Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Ameenda kumhakikishia Bi Mikopo kwamba serikali yake kwa mwendo huu wa kopakopa na tozotozo, haiwezi kufika kokote! Itakuwa wamepinga (wamebeti) kwa kidole kidogo: ^NGOJA TUONE! YES, TUTAONA!^ 🙂Hiv kaenda mwenyew au kaitwa, wataalamu watupe ufafanuzi apa