Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
Mungu asiyelala anakwenda kufanya jeuri yake mbele ya uso uliomdogo wa ndugai alichomfanyia mh Tundu lissu kinakwenda kuuaibisha uso wake mbele ya bunge na mbele ya dunia nzima na watoto na wajukuu wa NDUGAI Kama bunge likishindwa kumwajibisha hili alilolifanya kwa lissu kuna siku atalifanya kwa maganga
 
Ningeshangaa msaliti kulipwa hela. Kwa kazi ipi aliyofanya? Kwa kuzunguka nchi za ulaya akiitukana Tanzania na watanzania?
Tutashitakiwa MIGA?

UJINGA MTUPU
Atalipwa tu ninyi Wahutu msituharibie Nchi
 
Waliodhulumiwa na Ole Sabaya pia watalipwa
1623627160694.png

HAKI na AMANI
 
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Mkuu umegundua eee, kadri siku zinavyosonga ndiyo matumizi ya maneno kama Wasaliti, Mabeberu, Tumechezewa mno watanzania, Nyungu, Si katika utawala wangu, ..yanaanza kupungua.
 
Haina hakika maana lissu amekataa kuwa hakuna kitu kama hicho mara baada ya kuzungumza na kiongozi mwandamizi wizara ya fedha.
 
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
BIBLIA:
Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu.
-Isaya 6 :1-

NB:
Bado Uzia yule wa Bungeni.
 
TUSIMLAUMU YEYOTE MNAJUA KABISA HAMKUWA KATIKA UTAWALA WA HAKI,NA ILILAZIMU ILI KUUTETEA UGALI UKUBALIANE NA MATAKWA YA YULE BWANA ILI UPATE MKATE WAKO WA KILA SIKU BINAFSI SIMLAUMU YEYOTE,BALI NASEMA MUNGU YU MWEMA SANA.
Hakuma ulazima wa kukubaliana na udhalimu!
Angeweza kujiudhuru kama kulikuwa na shinikizo la kufanya ivo.Lakini jamaa alichekelea na kukoleza moto.
 
Bado kuna watu wanalishwa matango poli na wanakoment kwa furaha utadhani wanaelewa kitu.

Hii sio habari ya leo vile wengi hamjui kuwa malipo haya yalishalipwa.

Hiyo issue ni ya mwaka 2018, hata hivyo Lissu mwenyewe anawashangaa sana, ....👇🏾
Screenshot_20210624_211524.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom