa nchi tuna Jeshi moja la Ulinzi, lakini limegawanyika katika kamandi kadhaa ambazo ni majeshi kamili; kama Anga, Maji, Nchi kavu na JKT. Ndiyo maana unaweza kuona kama JWTZ ni Jeshi moja, lakini Mkuu wake huitwa "Mkuu wa Majeshi. Majeshi ya Usalama ni Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Uhifadhi. Kwa kule Zanzibar, jeshi la ulinzi ni hilihili moja; lakini kwa muundo wa Vikosi vya SMZ, wale KMKM kiutendaji ni sawa na Jeshi la Maji (Navy) na hao JKU ni sawa na JKT. Kwa hiyo ni wazi JKU na KMKM ni vikozi vya Ulinzi.
Hii ni kwa mujibu wa andiko lipi kwa huo mgawanyo ulioutaja hapo juu?
 
Mkuu mbona TPDF na TPF hayaingiliani kabisa kiutendaji na kila mmoja ana job descriptions tofauti kabisa na mwenzake unless kuwe na concern ya pamoja ndiyo utaonanwanachangama.
wala sio tatizo.

tunasubiri majukumu yanayoweza kuwafanya wakafanya kazi pamoja kama kama ilivyokusudiwa iwapo yatatokea(vita),ingawa tayar zipo hali zinasababisha wanafanya kazi pamoja kabla ya vita,mfano iliyoko huko mipaka ya msumbiji nk.
job description ni tofauti lakini zenye nature moja,ndio maana wote wanaapa kufa kwa ajili ya wengine kwanza.
 
JUTZ = Jeshi la Uhifadhi Tanzania. Nadhani lina miaka isiyozidi 3.
Liko vizuri.

Technicaly hawa walikuwepo muda mrefu sana, since 90s. But by then walikuwa ni kitengo chini ya taasisi za kiraia. Na kila taasisi za uhifadhi chini ya wizara ya mali asili ilikuwa na kitengo kama hiko chenye askari wake.
Baadae ndio waka unganishwa ku form JU
 
Tofauti ni status tuu, kuna migambo who are better trained kuliko wajeshi wetu!.
P

Aint no such thing brother, tofauti imo sana. labda kama hujapita huko.
Eti mgambo better trained kuliko service member wakikusikia watakucheka sana kaka, sijawahi kuona hilo jambo kwa miaka niliyo tumikia taasisi hiyo. First you need to know mgambo wana receive light training version tofauti na full military training
 
wewe uko busy kufuta maziwa kwenye carpet na tambala lenye mkojo,yaani afadhali hata mayala alikuwa karibu na uhalisia.

kama polisi haipaswi kuitwa jeshi,si sababu ipo chini ya wizara,mbona jwtz iko chini ya wizara!!!au ulitaka polisi iwepo wizara ya ulinzi ndipo ukubali kwamba ni jeshi??

neno jeshi ndani ya polisi limewekaa kiusalama,vingine hatuwezi kuwaambia vyote hapa ila ni ile ile mbinu kama ya kikosi 577kj mgulani,hizo namba zimewekwa kimkakati,maandazi kama nyinyi hamuwezi elewa mtaanza kuhoji hoji hovyo namba 1 na 25 viko wapi?

baadae jeshi leti la ulinzi litakapofikia hatua fulani basi hatutaona hii police force,au prison force.

Hahah for real? Umekuja na conclusion nyepesi kama hii? Maan mayalla ameenda chaka and so are you? Fanya research yako upya, ikiwezekana watufute walioko kwenye taasis waulize
 
Hahah for real? Umekuja na conclusion nyepesi kama hii? Maan mayalla ameenda chaka and so are you? Fanya research yako upya, ikiwezekana watufute walioko kwenye taasis waulize
kwani unadhani kwenye taasisi kuna alliens,ni watu tu kama wewe na mimi.

hata hapa jf wapo,na wanatumia infinix na iphones kama kawaida.
 
Jkt maafisa wote ni jwtz,hivyo jkt au jku ni jwtza,na kama itatokea vita wote wanaingia uwanjani bila kujali wewe ni jkt su jku au jwtz,huu ndio ukweli kwa lugha rahisi jkt au jku vyote ni kitengo mdani ya jwtz
Inapoongelewa JKU au JKT mara nyingi huongelewa wale vijana wanaokwenda kujitolea kwa ajili ya kupata maarifa na mbinu kwa ajili ya ujenzi wa taifa, JKU kwa upande wa Zanzibar kuna vijana wapo pale kujitolea ndio wanaoongelewa na Maafisa wao ni waajiriwa wa SMZ pekee, ukija kwa upande wa JKT Kuanzia Maafisa hadi NCO wote ni waajiriwa wa JW, hivyo kimlingano JKUZ ni sawa na JKT. Kuhusu kuwa linaongozwa na Kamanda kutoka JW hailifanyi kuwa sawa na JW kwa sababu kiongozi wa kijeshi anaweza kufanya kazi popote anapopangiwa, mfano mzuri, Wakuu wa mikoa wilaya ni wengi wameshatokea JW na kufanya kazi hizo. Vile vile hata mkuu wa KVZ pia nae anatokea JW, na mkuu wa KMKM pia nae anatokea JW wakati KMKM wanaoperate Zenji pekee na Navy ni kwa Tanzania nzima.
 
Mtaamuni siku rais wa Zanzibar akitoka chama tofauti na kinachotawala bara, migambo wote wa jku na kmkm watapokonywa SMG na jukumu la ulinzi watapewa jwtz na polisi.

Makamanda wote watakuwa wakurua, wasukuma na wahehe. Wajeshi wenye asili ya zenj watapelekwa bara.

Kutakuwa na matumizi ya nguvu na ukatili mkubwa.

Ili kuepusha haya, ZEC itapewa matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar kutoka chamwino.

Katiba ya zenj ni kama by law za halmshauri tu.

Tamani kabla ya kutokea haya, Rais wa JMT ateue wakuu wa mikoa na wilaya wa Zanzibar au hata kuwabadilisha vituo vyao vya kazi tu, likiwa ngumu hili basi hata kwa ma RAS na ma DED.
Matamanio yako yakishindwa, chukua finga lako la KATI zamisha kwenye kijambio chako chomoa halafu unuse na huku ukisema "sh haaaa".
 
Uhamiaji mbona hamuwataji... wale jamaa wanajiona makamanda kinoma na vinyota vyao vya chupri chupri..
 
This is it. Actions speak louder than words. Endeleeni kuyaita majeshi ya migambo kujifurahisha.

Ni dhahir kabisa kuwa Zanzibar hawautambui wala kuutilia maanani muungano. Wamejiundia katiba na taasisi zinazowapa full autonomy nje ya Tanzania.

KMKM, JKU ni majina tu. Hayo ni majeshi kamili yenye hadhi nzito kule chini ya amiri jeshi mkuu wao.
Ndiyo maana yake .....nchi yetu inaongozwa na wapumbavu na raia feki
 
Back
Top Bottom