Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Ameenda kumhakikishia Bi Mikopo kwamba serikali yake kwa mwendo huu wa kopakopa na tozotozo, haiwezi kufika kokote! Itakuwa wamepinga (wamebeti) kwa kidole kidogo: ^NGOJA TUONE! YES, TUTAONA!^ πHiv kaenda mwenyew au kaitwa, wataalamu watupe ufafanuzi apa
JOBJacob
Mtori ulivyosheheneshwa ukajaa hivi, sidhani hata iwapo hizo nyama zenyewe wamekumbuka kututengea hawa jamaa ^war-who-knee^?Pep tuendelee kula mtori,nyama zipo chini.
[emoji23][emoji23]Mtori ulivyosheheneshwa ukajaa hivi, sidhani hata iwapo hizo nyama zenyewe wamekumbuka kututengea hawa jamaa ^war-who-knee^?
Bunge lilishapitisha Sheria ya kutomshitaki Spika kwa alichokifanya akiwa madarakani.Utamkimbuka Lisu na Kibatala na walivyo na mioyo myeupe wangekutetea hawa kina Yezebeli wasikunyanyase kiasi hiki lkn sasa unaisoma namba na huyu mama hajamaliza kazi na wewe. Atamtumia speaker ajaye kukufunga jela na tena utamkumbuka Lisu. Jumanne Kilangahe, Good luck, Mahita na Kingai wamesha bainika wajipange kazi umeanza. Mbwa nyie
Mwamba?πππ Itakua Mwamba wa barafu.[emoji23][emoji23]
Naiangalia TZ yetu baada ya mwamba kuondoka mwaka jana.
ππππMwamba?πππ Itakua Mwamba wa barafu.
Kwa hyo kavaa kichui chui ili tumwogope?
Ndugai n sawa na mtaka nyingi nasaba na kuambulia msiba
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata ningekuwa mimi ningenuna.Ndugai kanuna sana kwa hyo picha
Usicheze na CCM mkuu ππππππ
Acha basi mkuu
CCM mbele kwa mbeleπππUsicheze na CCM mkuu ππ
Yajayo yanafurahisha
Nchi hii sasa imekuwa kama poor & defenseless gazelle mbugani ambaye kundi la simba kibao wenye njaa wamemzingira pande zote na wanamhonyoa mercilessly minofu kila sehemu ya mwili wake.[emoji23][emoji23]
Naiangalia TZ yetu baada ya mwamba kuondoka mwaka jana.
Matukio mapya kila sikuπππππNchi hii sasa imekuwa kama poor & defenseless gazelle mbugani ambaye kundi la simba kibao wenye njaa wamemzingira pande zote na wanamhonyoa mercilessly minofu kila sehemu ya mwili wake.
Chezea kutemeshwa ugali wakoMama kaamua kwenda na Baibui la asili ya Mwambao.
Mgogo mbona kanuna hivyo?
Unatamanije bibi wa miaka 62 mkuu?Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama samiah mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.
Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya mpoteze nuru.