Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Atafeli sana kwani watu watamchekea kinafikiMmmh huyu mama Nono Kabisa,kuambiwa Ukweli akakasirika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafeli sana kwani watu watamchekea kinafikiMmmh huyu mama Nono Kabisa,kuambiwa Ukweli akakasirika
Ukiangalia "body language" hasa ya Job Ndugai, ni dhahiri hiyo picha imelazimishwa, Kwa hiyo hata hayo mazungumzo yalikuwa ya kulazimisha.Chief Hangaya baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Chief Hangaya kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma;
Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Januari 06, 2022 ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa video ambayo alinukuliwa akisema ipo siku Nchi itapigwa mnada kutokana na madeni Amesema ameandika Barua ya kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa CCM na uamuzi huo ni...www.jamiiforums.com
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
View attachment 2078328
Haitwi jacob mkuu ni jobView attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Tutamsikia Rais Samia, akitueleza kuwa hata yeye Ndugai, atampa Kazi maalum!MHE. RAIS SAMIA AKUTANA NA NDUGAI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Leo Jumatano Januari 12, 2022 amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
#NyukiWaMama
View attachment 2078404
Picha yenyewe inajitosheleza jamaa kanunaa.Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea
Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.
Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.
Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.
Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are like to do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.
Wote wamenuna ni makubwa ya maaduiMama kaamua kwenda na Baibui la asili ya Mwambao.
Mgogo mbona kanuna hivyo?
Omera iniye mang'enyiOmera, iwacho adieri kabisa.
Katua Dom leo.Mama si yupo Zanzibar
Magamba wana laana.NDUGAI kakoseewa sna na adabu uwezi nichamba vile alfu utake tupige picha public kbsa aisee hata mm ningenuna tu cwez kenua meno kwa. Mtu alikwisha niudhi na kunidhalilisha
SawaKatua Dom leo.
Wanamfanyaje...?😂😂😂wanamhonyoa
Aombe msamaha mara ngapi??Umejuaje kama kaitwa, pengine Ndugai ndiye aliyeomba kukutana na Mh. Rais kwenda kuomba msamaha kimya kimya
Hata mara 10Aombe msamaha mara ngapi??