Hiv kaenda mwenyew au kaitwa, wataalamu watupe ufafanuzi apa
Ameenda kumhakikishia Bi Mikopo kwamba serikali yake kwa mwendo huu wa kopakopa na tozotozo, haiwezi kufika kokote! Itakuwa wamepinga (wamebeti) kwa kidole kidogo: ^NGOJA TUONE! YES, TUTAONA!^ πŸ™‚
 
Bunge lilishapitisha Sheria ya kutomshitaki Spika kwa alichokifanya akiwa madarakani.
 
Nchi hii sasa imekuwa kama poor & defenseless gazelle mbugani ambaye kundi la simba kibao wenye njaa wamemzingira pande zote na wanamhonyoa mercilessly minofu kila sehemu ya mwili wake.
Matukio mapya kila sikuπŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ™Œ
 
Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama samiah mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.

Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya mpoteze nuru.
Unatamanije bibi wa miaka 62 mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…