Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Watanzania wepi? Maana naona una liseduce hilo neno kwa mabaya. Sema wewe na baadhi ya wenzako washabiki wa CDM, lakini sio watanzania. Watanzania hawana mawazo yoyote kuhusu Lissu. Lissu ni msaliti tu. Naye maneno yake ya kisaliti yako YouTube vile vlie.Sijaelewa, halafu mhe radio huyu wa sasa si ndio huyu huyu aliyemfukuza? Ni mambo mawili tu kwake, either ajiuzuru nafasi aliyonayo au afanye declaration kwamba alikua anapokea maelekezo, haikua kwa UTASHI wake, Watanzania tutamsamehe maana maneno yake ya kumfukuza Lissu ubunge na hata kumnyima haki zake bado yapo youtube
Raha gani wakati nchi inaishi tena kwa mikopp? Hujui kuwa mapato yameshuka? Nchi itaendelea vipi bila kuwa na mapato ya ku finance shuhghuli zake za maendeleo?Tulisema utawala wa mwendazake (revered) hayati (late) Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli ulikuwa wa kidiktekta na kuburuza mihimili yote ya dola Tanzania kufanya maamuzi yasiyo sawa na pia kuwaumiza waTanzania wengi.
Watu majumba yao yalivunjwa kupisha miradi bila fidia, wafanyabiashara kutishwa, raia kubambikiwa kesi, uhuru wa kujieleza kubinywa, mbinyo mkubwa ulitumika kuwatisha watendaji serikalini wasitoe haki, uchaguzi ulikuwa ni wa hadaa, listi ni ndefu ya mapungufu na ukatili haya yote yanabidi kunakiliwa na kuandikiwa kitabu yasijitokeze tena ktk Tanzania yetu.
Hata wewe utaoza tu siku. Angalia ndugu zako wangapi wameozeana makaburini?Utakufa na kihoro.. kalinde kaburi la mungu wako. Anaoza kule
Wewe ni takataka kabisaNingeshangaa msaliti kulipwa hela. Kwa kazi ipi aliyofanya? Kwa kuzunguka nchi za ulaya akiitukana Tanzania na watanzania?
Tutashitakiwa MIGA?
UJINGA MTUPU
Mwanasiasa gani Lissu? Ni domo tu. Hajui siasa wala sheria. Amejaribu kila njia kumharibia Magufuli jitihada zake za kuleta maendeleo nchini mpaka ameshindwa. Jamaa alijulikana ulimwengu mzima na kaacha legacy. Lissu ameacha legacy gani? Hakuna mtu hata mmoja anamkumbuka na atamkumbuka Lissu. Kwa lipi? Lakini Magufuli anajjulikana ulimwenguni kuwa ni mmoja wa maRais bora Afrika aliyewahi kupigania haki za wananchi wake zidi ya mabeberu na akashinda.Kwasababu Lissu ni mwanasiasa na hili ndio jukwaa mahususi.