MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Naona Mama anakwenda na wakati, Apple Watch mkononi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za ubabe wa Ndugai zimemalizwa kibabeKwa hiyo kavaa kichui chui ili tumwogope?
Ndugai ni sawa na mtaka nyingi nasaba na kuambulia msiba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ila nikiangalia body language Yao mmmmh,sojaisoma kabisa isije ikawa hela za India zile.Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Labda kaenda kumuambia ile barua hakuandika yeyeRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Naona Mama anakwenda na wakati, Apple Watch mkononi.
Security wanakosea. These gadgets are not secure.Naona Mama anakwenda na wakati, Apple Watch mkononi.
T
Security wanakosea. These gadgets are not secure.
No comment!Anatakiwa kutumia Analog, eti?
Kamba za viatu🤠Halo kwenye vkatu ni nini?
Acheni utoto bhana!
Acha wamscan kwanzaAcheni utoto bhana!
Why CDM imejaa watu waliodata sana na maisha. WhyyyyyKumekuwa na sintofahamu ya aliko Spika wa bunge JMT Job Yustino Ndugai.
Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha
Kuna utata unaoambatana na uhalali kisheria katika kujiuzulu huku:
1. Taarifa kwa wabunge kuhusu kususia la Spika imetolewa?
2. Vipi barua kwenda kwa katibu wa bunge iliwasilishwa?
3. Vipi hoja ya NCCR mageuzi mahakamani kupinga utaratibu batili ulio fanyika?
4. Vipi Naibu Spika kuwa kwenye mchakato wa kugombea u Spika hali akiwa bado Naibu Spika bungeni?
Pamoja na kuwa picha hizi zimeonekana leo kuwa hapo ni Dodoma:
View attachment 2078555
View attachment 2078557
Nani namwona Job Yustino Ndugai hadharani ?
Leo Mama si alikuwa Zanzibar kwenye sherehe za Mapinduzi mtakatifu?
Sababu CCM imejaa watu waliotupa ubongo wao wakajaza fuvu za nazi !Why CDM imejaa watu waliodata sana na maisha. Whyyyyy