Body language though, vinyongo vimetamalaki mioyoniRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Body language though, vinyongo vimetamalaki mioyoniRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma...
Huyu mama omera, anatuletea thianda maduongo yake, Nono kabisaOmera, iwacho adieri kabisa.
Bure sana. Ni katika kuombaomba msamaha kwa jambo sio losa kwa spika ws bunge kufanya.Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma...
Hiyo quality ya hiyo milango mbona haiendani na hadhi ya Ikulu au picha ndio yenye poor quality labda kutokana na mwanga wa jua?Hujasema macho yako yameona nini cha tofauti ili nasi tupime uhalisia wa ulichoona. Si kila mtu anawaza unavyowaza, kuna baadhi yetu humu wanazo taarifa za ziada zinazoweza kukufumbua macho na kukuondolea utata. Fungukaa
Ccm Haiishi Sarakasi Picture Zao Sasa Zimejaa Ghiriba Tupu
Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea
Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.
Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.
Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.
Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are likely do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.
As a nation, we are very unlucky.
Wamechaguuuua picha zote wakaona hii ndio yenye afadhari?View attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Just for the public to calm down. The truth remains the same. Neither of them will get healed deep in their hearts from this event.Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea
Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.
Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.
Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.
Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are likely do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.
As a nation, we are very unlucky.
Hii picha inasema mengi sanaRais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Wabongo kwa utunzi wa hadithi mpo juuPicha Yao inasomeka. Kuna jambo hawajakubaliana Madame kamsuta au kamchamba Tena kwa kukosea makusudi Ile barua yake ya kujiuzulu kwani aliiaddress Kwa KM wa ccm badala ya katibu wa bunge!
Ni Kama anamwambia kuwa wewe mgogo usijifanye unajua Sana na kumbuka mimi ni mtoto wa mjini kushindwa wewe mchunga ng'ombe! Usinizingue kwani tutazinguana! Kule kugeuka Kila mmoja na upande wake na Kwa mkao wa mkono wa Madame ni Kama kamwambia ebu pisha kule!
Watakuwa wamepishana kauli na hawajakubaliana! Mgogoro mtamu huu!
Sasa hii ni taarifa au ni nini? Wamekutana kunywa chai au kupiga picha tu?, walizungumza chochote au walikuwa wanakodoleana macho? Kuna mmoja alisema chochote kwa mwenzake? Maana hiyo picha na aliyeileta ni kujaribu kuwawekea Watanzania wanasesere vichwani mwao. Ingetolewa taarifa yenye kujibu maswali siyo kuunda maswali mengine. Huu nao ufyatu.Rais Samia Suluhu baada ya Kutoka Kwao Zanzibar amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais Samia kesho ana Kikao na Mawaziri na Manaibu Mawaziri Ikulu Chamwino.
Pia soma; Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
====
RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB MDUGAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (Mb) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo January 12,2022
Alichofanyiwa siyo kitu kizuri maana ni kuvuliwa nguo tena mbele ya watoto wake.Mama kaamua kwenda na Baibui la asili ya Mwambao.
Mgogo mbona kanuna hivyo?
Ebu muangalie Ndugayi alivyo nunaNimekosa Mimi[emoji16][emoji16]