Job Ndugai akutana na Rais Samia Ikulu Dodoma
Yupo mbinguni kwa yesu kujibu maswali.

Mbinguni huko ni kwa wendazao. Hatuna taarifa kuwa huyu bwana katutangulia. Vipi huyu naye?


IMG_20220112_212004_142.jpg


Viti viwili akaa je?
 
Yuko BENKI, aunachekelea hela za bure hadi kufa, nyie mnamjadili.....!!!
Watanzania ni washamba jamaa mshahara kama kawaida, ulinzi kama kawaida, matibabu bure halafu unakuta mtu kula yake kwa tabu anashangilia yeye kuondoka kwa uspika.

Binafsi bado nashikilia msimamo wangu, Tanzania lina binadamu wa ajabu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
 
Watanzania ni washamba jamaa mshahara kama kawaida, ulinzi kama kawaida, matibabu bure halafu unakuta mtu kula yake kwa tabu anashangilia yeye kuondoka kwa uspika.

Binafsi bado nashikilia msimamo wangu, Tanzania lina binadamu wa ajabu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

Ajabu ya watanzania ni uajabu wao na hasa kwa mtu kama wewe, Kwamba pamoja na kutokujua hata nini kinachoongelewa kujifanya kujua:

Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

Ama kweli nyani haoni k*ndule.

Hiiiiii bagosha!
 
Maza anachukulia feelings za watu poa sana, sijui nani anamshauri akisha tumbua watu au kuwaletea fitna awaite Ikulu kupiga nao picha au waje kwenye hafla zake.

Ndugai anaonekana hayupo comfortable kabisa kwenye hiyo picha wakati maza anaona kama vile photo opportunity ya mzaha; tena aibu ya ubaya inamsuta.

Ukishafanya maamuzi yako wacha watu waishi na maumivu yao sio kuwafanya vikatuni mbele ya jamii kwa kutumia camera za ikulu.

The woman is beginning to abuse her powers, hivi mmeona clips za wknd huko Zanzibar kwenye taarab sijui sherehe gani alivyokuwa ana nyari; yaani kama vile anawatambia wamama wenzake mnanijua mimi ni nani.

We get amiri jeshi mkuu is all powerful, ana haki za kuchagua watu wa kufanya nao na kuamua dira ya nchi. Fanya yako wahusika wata ji JJ jinsi ya ku deal na maumivu yao; that’s life ajali kazini mambo ya kawaida.

Lakini huu utamaduni wakitoto anaoendelea nao wakuchezea feelings za watu au tuite kudhalilisha watu ni tasteless.
 
Ila mama ni mzuri jamaani, yale macho yake na enzi za ujana wake sijui ilikuwaje?
 
Maswali mengine sina majibu, ila kuhusu Mama kurudi Dodoma, hiyo ni kweli kwani nilikuwepo Airport ya Dodoma kwa shughuli zangu.
 
Body language!

Chief Hangaya is like, “Huuu…someone is having a bad day!”
Mr Nimekosa Mimi: “Have you finished…I didn’t sign up for this!”

1642014616522.jpeg
 
Back
Top Bottom