Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishasema na tutaendelea kusema milele Ndungay hana akili ni wa kusamehewa, yeye ni bendera fuata upepo akili yake yake haijawahi kujitegemea, kumbukeni yeye ni afisa wanyamapori, akili yake ni ya kinyumbunyumbu, waliompangia akasomee wanyamapori hawakuwa wajinga, they knew him wellJe Job ndugai atajisikiaje maana alikuwa anaongoza hadharani kumkashifu Tundu Lisu ilihali alikuwa anajua kabisa anaumwa yuko nje kimatibabu.
Tatizo ni kwamba Ndugai ana roho mbaya akiwa nyumbani kwakwe lazima wafunike maziwa fresh yote maana akiyaangalia tu yanaganda kwa jinsi roho yake ilivyo mbaya!Kama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?
Ni kweli kwamba hiyo cheki namba ni yake, lakini hii list ni ya 2017 na malipo yalishafanyika miaka hiyo.Kama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Peleka hasira za kufa kwa mumeo Meko huko..Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Hii hapaAttachment ya hayo majina! Sijaiyona kabisa jombaa. Please hebu iweke humu Jamii forum ili tuiyone.
Mataga tulieni dawa iwaingieUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Sisi Wagalatia tuna matatizo sana na tunamcha Mungu kinafki wengi wetu..Ukikuta mtu ni Muislam safi basi ni safi kweli kweli na matendo yake yanasadifu ushika dini wake.Mie ndo maana napendaga viongozi wa kiislamu hawapendi kula dhuluma wana hofu na Mungu kuliko wa kwatu wa kuristo, kweli Meko na Ndgai walikua wamedhamilia kula pesa ya mwenzao.
Hofu na Mungu sio kula vya watu tu, ufisadi na mengine yanahusika pia, zaidi usitumie matendo ya wawili kuhukumu wote.Mie ndo maana napendaga viongozi wa kiislamu hawapendi kula dhuluma wana hofu na Mungu kuliko wa kwatu wa kuristo, kweli Meko na Ndgai walikua wamedhamilia kula pesa ya mwenzao.
NAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Kama ulivyo mjinga mwasisi wenu jambazi hayupo.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Nyinyi endeleeni tu kumtukana.Hongera Mama kwa hatua hii.
Hiyo list ni ya mwaka gani?, msirukie vitu bila kuwa na source ya uhakika.Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Kuna mtu unamdai si bure.NAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?
Habari wana JF naomba nifahamishwe ni wapi yanapo fanyika malipo ya malimbikizo ya watumishi wa umma?
Natanguliza shukran zangu
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Hii link uliyoweka yann mkuu?