Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
Waliompiga risasi naamini hali itakua mbaya sana kwao ,mama anawacha taratibu
Waliompiga Risasi katika jaribio la kumuua Tundu Lissu matumbo ya kuhara yatakua yameanza Raisi Samia anaelekea huko.
 
hoja za kusema naumia lissu kulipwa!!!

wamelipwa watu wangapi hapo!!
Hoja ya Mwandishi ni kwamba Mhe Tundu Lissu amelipwa na Samia baada ya kudhulumiwa na Magufuli sasa wewe unataka kufosi tuwajadili na hao wengine waliolipwa basi anzisha Uzi kuhusu hao jamaa hakuna mtu anaekukataza na tutakuja kuchangia.
 
NAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?

Habari wana JF naomba nifahamishwe ni wapi yanapo fanyika malipo ya malimbikizo ya watumishi wa umma?

Natanguliza shukran zangu
Mtumishi ana madai mengi ila hii huitaa ARREARS (MADAI YA MAPUNJO YA MSHAHARA).

Haya hulipwa....
1. Mtumishi humuandikia barua mwajiri kueleza hayo madai.
Huambatanisha vielekezo vyotee kama salary slip na bank statement.

2. Mwajiri akisha Saini humuelekeza HR kushughulikia.

3. HR huthibitisha kwenye mfumo halafu humuelekeza Muhasibu wa mishahara kushughulikia.

4. Muhasibu hufanya calculation na kurudisha kwa HR.

5. HR hupost kwenye mfumo wa mishahara.

6. Approver aliye DODOMA huprove hayo madai na mtumishi huingia moja kwa moja kwenye list la wanaodai kwenye mfumo.

7. Then Hazina hutoa pesa na kuingizwa kwenye mfumo na mfumo huanza kulipa kwa staili ya FIFO (First In First Out).

8. Mtumishi hukuta mpunga wake kwenye account yake ya mshahara.

9. Nae huzitolea kwa ATM na kwenda kunywa Bia..

#YNWA
 
Tulisema utawala wa mwendazake (revered) hayati (late) Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli ulikuwa wa kidiktekta na kuburuza mihimili yote ya dola Tanzania kufanya maamuzi yasiyo sawa na pia kuwaumiza waTanzania wengi.

Watu majumba yao yalivunjwa kupisha miradi bila fidia, wafanyabiashara kutishwa, raia kubambikiwa kesi, uhuru wa kujieleza kubinywa, mbinyo mkubwa ulitumika kuwatisha watendaji serikalini wasitoe haki, uchaguzi ulikuwa ni wa hadaa, listi ni ndefu ya mapungufu na ukatili haya yote yanabidi kunakiliwa na kuandikiwa kitabu yasijitokeze tena ktk Tanzania yetu.
Mene, mene, tekeli na peresi.
Uongozi ni dhamana kutoka kwa Muumba usipoutendea haki watapewa wengine.
 
Mkuu kwenye kichwa cha habari ni uga au ugo?
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom