denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Pole, kunywa maji mengi ukakae kivulini.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole, kunywa maji mengi ukakae kivulini.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Ni yupi mwingine alikuwa mbunge anayestahili malipo?Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Habari za mchana huu wakuu.
Moja kati ya habari zinazogagaa mitandao mbali mbali ni suala la aiyekuwa mbunge wa zamani Tundu Lisu kuonekana katika majina ya watu wanaotakiwa kulipwa stahiki zake
Je Job ndugai atajisikiaje maana alikuwa anaongoza hadharani kumkashifu Tundu Lisu ilihali alikuwa anajua kabisa anaumwa yuko nje kimatibabu.
Je wale watukanaji wa Lumumba mtajisikiaje?
NAKUPONGEZA MAMA KWA KUSIMAMIA HAKI
HAKI HUINUA TAIFA.View attachment 1828473View attachment 1828474
View attachment 1828483
Umejuaje ni fake news.Fakenews,lakini wamlipe Lisu haki zake..hatutaki dhulma
Utakufa na kihoro.. kalinde kaburi la mungu wako. Anaoza kuleUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Boss wa nchi anamfahamu mwenye mamlaka juu ya Ulimwengu kuwa ni mpenda haki.Kama hii taarifa ni ya kweli basi naamini Ndugai atalegea tu, sasa inaonekana bosi wa nchi hataki lawama, Ndugai akiendelea kushupaza shingo atabaki peke yake.
We jamaa bana, hujasoma hapo juu kwamba hayo ni majina ya watumishi wa ofisi ya Speaker (bunge) ? ,na Tundu ni mmoja tu aliyekuwa hapo bungeniKuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Job hafai ameonyesha unafiki sanaTUSIMLAUMU YEYOTE MNAJUA KABISA HAMKUWA KATIKA UTAWALA WA HAKI,NA ILILAZIMU ILI KUUTETEA UGALI UKUBALIANE NA MATAKWA YA YULE BWANA ILI UPATE MKATE WAKO WA KILA SIKU BINAFSI SIMLAUMU YEYOTE,BALI NASEMA MUNGU YU MWEMA SANA.
Kwasababu Lissu ni mwanasiasa na hili ndio jukwaa mahususi.Yani katika watu 394 ww umeliona jina la Lisu tu peke yake? Ama kweli mahaba ni ugonjwa, ila kumbuka jamaa ana mke tayari.
Panda juu ukazibe.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Acha ujinga we fala.Majina ya zamani Sana chief.. Ila kwa vile umegusia kitu ambacho wengi wanapenda kusikia .. Ngoja tugombanie haya matango pori
Mkuu attachment ya hayo majina hii hapaAttachment ya hayo majina! Sijaiyona kabisa jombaa. Please hebu iweke humu Jamii forum ili tuiyone.
🚮Wewe sio mjinga ni mburura.
Ile wiki yote tangu tetesi mpaka tamko rasmi linatoka huku Kaskazini mbuzi wote walikwisha.Dikteta alikuwa shetani bora alitangulia,sasa tunaishi kwa raha na mstarehe