Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
Kama hii taarifa ni ya kweli basi naamini Ndugai atalegea tu, sasa inaonekana bosi wa nchi hataki lawama, Ndugai akiendelea kushupaza shingo atabaki peke yake.
Mie ndo maana napendaga viongozi wa kiislamu hawapendi kula dhuluma wana hofu na Mungu kuliko wa kwatu wa kuristo, kweli Meko na Ndgai walikua wamedhamilia kula pesa ya mwenzao.
 
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Kwa vile na wengine wapo- why Lissu pekee?
 
... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.
Huyu ni mmoja kati ya mamilioni ambao wako wakisubiri Mwendazake arudi ili wapate kutoa mashtaka watasubiri sana
 
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Mbona kuna jina la Ridhiwan Jakaya Kikwete kwenye hiyo orodha kuna kitu gani kilibainika na kuzusha shuku mpaka uhakiki?
Link: Ministry of Finance and Planning - HOME
 
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Kama kweli nitajivua uanachama ccm.
 
Yaani retired RC wa Dar siku hizi amekuwa mpole sana .Duuu mpaka namwonea huruma sana ila kila utawala na zama zake.Kama Lissu analipwa basi ,Mama aongezewe ulinzi kwa kweli
Watu 27,389 wamehahakikiiwa kulipwa akiwemo TAL na RIDHIWAN JK

Kwa mfano kila mmoja anadai TS 9,000,000*27,389 unapata TS 246,501,000,,000/=

Ramani ya fedha imekaaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom