nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Mungu asiyelala anakwenda kufanya jeuri yake mbele ya uso uliomdogo wa ndugai alichomfanyia mh Tundu lissu kinakwenda kuuaibisha uso wake mbele ya bunge na mbele ya dunia nzima na watoto na wajukuu wa NDUGAI Kama bunge likishindwa kumwajibisha hili alilolifanya kwa lissu kuna siku atalifanya kwa maganga