Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
Sasa hela mmepewa kwanini hamfungi mdomo? hivi mmezaliwa mnaongea?
Fedha anazopewa ni stahiki zake yeye kama mbunge na mtumishi wa umma na sio kama hisani ili kumfunga mdomo.
Kwa hili nampongeza mama japo Ccm ni ile ile
 
Asante Raisi Samia Suluhu Hassan kwa Utawala wako wenye kufuata HAKI na ni mwanzo mzuri kwa Taifa lililogawanywa likagawanyika kwa hila za Mtawala mmoja

1623627160694.png

HAKI na AMANI.
 
Nimepitia posts zilizowekwa hapa, nimegundua kuwa Watanzania wengi siku hizi hawajui kuwasiliana kwa kutumia mitandao, wanatumia lugha ambazo si za kistaarabu. Sijui huwa ni matokea ya frustrations za maisha au vipi, ila wengi hutumia mitandao kuandika pumba sana. Kuna mifano hata nje ya hapa JF inayoonyesha ninalozungumzia:

(4) hapa JF watu huandiaka matusi kila wakipishana mawazo: maneno; mpumbavu, mjinga, fala, bwege, na kadhalika yamekuwa ya kawaida sana kwenye mijadala hapa. Kuna sehemu moja kwenye psychology inayosema watu wenye upungufu fulani wa akili huwa ni wepesi wa kutumia lugha kali za matusi ili wasionekane kuwa wana upungufu wowote.

..JF ilikuwa jukwaa la mijadala ya kistaarabu na kisomi.

..hali ilibadilika wakati wa mwisho wa utawala wa JK ambapo CCM iliamua kuhamasisha makada wake wavamie JF kwa malengo ya kutukana wachangiaji, na kuharibu muenendo wa mijadala mbalimbali.

..Ni bahati mbaya sana kwamba watukanaji wengi kwenye mitandao ni wale wanaounga mkono CCM, na serikali kwa ujumla.

..Hali hiyo inatia wasiwasi sana kwamba mbele ya safari Tz inaweza kuongozwa na watu wasio na uvumilivu wa tofauti ya mitizamo, na wenye uwezo uliopelea ktk kujenga hoja zenye ushawishi.
 
Utakufa na kihoro.. kalinde kaburi la mungu wako. Anaoza kule
Mungu mkubwa hata mimi mshahara wangu mama kauongeza mwezi huu. Hata yale makato ya 15% ya Loan Board yaliyokinyume na mkataba na yaliyokiuka one third ya mshahara sitayasikia tena. Mama nitakuombea kila siku uishi maisha marefu.
 
hivi cha ajabu nini hapa!!maana lissu amewahi kuwa mtumishi wa uma kupitia ofisi ya bunge!!!

kuna watu wangapi hapo,ila akaonekana lissu!!wazee wa mizuka mnaendelea kudemka.
Kijana Roho inakuuma sana Lissu kuliowa Mamilioni yake.
 
Mimi sikulipwa malipo yangu wakati naondoka UDSM; ngoja haya yaishe kwanza nije na mimi niliamshe langu. Tupo wengi wa namna hiyo kuwa tulipoondoka kwenda kufanya kazi nchi za nje tukanyimwa mafao yetu. Hii ilitokea katika awamu zote za utawala Tanzania; ninachojali sasa hivi ni ile riba yake itakuwa ya kutosha kununua kiwanja zile zilizo ngumu kugusika
 
Kijana Roho inakuuma sana Lissu kuliowa Mamilioni yake.
wewe na wenzako ni mbuzi tu,kama unakumbuka lissu alifungua malalamiko punde tu alipoamka kitandani akisaidiwa na wanasheria wenzake akina kibatala.haki aliyoikosa ni ubunge ila pesa zake ilipendekezwa zilipwe,zikawekwa kama deni.

ila sababu nyinyi ni wapuuzi hakuna kitu mnakumbuka.
 
Nilivyoiona facebook habari hii nilifikiri fake fasta nikaja jf kuthibitisha nikakuta mkeka umetick yaan same same.

Mama hongera, Ndugai tupishe maana tayari naona alarm inapiga kelele dhidi yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom