Job Ndugai akutana na Rais Samia Ikulu Dodoma
Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.

Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

====

RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022

Ila nikiangalia body language Yao mmmmh,sojaisoma kabisa isije ikawa hela za India zile.
 
Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.

Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

====

RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022

Labda kaenda kumuambia ile barua hakuandika yeye
 
Alafu mbatia anataka kwenda mahakamani kupinga ndugai kujiuzulu.
Wakati mwenyewe Hata habari hanaaa
 
Kumekuwa na sintofahamu ya aliko Spika wa bunge JMT Job Yustino Ndugai.

Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Kuna utata unaoambatana na uhalali kisheria katika kujiuzulu huku:

1. Taarifa kwa wabunge kuhusu kusudio la Spika kujiuzulu imeshatolewa?
2. Vipi barua kwenda kwa katibu wa bunge iliwasilishwa?
3. Vipi hoja ya NCCR mageuzi mahakamani kupinga utaratibu huu batili uliotumika Ndugai kujiuzulu?
4. Vipi Naibu Spika kuwa kwenye mchakato wa kugombea u Spika hali akiwa bado Naibu Spika bungeni?

Pamoja na kuwa picha hizi zimeonekana leo kuwa hapo ni Dodoma:

IMG_20220112_202229_197.jpg


IMG_20220112_202209_425.jpg


Leo Mama si alikuwa Zanzibar kwenye sherehe za yale Mapinduzi yetu matakatifu?

Nani kamwona Job Yustino Ndugai hadharani?

Dunia hii imejaa mengi ya kushangaza mengine yakiitwa ya Mussa.
 
Kumekuwa na sintofahamu ya aliko Spika wa bunge JMT Job Yustino Ndugai.

Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Kuna utata unaoambatana na uhalali kisheria katika kujiuzulu huku:

1. Taarifa kwa wabunge kuhusu kususia la Spika imetolewa?
2. Vipi barua kwenda kwa katibu wa bunge iliwasilishwa?
3. Vipi hoja ya NCCR mageuzi mahakamani kupinga utaratibu batili ulio fanyika?
4. Vipi Naibu Spika kuwa kwenye mchakato wa kugombea u Spika hali akiwa bado Naibu Spika bungeni?

Pamoja na kuwa picha hizi zimeonekana leo kuwa hapo ni Dodoma:

View attachment 2078555

View attachment 2078557

Nani namwona Job Yustino Ndugai hadharani ?

Leo Mama si alikuwa Zanzibar kwenye sherehe za Mapinduzi mtakatifu?
Why CDM imejaa watu waliodata sana na maisha. Whyyyyy
 
Back
Top Bottom