SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ulitaka aone la mumeo?Yani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aone la mumeo?Yani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
💖Yani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
Na wewe mbona hufungi kinyeo chako kila siku unaenda haja kubwa?Sasa hela mmepewa kwanini hamfungi mdomo? hivi mmezaliwa mnaongea?
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Soma vizuri wewe kibwengo,majina yote matatu. Koroga sumu unywe ufe maana imekuuma sana mwana wa ibilisiKuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Timu roho mbaya kajinyonge ufe kabisa mkasaidiane kuongoza malaika.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Habari za mchana huu wakuu.
Moja kati ya habari zinazogagaa mitandao mbali mbali ni suala la aiyekuwa mbunge wa zamani Tundu Lisu kuonekana katika majina ya watu wanaotakiwa kulipwa stahiki zake
Je Job ndugai atajisikiaje maana alikuwa anaongoza hadharani kumkashifu Tundu Lisu ilihali alikuwa anajua kabisa anaumwa yuko nje kimatibabu.
Je wale watukanaji wa Lumumba mtajisikiaje?
NAKUPONGEZA MAMA KWA KUSIMAMIA HAKI
HAKI HUINUA TAIFA.View attachment 1828473View attachment 1828474
View attachment 1828483
hahahaaJamaa alifikiri hela ni za kwake kumbe ni za umaa, madikteta bwana!! Kasepa kaziacha !!
Ni mpuuzi sn huyo mzeendugai ni bogus. anatumia ujinga wa watanzani kuvunja katiba
Huyo ni team dikteta hatakuelewaWe jamaa bana, hujasoma hapo juu kwamba hayo ni majina ya watumishi wa ofisi ya Speaker (bunge) ? ,na Tundu ni mmoja tu aliyekuwa hapo bungeni
Hapewi Kama zawadi Bali ni haki na stahiki zake baada ya kufanya kazi! Hakuna hisani hapo, elewa!Sasa hela mmepewa kwanini hamfungi mdomo? hivi mmezaliwa mnaongea?
Ni list ya zamani, iliwahi kufufuliwa pia katika whatsapp. IpotezeeUmejuaje ni fake news.
Kwaiyo alipwe mama yako yule kigagulaUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.