Job Ndugai akutana na Rais Samia Ikulu Dodoma
Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea

Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.

Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.

Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.

Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are like to do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.
Umejuaje kama kaitwa, pengine Ndugai ndiye aliyeomba kukutana na Mh. Rais kwenda kuomba msamaha kimya kimya
 
So what?
Wamekuta ili kupiga picha?
Sisi tunataka kusikia issues (lengo la wao kukutana na nini kimezaliwa) na sio blah blah za kupiga picha wakiwa wamenuna na kuogopana.
Hey! Come on! Hujui kusoma, lipicha nalo likushinde? Tifu ya Mstaafu JYN na Bi Mikopo wala hata huhitaji kupata maelezo ili kujua wamediskasi nini.

It's a matter of paying some close attention to the photo, basi unapata majibu yote mujarabu plus yale ya maswali unayoweza kuwa nayo kesho. Umeelewa sasa?
 
Chief Hangaya baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Chief Hangaya kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.

Pia soma;


====

RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
View attachment 2078328
Hii inaitwaje kitaalamu?
 
Siyo wameenda kujadili mafao yake ili angalau aipunguzie serikali mzigo. Yaani kiinua mgongo, winding up, gari jipya, lita 70 za mafuta kila wiki, dereva, n.k lazima apunguze vipengele vingine siyo kwa mkwanja huu.
Soon utasikia nae kachukua form tena.
 
Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea

Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.

Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.

Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.

Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are like to do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.
Yeye ndio kenda omba radhi live apana chezea kiti ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari mama ana kichambo Cha haja siku hyo Hadi Majaliwa alichambwa na kuitwa bunge la kina Kasimu loh
Acha kabisa.
Hawa wapemba ni hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Siyo wa kushindana nao mdomoni,anakudhalilisha mchana kweupe.
 
Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama samiah mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.

Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya mpoteze nuru.
Yamekuwa hayo tena
 
Jamaa leo kaitwa Ikulu na mama.Bado ana kinyongo,kanuna.

Hapa ni Ikulu ya Chamwino
Dodoma.

FB_IMG_16419976664117314.jpg
 
MHE. RAIS SAMIA AKUTANA NA NDUGAI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Leo Jumatano Januari 12, 2022 amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

#NyukiWaMama

IMG-20220112-WA0081.jpg
 
Back
Top Bottom