Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Long overdue.
Wamlipe tu stahiki zake bila mizengwe.
Wamlipe tu stahiki zake bila mizengwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliompiga Risasi katika jaribio la kumuua Tundu Lissu matumbo ya kuhara yatakua yameanza Raisi Samia anaelekea huko.Waliompiga risasi naamini hali itakua mbaya sana kwao ,mama anawacha taratibu
Utamfanya nini ?!. Waliojaribu wako ft 6 chiniAJE ACHUKUE SASA MAANA JINA KUTOKA NI JAMBO LA KWANZA KUCHUKUA NIJAMBO LINGINE AJE ACHUKUE
Mimi huwa nakuheshimu sana,tupambanea kwa Hoja tu ndugu.umechagua mstari wa kuusoma huo tu,ishi hapo.
Usaliti UPI au wamama yetu nyumbani hapo anaomsaliti dingi nasikia mtoto watatu mdogowako hamfanani kabisa
hoja za kusema naumia lissu kulipwa!!!Mimi huwa nakuheshimu sana,tupambanea kwa Hoja tu ndugu.
Moto wa milele umuunguze dikiteta mwendakuzimu.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Majina ya zamani sana hayo toka 2016!Long overdue.
Wamlipe tu stahiki zake bila mizengwe.
Hoja ya Mwandishi ni kwamba Mhe Tundu Lissu amelipwa na Samia baada ya kudhulumiwa na Magufuli sasa wewe unataka kufosi tuwajadili na hao wengine waliolipwa basi anzisha Uzi kuhusu hao jamaa hakuna mtu anaekukataza na tutakuja kuchangia.hoja za kusema naumia lissu kulipwa!!!
wamelipwa watu wangapi hapo!!
Ulitaka aone la mumeo?
Mbona link haina PDF?
Mungu mkubwa.!Yule dikteta bora alitwaliwa mapema
Majina ya zamani sana hayo toka 2016!
Mtumishi ana madai mengi ila hii huitaa ARREARS (MADAI YA MAPUNJO YA MSHAHARA).NAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?
Habari wana JF naomba nifahamishwe ni wapi yanapo fanyika malipo ya malimbikizo ya watumishi wa umma?
Natanguliza shukran zangu
Amepanda daraja juzi, sasa hivi ana TGTS FNa wewe uliyebaki una faida gani zaidi ya kusarandia TGTS E1 za ualimu?
Mene, mene, tekeli na peresi.Tulisema utawala wa mwendazake (revered) hayati (late) Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli ulikuwa wa kidiktekta na kuburuza mihimili yote ya dola Tanzania kufanya maamuzi yasiyo sawa na pia kuwaumiza waTanzania wengi.
Watu majumba yao yalivunjwa kupisha miradi bila fidia, wafanyabiashara kutishwa, raia kubambikiwa kesi, uhuru wa kujieleza kubinywa, mbinyo mkubwa ulitumika kuwatisha watendaji serikalini wasitoe haki, uchaguzi ulikuwa ni wa hadaa, listi ni ndefu ya mapungufu na ukatili haya yote yanabidi kunakiliwa na kuandikiwa kitabu yasijitokeze tena ktk Tanzania yetu.
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Wamelipa bro..Hiyo habari ni feki. Kwanza serikali hii haina pesa ya kulipa malimbikizo ya wafanyakazi kwa sasa