Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai utafkiri anaumwa na jino., He is not happy at allView attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Picha zinaonesha kawa hawaaminiani hivi hahahaView attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Hahahaj kumbuka pia ni mkuu wa machifuKwa hiyo kavaa kichui chui ili tumwogope?
Ndugai ni sawa na mtaka nyingi nasaba na kuambulia msiba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anapewa ubalozi wa nchi nzuri tuNDUGAI kakoseewa sna na adabu uwezi nichamba vile alfu utake tupige picha public kbsa aisee hata mm ningenuna tu cwez kenua meno kwa. Mtu alikwisha niudhi na kunidhalilisha
Mwamba wa 'chokaa' (limestone). Kwa muonekano huwa ni kama mwamba imara, lakini maji ya mvua yanautoboa kirahisiMwamba?😄😄😄 Itakua Mwamba wa barafu.
Siasa siyo uadui.
Juma Nature pia wa TMK alikataa wito wa Kikwete.Hivi ukiitwa ukakataa kwenda watafanyaje? Nimewahi sikia kuwa musuguli akiwa CDF aliwahi kupuuza wito wa rais mwinyi!
Anajiuzulu ubungeRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Mimi nachokiona hapo ni kuwa ;Naona hujui pictorial interpretation.
Binafsi ukiangalia hii picha kama mama ana hofu na soni kumtazama Job..Huku Job akiwa na ham sana ya kumshika mkono mama ila mama naye hana "Time" naye kabisa .
Ni kama kuna juhudi za kuwaunganisha pamoja ila wote wanaonekana wamelazimuahwa.
Hakuna inner willing ya wahusika kumaliza tofauti zao.
Nawaza tu kuliingana na picha!!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Omera, iwacho adieri kabisa.
Isee.....! Kila mtu ana macho yake 😳😳😳Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
[emoji23][emoji23][emoji23]..siasa sio uadui wakati Mama amevaa nguo ya CHUI?
Anainekana kaenda mwenyewe ila mama ni kama hajayamaliza moyoni. Yaani mbwai imekua mbwai.Hivi kaenda mwenyewe au kaitwa, wataalamu watupe ufafanuzi hapa