Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimsikia Ayubu akiomba toba kwa Mtemi Hangaya...huku akinukuu Biblia ambayo kwanza haijui na pili haiamini! Ndo maana aliropoka kuwa Yesu alikuwa na mke.....Shame on Job Ndugai!!Nimekosa Mimi[emoji16][emoji16]
Nilijua tu huu uzi hutaisha bila mkware mmoja kutia nakshi za mahaba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
Why CDM imejaa watu waliodata sana na maisha. Whyyyyy
Picha tu inaonyesha Ndugai hana furaha, yani kama kalazimishwaNilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.
Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.
Mtaalamu, usiniambie hujawahi kuwa nae Zero distance Mh. Mama yetu Samiah Suluhu Hassan utakuwa umejionea alivyo mzuri jumulisha na ule muondoko wake wa kunesanesa kama twiga ni hatari tupu unaweza jikuta unapoteza concentration.Nilijua tu huu uzi hutaisha bila mkware mmoja kutia nakshi za mahaba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
Mama kala apple watch mie nikiangalia vidole vyake ndio huwa vinanikosha vimekula mgodi wa Geita mwanzo mwisho!Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
Huo ni ukweli ulio dhahiri. Hwpo alipo akiwaza alivokuwa akitwmba Bungeni na kunyanyasa Wabunge leo ni Mbunge wa kawaida....Mungu hadhihakiwi bhana!!!Picha tu inaonyesha Ndugai hana furaha, yani kama kalazimishwa
Yuko BENKI, aunachekelea hela za bure hadi kufa, nyie mnamjadili.....!!!
Juzi nimemutoa out binti wa kichaga mid 30, kwa kweli yule binti phenotopically ni mzuri sana nilipokuwa nae faragha nilishangaa inapenya tu hata ka resistant kadogo hakakiwepo na hapo alinihakikishia hajafinywa kama miezi mitatu..umetoa wosia mkubwa sana kwa mabinti aisee..
Mama she is over 50yrs lakini bado mbichi kabisa...hawa mabinti wa sasa kama magari ya matiper ya mchanga vile kwenye road construction...
Itahesabika kama dharau, sasa hapo inategemea na busara ya mtendwa anaweza potezea kwa kuchukulia poa ama mkaanza kusakana ile kibifu kila mtu kwa hadhi yake msakwa atajihami kwa hadhi na uwezo wake same applicable kwa msaka.Hivi ukiitwa ukakataa kwenda watafanyaje? Nimewahi sikia kuwa musuguli akiwa CDF aliwahi kupuuza wito wa rais mwinyi!
Tajiri, gifts zinakuja za kutosha kula kukicha kutoka pembe mbalimbali za dunia na mama anapenda sana Jewelleries kwa sana tu ndio maana anatupia za kutosha tu.Mama kala apple watch mie nikiangalia vidole vyake ndio huwa vinanikosha vimekula mgodi wa Geita mwanzo mwisho!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii picha inaakisi kabisa hali ya sasa ya mahusiano
Mungu ibariki Tanzania
Mmh ss ndo hicho ndo kinafanya uwaze unavyowaza?Juzi nimemutoa out binti wa kichaga mid 30, kwa kweli yule binti phenotopically ni mzuri sana nilipokuwa nae faragha nilishangaa inapenya tu hata ka resistant kadogo hakakiwepo na hapo alinihakikishia hajafinywa kama miezi mitatu...
Sasa angejitunza ungempata.Juzi nimemutoa out binti wa kichaga mid 30, kwa kweli yule binti phenotopically ni mzuri sana nilipokuwa nae faragha nilishangaa inapenya tu hata ka resistant kadogo hakakiwepo na hapo alinihakikishia hajafinywa kama miezi mitatu...
Yupo mbinguni kwa yesu kujibu maswali.