Wekenu hio pdf yote acheni,uanaharakati uchwara wa kutuwekea vitu nusu nusuKama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekenu hio pdf yote acheni,uanaharakati uchwara wa kutuwekea vitu nusu nusuKama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Hizo hela haki yake siyo upendeleo .Sasa aje achukue hiyo hela na aunge juhudi mkono asipige kelele zisizo na sababu
TunaKama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Kweli tutajuaje kuwa Tundu huyu ndio Tundu yule.Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Mkuu hilo jamaa huwa ni taahira, limekurupuka!Wanaogelea dunia au watumishi wa umma?
Si busara kuonyesha ujinga hadharani
Kwani ni hisani hiyo au ilikuwa haki yake? Kwamba anapewa tuu kwa sababu nyie mmeridhia au ni utaratibu wa lazima?Sasa hela mmepewa kwanini hamfungi mdomo? hivi mmezaliwa mnaongea?
Ndugai anatafutiza Hadi vifungu vya ajabu ajabu yani
Mbona na kwenye website ya utumishi ipo?Ni list ya zamani, iliwahi kufufuliwa pia katika whatsapp. Ipotezee
Ingia kwenye website ya utumishiWekenu hio pdf yote acheni,uanaharakati uchwara wa kutuwekea vitu nusu nusu
Hapo sasa.Mbona na kwenye website ya utumishi ipo?
Pamoja mkuuHapo sasa.
Bunge la Tanzania halihudumii dunia.Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
AJE ACHUKUE SASA MAANA JINA KUTOKA NI JAMBO LA KWANZA KUCHUKUA NIJAMBO LINGINE AJE ACHUKUEKama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Mkuu, Hayo ni baadhi ya majina ya wabunge wanaodai chenji. Bungeni alikuwa Tundu mmoja tu, na aliwahi kusema anadai stahiki zake.Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?