Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
MhhhhhhHayo ni mambo ya ndani ya Zanzibar, katiba ya JMT, haiyatambui, Ulinzi ni jambo la muungano, hao ni wagambo tuu!.
Hata huo ukamanda wa rais wa Zanzibar kwa wagambo hao, sio Amiri Jeshi Mkuu ni kamanda wa wagambo!.
P
Uzi ufungweJKU=JKT
Musijibu kwa hisia.Kwa mtazamo wng Polisi wako juu ya JKU maana Jku anaishia zenj wkt polisi anafanya kz popote....JKU ni kama mgambo wa city ambaye ajira yake na matumizi yake inaishia ndani ya halimashauri husika
Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.Musijibu kwa hisia.
2013 nikwa Ruvu jkt kuna wakufuzi lukuki kutoka JKU walimwagwa pale . Walikuwa na sisi mpaka mwisho wa course.
Waliheshimiwa na kuwa na hadhi sawia na wanajeshi wengine wa huku bara.
Kwahyo Na JKT zanzibar wanafanya nini?Uzi ufungwe
Ngoja kwanza!Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.
P
Yes. Watu wanawadharau JKU.Hata vita vya Kagera, jeshi la mgambo ndio walikuwa advance party wakiwekwa mstari wa mbele kuwa chambo!. Kwa heshima wanaheshimiwa sana tuu ila jeshi ni jeshi na mgambo ni mgambo!.
P
JKU ni sawa na Jeshi la Magereza kwa Tanganyika.Yote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.
Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.
Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.
Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?
Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.
Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.
Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?
Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
Mnaongea bila kua na akili ya kuona ukweli uliopo nyuma ya hayo majeshi ....kitendo cha wazanzibar kuunda hayo majeshi kinatokana na chuki na ubinafsi iwe ni chuki ya haki au la au ubinafsi wa haki au la .....msingi wake ni chuki na ubinafsi kwenye kuchukia watanganyika hivyo wameunda majeshi na kuyaimarisha kwa sababu wanayo ajenda ya siri mioyoni mwaoYote ni majeshi, lakini Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) ni linatumika Zanzibar pekee na Polisi linafanya kazi pande zote za Muungano.
Kwa uelewa wangu, JKU ni kama ilivyo JWTZ.
Japo JWTZ na POLISI yote ni majeshi, lakini kwa mtazamo wa watu wengi, hasa Watanyika(sijui Sheria inasemaje katika hilo), JWTZ linaizidi Polisi kwa hadhi.
Kwa muktadha huo basi, JKU kule Zanzibar inaweza kuwa na hadhi iliyo nayo JWTZ upande wa Tanganyika?
Nauliza hivyo kutokana na tukio lililowahi kutokea kule Zanzibar, la askari wa JKU kuvamia kituo cha Polisi cha Mwembe Madema ambacho ni Kituo Kikubwa cha Polisi cha Unguja Mjini, na kushikilia mateka askari Polisi aliyemkamata mwenzao kwa kosa la kukiuka Sheria ya usalama barabarani.
Ujasiri wa kukivamia kituo Kikuu cha Polisi waliutoa wapi? Hapo ndipo kulipo na ofisi kuu ya Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi. Kwa hiyo ni sawa kusema walivamia makao makuu ya Jeshi la Polisi Mjini Magharibi.
Walikuwa na silaha nzito kuzidi za Jeshi la Polisi?
Kati ya Jeshi la Polisi na JKU, lipi lina hadhi kubwa zaidi Zanzibar?
Tanzania ina Tanganyika na Zanzibar, hiyo Bara iko wapi!?Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT ina rais mmoja na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu ambaye kwa sasa ni Amirati. Hayo majeshi ya Zanzibar, yote ni migambo tuu, ndio maana kule kuna polisi na jeshi letu.
Ila Tanzania ina sehemu mbili, Bara na Zanzibar, katiba ya Zanzibar inaitambulisha Zanzibar kama nchi na kuitambulisha hiyo migambo kama jeshi na rais wa Zanzibar ndie Amiri jeshi wa migambo hao, hayo ni mambo yao ya ndani, ki nchi hatuwatambui!.
P
Katika comment ya kipuuzi niliyoisoma Moja ni hii, kaisome Katina ya Zanzibar na Ya JMT inasema kuhusu idara maalum za SMZ. Then njo na rhetoric zako za kipuuzi. Au ndiyo hasira za mama kukuacha solemba baada ya kujaribu na kujifanya chawa. Kama yule msukuma mwenzaki hakukuona. Ujue wengine wameshavaa miwani ya MbaoCivic education kuhusu majeshi yetu, polisi na migambo inahitajika!. Tanzania tuna Majeshi ya Ulinzi, JWTZ, chini ya CDF, chini ya JWTZ kuna Jeshi la Kujenga Taifa, JKT.
Tuna Jeshi la Polisi PT Tanzania, chini ya IGP, chini yake kuna Jeshi la Zimamoto na ukosoaji, chini ya Commissioner, kunaJeshi la Uhamiaji, chini ya Commissioner, kuna Jeshi la Magereza chini ya Commissioner na Tume ya madawa ya kulevya chini ya Commissioner.
Tuna jeshi la Usalama chini ya DGIS, wale 'jamaa zetu'.
Majeshi mengine yote ni majeshi usu or polisi usu, yaani auxiliary army or police, hawa wote ni migambo, wakiwemo askari wanyapori, KMKM, JKU, Vikosi vya SMZ, ziko taasisi kibao zina majeshi yake wakiwemo Ultimate, Group 4 security, walinzi wa mgodi, walinzi wa meli baharini, etc. Wote hawa ni migambo!. Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?
P
Tofauti ya jeshi na mgambo ni the official status, jeshi ni formal mgambo ni informal.Ngoja kwanza!
Labda mimi ndo Sijaelewa Hebu nipe tofauti ya JWTZ na JKU kwa sheria za kijeshi na hata kimafunzo na Ki-insignia na nipe utofauti wake na Mgambo..
This is it. Actions speak louder than words. Endeleeni kuyaita majeshi ya migambo kujifurahisha.Mnaongea bila kua na akili ya kuona ukweli uliopo nyuma ya hayo majeshi ....kitendo cha wazanzibar kuunda hayo majeshi kinatokana na chuki na ubinafsi iwe ni chuki ya haki au la au ubinafsi wa haki au la .....msingi wake ni chuki na ubinafsi kwenye kuchukia watanganyika hivyo wameunda majeshi na kuyaimarisha kwa sababu wanayo ajenda ya siri mioyoni mwao
Hili swala la Amirati CDF Mabeyo alishalitolea ufafanuzi pale Chato kwenye mazishi ya Jamaa yetu, hakuna Amirati ni Amiri.Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT ina rais mmoja na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu ambaye kwa sasa ni Amirati. Hayo majeshi ya Zanzibar, yote ni migambo tuu, ndio maana kule kuna polisi na jeshi letu.
Ila Tanzania ina sehemu mbili, Bara na Zanzibar, katiba ya Zanzibar inaitambulisha Zanzibar kama nchi na kuitambulisha hiyo migambo kama jeshi na rais wa Zanzibar ndie Amiri jeshi wa migambo hao, hayo ni mambo yao ya ndani, ki nchi hatuwatambui!.
P
Hizo ni siasa za CCM tu, Tanganyika kur anazopata mwenyekiti wa mtaa, anamzidi mbunge wa Zanzibar hata Kwa ukubwa wa eneo la kutawala na population.Musijibu kwa hisia.
2013 nikwa Ruvu jkt kuna wakufuzi lukuki kutoka JKU walimwagwa pale . Walikuwa na sisi mpaka mwisho wa course.
Waliheshimiwa na kuwa na hadhi sawia na wanajeshi wengine wa huku bara.
Na hili zimwi hatulipendi wananchi wa bara wala visiwani lakini linalindwa na viongozi. Sijui waliambiwa watakufa wakilisalitiHizo ni siasa za CCM tu, Tanganyika kur anazopata mwenyekiti wa mtaa, anamzidi mbunge wa Zanzibar hata Kwa ukubwa wa eneo la kutawala na population.
HavipoHv kwenye sherehe ya Muungano hivyo vikosi vya JKU na KMKM huwa vinashiriki kwenye gwaride kama majeshi????